mtimkav
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 1,034
- 663
mkuu FF,eti ni kweli kuwa mwanamke wa kiislamu akiwa hedhini hatakiwi kuhudumia (kama madaktari,manesi,mahakimu,walimu etc)?
Teh teh teh ! Kweli hii dini ni kituko sijawahi ona kumbe ba hilo limo?
mkuu FF,eti ni kweli kuwa mwanamke wa kiislamu akiwa hedhini hatakiwi kuhudumia (kama madaktari,manesi,mahakimu,walimu etc)?
Hii si nchi ya waarabu na si nchi ya kuendeshwa kwa imani Fulani.Ya kaizari mpe kaizari na ya Mungu apewe Mungu.Hizi ndio indicator za udini sasa.
Hivi kwa sasa kesi za ndoa& Talaka pamoja na Kesi za Mirathi zinasikilizwa na mahakama gani? Na kwa sheria zipi? Hivi wanao zisikiliza kesi hizo wanalipwa na nani?? Na zikiondolewa(kutenganishwa) kutoka ktk mahakama hizo au zikisikilizwa na mtalaamu mwengine ni makosa kulipwa na Serikali??? Hivi sheria zilizopo zina tambua ndoa za aina ngapi???
Niya dini ya kikiristo hilo halihitaji hata kufunga dish
Naam, tupo kwenye jihadi, na ambae hayupo kwenye kufanya juhudi kila siku ya maisha yake huyo ana walakin, iwe Muislam au si Muislam.
Wewe hufanyi juhudi katika maisha yako ya kila siku? na umebweteka tu?
Mimi nashauri ikiwa mahakama za kadhi zitapitishwa basi kila dini na kila kabila liwe na mahakama zake ziendeshwe kwa gharama za serikali ili kuleta usawa kwa kila mtu. Kule kwetu tunahitaji mahakama za kimila nazo zitambuliwe na kuwezeshwa na serikali.
onesha kifungu kilicho hainisha kuwa serikali niyadini ya kikristo
mkuu nimeongeza kitu kwenye hii post yako asante sana. nilikuwa sijashituka kama lile eneo opposite na DIT limejengwa mitambo na hao wezi waitwao tanesco.Hapo penye wekundu, una uhakika na unachokisema? Msiwe mnapenda kuwaza na kusema msivovijua? hebu nenda Mtaa wa Bibi Titi pale karibu na shule ya Mnazi Mmoja , angalia kuna mitambo ya Tanesco imejengwa pale! uliza kile kiwanja kilikuwa cha nani? ukipata jibu njoo uhororoje hapa!
Niya dini ya kikiristo hilo halihitaji hata kufunga dish
Mbona hospital za Makannisa madaktari wanalipwa mshahara na serkali waislam tumenyamaza kwani siyo kodi zetu pia?
Kaka 1000 digits nimekuelewa sana, kama ni CCm ndo wamekuwa wakiwa ahidi na kuwa hadaa waisilamu kwa muda wote huo, basi mahakama ya kadhi iwekwe kwenye katiba ya CCM na si katika ya nchi ya Tanzania, hatuwezi tukakubali kila upumbavu wa CCM ukawagharimu Watanzania wote, CCM na viongozi wake wote waliopita na waliopo wanatakiwa kujibu hili kwa waisilamu. It has nothing to do with Tanzania as a nation.
You can fool some people some times but you cant fool all the people all the time Mwaka 2005( kutokana na maelezo yako). Waisilamu walidanganywa na wakakubali kuiweka serikali ya CCM madarakani, mwaka 2010, wakakubali tena wakarudia makosa, na sasa bado tunawaona wengi tu wakiunga mkono CCM iliyo wadanganya na wengi wako teyari kuipigia kura CCM tena mwaka huu.
Kwanini wewe uwaonee huruma watu wasio jionea huruma, watanzania lazima tukubali kuteseka kwaajili ya shingo zetu ngumu kwa kukubali wenyewe kuiweka CCM madarakani mwaka 2010, na kama kunaupumbavu wa maisha na wahistoria ambao watanzanzania wataufanya ni kuirudisha CCM madarakani tena mwaka huu 2015. Itakuwa ni kilio na kusaga meno.
mi ni muslim ila kwa hili suala la mahakama ya kadhi ilipwe na serikali sioni kama ni sahihi.
Wote tunafahamu pesa ya serikali inapotoka ni pamoja na kukusanya kodi za beer, kumbi za statehe na mambo mengine ambayo dini/ Quran hairidhii yaani pesa zake zinatokana na haramu.
Mi nachoona hapa muslims tuache kutafuta manufaa yetu ya kidunia kwa mlango wa dini( uislamu), ambapo tunajua fika kuwa dini inakataa!!
Yaani pesa za beer au pesa za haram zimlipe sheikh kisha sheikh aende kuhukumu kwa kutumia Quran/hadith?! kweli???hebu tufikirie tena jamani isije ikawa tunapalilia dunia na kujichochelea kuni akhera.
Ni hayo tu.
Kumbe kuwa na University nyingi sio kuwa na maarifa munazidi kuawa na chuki katika nafsi zenu,uislam uyakuja kusima na kuwa dola,hii ni ahadi ua Allah hilo halina ubishi,ulimwengu lazima urudi katika asili yake
wananchi inaowatolea huduma ndio waigharamie. Wasiwe waktisto ama wapagani. Nafikiri hapo umeelewa. Sidhani kama zile sharia zitawasaidia napadre, wachungaji na waumini wao wala wapagani na mizimu yao. Over.
Kwani hao waislam hawalipi kodi?
Ziendeshwe kwa kodi za kitimoto na pombe?
Inafaa wazianzishe kivyao na kuzihudumia kivyao.
Ngoja Kodi za sigara, Pombe na kitimoto zitawalipa mishahara , wao wameng'ang'ania Upande wao pasipo kufikiria pesa za kuwalipa zinatokana na nini .Hata kama wanalipa, sawa na madhehebu mengine, iweje sasa kodi ya madhehebu mengine pia itumike kuhudumia kundi moja la jamii? Mahakama zipo tayari ambazo kodi ya kila mwananchi inatumika kuziendesha kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi. Hiyo ya Kadhi ni jambo binafsi linaloihusu imani ya kundi moja ndani ya jamii hivyo basi na muliendeshe kidini hivyo hivyo na sadaka zenu, wengine haliwahusu. Haina tofauti na kutumia kodi ya Mtanzania kujenga barabara Kenya! Inaingia akilini hiyo?
miislamu bwana vichwa vikubwa ubongo hamna kitu