Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,570
Hakuna haja ya kuwa na mahakamani za kadhi kama unataka kuwahukumu waislamu wenzetu labda mfanye huko misikitini kwenuIvi kwani watanzania wote wafanyabiashara? Mbona zpo mahakama za usuruishi wa biashara, zpo za ardhi. Ila hii ya kadhi ndo inakua issue sana!!!