Ze General
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 1,508
- 1,259
Waislam waichangie mahakama yao, ila mm mkristo sipo tyr kuichangia
Ushauri wangu kwa wabunge wa vyama va upinzani, msipige kelele sana juu ya mahakama ya khadhi maana CCM wamewawekeeni mtego ili mjichonganishe na jamii ya kundi moja halafu iwe ndo mtaji wao kwa mwaka huu 2015. Afadhali mtoke nje au msilijadili maana CCM wamepaona na kama wakipitisha watapata kura za upande mmoja na wasipopitisha watapata kura za upande sijui upi wanajua wao...ninyi kaeni kimyaaaaa kama maji mtungini tuone itakuwaje.
Dunia nzima inajua Waislamu Tanzania wamepewa Majengo Tanesco Morogoro..Usitake kupotosha watu kwamba mlibadilishana maana tungejua mapema maana kulopoka tu waislamu Hawajambo m..bwa nyie!!!
Hamtukani???? Hammwagi damu zisizokuwa na hatia kwa kisingizio cha kueneza dini? Hamchomi makanisa ili kuchochea uhasama? Hamwuui mapadri zanzibar na kusingizia ugaidi? Acheni unafiki.Waislamu hatujafundishwa kutukana watu, ukiona mtu anatukana jua ameishiwa hoja! tumefunzwa adabu na kuheshimu watu! Mwenye ez Mungu akuongoze na ausafishe mdomo wako ! Amin
Pumba.. Pumba ....pumba..... Umendika pumba...tupu!
Unavyodhani wewe kuitwa chuo cha waislamu ndio wanaosoma pale wote ni waislamu?
Huna hata haya.....fanya utafiti kidogo ndio uandike
eti umwagaji damu, kwa taarifa yako nyie ndio mtaanza kumwaga damu, usidanganye watu hapa!
Tafuta kitu kingine waacheni waislamu na mambo yao, kama nao walivyowaachia mambo yenu ya escrow...!
Kwani nanyi mmezuiwa kuanzisha mahakama zenu? Acha wivu...........!