CattleRustler
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 1,055
- 468
proisra
Umeandika meeengi kama huna ubongo vile. Sema mahakama ya kadhi ianzishwe ila ijigharamie yenyewe ingetosha. Ila ni kwanini ijigharamie yenyewe na inatoa huduma kwa wananchi? Ushani tibua na akili yako ndogo.
Kama inatoa huduma kwa wananchi basi hao wananchi ndio waigharamie na sio serekali ihusike kuwawekea taratibu za kugharamia mahakama isiyo hudumia zaidi ya nusu ya watanzania. Jiulize raisi mkristo ataisimamiaje mahakama ya kadhi wakati yeye sio muislam?