Siri ya Mahakama ya Kadhi yafichuka

Siri ya Mahakama ya Kadhi yafichuka

Lakini ukiwafuatilia kwa karibu hawa jamaa utangundua kuwa most of them if not all wana elements za uwehu.

WHY;BAKWATA imewagawa kisa eti chombo cha kidini kitaasisiwaje na serikali?

Wengine wanahoji kwa nini serikali ikaunda chombo cha kuwa-monitor waislamu tu na si dini zingine kama sio kuwakandamiza waislamu ni nini?

Halafu hao hao wanaitaka serikali hiyohiyo ijihusishe na kadhi ambayo ni mambo yaleyale.

Acheni unafiki.
 
Na mnaolipa kodi ni nyinyi tu? kwanza nyinyi ndiyo wezi wakubwa Serikalini, mmejazana huko miaka na miaka mnaididimiza tu nchi. Huyaoni?

Toa mfano wa majina.
Je riziwani ni wetu pia? Na je wizi ni kwa sababu ya dini au ni sera mbaya za chama chako cha ccm ambacho utakikana baada ya 2015, kikishachukuliwa na rais mkristo
 
kuna ukweli kwa mtoa hoja.Hivi hizo mahakama si mtahukumiana wenyewe?Nini mnaficha kulazimisha zihudumiwe na watu wote?watu wanasema madaktari ktk hospitali za wakristo kulipwa na serikali.Hamjui kwamba huajiriwa huko na serikali? Mkataba wa kuwalipa umefanyika baada ya serikali kuingia ubia na hizo hospitali.Au hamjui kuwa hata waislam wemeajiriwa huko.Nani mkristo ataajiriwa kama kadhi?Huu ni ujinga kabisa.Anzisheni huko kwenu na muajiri wenyewe.Kila kitu kulia tu heee!
 
Kadhi courts kuwekwa kwenye katiba Big No
 
Mbona waislaam wanapendelewa sana, kuchinja wao na wanalipwa kwa shuguri hiyo sasa wanaleta mahakama za kadhi na huko pia watalipwa pia pesa zetu, hii haiwezikani
 
Mbona hospital za Makannisa madaktari wanalipwa mshahara na serkali waislam tumenyamaza kwani siyo kodi zetu pia?

kwenye hizo hospital waislam hawatabiwi?sas mahakama ya kadhi mkristo hausik nayo sas kwa nin kodi yake igharamie?
 
ni mjinga umejaa chuki hicho ndio unachowaza, wao kadhi ndiyo tatizo lao
eewe mwenzangu...ujinga wake ni upi hasa..kioneshe kinagaubaga ili wasioelewa nao waelewe...
 
ujinga na kujitia ubaru baru ni kwamba madai yameelekezwa CCM na serikali yake, waislam wanadai kwamba serikali hii imewakandamiza tangu uhuru mpaka sasa nyinyi wapinzani badala ya kuwaunga mkono dhidi ya udhalimu mnasimama upande wa serikali mna sura mbili ajabu
 
Wanaitambua bakwata na ndiyo mana hata mifungo ya mwezi wa ramadhani wanatatiza mpaka shehe mkuu atangaze
 
mbona mkataba wa MOU unawapa fursa wakristo kupewa pesa kuchangia maendeleo yao kama AFYA ,ELIMU KUKOPESHANA kushamiri kwa makanisa hata kama sehemu hakuna wakiristo.pesa za MOU mnazopewa kodi mnalipa peke yenu?[/Q

mkataba ni dhidi ya serikali na kanisa katoliki na si wakristo wa madhehebu yote
 
Toa mfano wa majina.
Je riziwani ni wetu pia? Na je wizi ni kwa sababu ya dini au ni sera mbaya za chama chako cha ccm ambacho utakikana baada ya 2015, kikishachukuliwa na rais mkristo

Unaongelea Mheshiwa Mbunge wa Chalinze?
 
Mbona Kenya kuna mahakama za kadhi na hakuna shida yoyote.. Acheni wivu bhana
 
Kama hizo mahakama za kadhi zitachota fedha hazina ya serikali basi itabidi na ajira katika mahakama hizo zisibague dini hasa ktk nyanja ambazo si ukadhi wenyewe
 
CCM ni wajanja sana. Walipoona kuwa katiba yao pendekezwa inaelekea kupigwa chini basi wameona wachomekee hili ili kuwavuruga watu na wao kupata ushawishi.
 
Maelezo marefu ila UJINGA tuu ulioandika!
Serikali haina dini vp mbona wasile kiapo kimya kimya wakiteuliwa kwenye nyadhifa mpya? Hujui hata kuwa UPAGANI nao ni Dini?
Hebu wewe tupe ufafanuzi wako.
 
Nionavyo Mimi waislamu huku bara wanapoteza muda kwa kuwa wabunge waislamu huku ni wachache sana.Nadhani wabunge wote waislamu hawazidi 25% katika bunge la jamhuri ya muungano.
Sidhani kama kuna mbunge mkristu ataunga mkono sheria hii.
 
Back
Top Bottom