chambulilo
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 217
- 38
Laana ya Allah iwe juu yako mleta mada!
Hivi nyinyi wagalatia nani ka wadanganya kua yake majengo ya muslim univasity mkapa kayatoa bure
Amini nawaambia ukweli wa jambo hili ni serikali ya irani na serikali hii ndio wanatambuaa
Mkiaambia hayo majengo ililipa madeni
mbona mkataba wa MOU unawapa fursa wakristo kupewa pesa kuchangia maendeleo yao kama AFYA ,ELIMU KUKOPESHANA kushamiri kwa makanisa hata kama sehemu hakuna wakiristo.pesa za MOU mnazopewa kodi mnalipa peke yenu?
Nakumbuka enzi za mwalimu alishawahi kutuhasa mambo ya udini,alisema kama maimamu/maaskofu wanataka kwenye sensa tuweke swali la dini ya mtu ili kujua idadi ya waislamu au wakristu basi wafanye huko kwao lakini serikali haipo interested kujua ina idadi ya waislam/wakristo wangapi,na hivyo hivyo i-apply katika swala la kadhi wakaanzishe hizo mahakama kwenye misikiti na mabalaza yao na wajigharamikie wao wenyewe.
Makafiri Kuzuia mahakama ya kadhi ni sawa na kuzuia upepo kwa mikono
proisra
Umeandika meeengi kama huna ubongo vile. Sema mahakama ya kadhi ianzishwe ila ijigharamie yenyewe ingetosha. Ila ni kwanini ijigharamie yenyewe na inatoa huduma kwa wananchi? Ushani tibua na akili yako ndogo.
Nakumbuka enzi za mwalimu alishawahi kutuhasa mambo ya udini,alisema kama maimamu/maaskofu wanataka kwenye sensa tuweke swali la dini ya mtu ili kujua idadi ya waislamu au wakristu basi wafanye huko kwao lakini serikali haipo interested kujua ina idadi ya waislam/wakristo wangapi,na hivyo hivyo i-apply katika swala la kadhi wakaanzishe hizo mahakama kwenye misikiti na mabalaza yao na wajigharamikie wao wenyewe.
Huku kwetu sijawahi kuona gari la msikiti fulani.
Kuna tatizo gani na dini hii. Nafikiri tatizo kwao ni vipaumbele.
Naomba nimwambie kikwete. "Ulianzisha udini katika kampeni zako za uraisi watu wakaapuuza na kidogo hiyo hali ilishaanza kupotea mioyoni mwa watu. Sasa unaondoka ukiwa unatuachia mpasuko mkubwa wa udini kwa kuruhusu mijadala ya kihuni ya udini nchini mwetu. Leo hii suala la kadhi lipite ama lisipite bungeni litaleta mpasuko ambao haukuwahi kutokea nchini mwetu. Eeeh mwenyezi Mungu tuepushie mbali na hii dhamb ya kubaguana inayotunyelemea ikiwa inashupaliwa na viongozi tuliowapa dhamana" ni hayo tu.
hizo shule waislam hawasomi?
hivo vyuo waislam.hawaspmi?
hizo hospitali hazitibu waislami?
je mahakama ha kadhi itahudumia na wakristu?