Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

Kila mara Mh. Zitto anapotoa Press Release, badala ya kujibu tu swala lililoko mezani, anakuja na mjadala mwingine.

Kwangu mimi, nimedonoa hii sentensi ambayo ni fupi lakini ina ujumbe mzito sana.

Ningependa kufahamu huyu MMOJA anayemwongelea katika matendo yake ambayo jamii isiyaone ndiyo matendo ya chama.

Yeye mwenyewe...
 
Tatu, nawashauri watu ambao wamehama CHADEMA na kuhamia vyama vingine watumie muda wao kujenga vyama vyao badala ya kila siku kuzungumzia masuala ya chama ambacho wao sio wanachama tena. Kama mtu kaamua kuhama CHADEMA anapoteza haki ya kujadili masuala ya CHADEMA maana kama angekuwa anapenda kuyajadili asingehama. Naonya mtu yeyote ambaye anatumia jina langu ili kufanikisha malengo yake ya kisiasa. CHADEMA sio pango la watesaji wala wauaji. Kama kuna mwanachama wa chama kingine cha siasa anayedhani kuna mtu ndani ya CHADEMA anapanga mipango ovu aende kwenye vyombo vya sheria kumshtaki. Matendo ya mtu mmoja yasifanyiwe propaganda kama ni malengo ya taasisi.
.

Juliana na kundi lako umesikia wosia wa Zitto kabwe? maana nyie kutwa nzima mpo JK kuchafua hali ya hewa hivi mnapata muda hata wa kupitia ilani yenu ya CCM na kuielewa? hivi hiyo mlivyofundishwa kwamba kwenye siasa mchafue mwenzako? tumewachoka.

Yaani ni sawa Unampa taraka mkeo au mumeo lakini kutwa kucha unaongelea ubaya wake, mwenye akili timamu lazima atagundua kuwa wewe u zuzu.

Asante Zitto kutuweka sawa kwa hili, ila umeniacha njia panda kwenye sentensi hii "
Matendo ya mtu mmoja yasifanyiwe propaganda kama ni malengo ya taasisi." nitaomba ufafanuzi wako kama una muda.

Otherwise nakubaliana na wewe kwamba
CDM kipo imara na kitavuka hiki kikwazo cha mwisho kuelekea ukombozi wa kweli wa taifa hili.


 
Kitu inayo wasumbua baadhi ya viongozi wa CDM ni kuona Zitto anakubalika pande zote, CCM na CDM. Na hii ndio inawafanya wale roho zao. Wamechemsha zaidi pale walipo mteua Ben achuane na Zitto.
 
Mkuu,
Samahani, lakini kumfananisha Zitto na Ben ni kumshushia heshima Zitto. Ben maishani mwake anaota kuwa siku moja akutane na Zitto ili ajisikie na yeye yumo! Hawa ni watu wa caliber tofauti kabisa ni sawa na kulinganisha capillary na aorta.
Acheni kuzunguka zunguka. Jibuni thread ya zitto. Nyie ndio kila siku mnaeneza propaganda kuwa Dr. Slaa alitaka kumuua zitto. Sasa mwenyewe amekana na aibu imewakumba. Narabuuk!
 
Lakini tuwe critical kidogo zito ni kichwa sana, angekaa kimya katika hili tungemshangaa kwani akiwa anapinga ushiriki wake katika kikao cha kuhujumu chadema alisema hajawahi kukaa na mtu anaye itwa Ben saanane, bila hizi contradiction angeweza kukaa kimya iwapo ana nia mbaya na chama
 
"Matendo ya mtu mmoja yasifanyiwe propaganda kama ni malengo ya taasisi[/COLOR]."

Asante sana mheshimiwa Zitto kwa kutoa ufafanuzi mzuri kwa hawa wanafiki na wazandiki na wenye propaganda chafu dhidi ya CHADMA. Umesomeka vizuri sana na tumekuelewa. Naomba tu utufafanulie una maana gani hapo kwenye red kamanda wangu. Maana usipofafanua pale maadui wako na CHADEMA watapatia pa kushika na kuendeleza uzandiki na fitina zao.

Mungu akubariki sana.
 
Mkuu,
Samahani, lakini kumfananisha Zitto na Ben ni kumshushia heshima Zitto. Ben maishani mwake anaota kuwa siku moja akutane na Zitto ili ajisikie na yeye yumo! Hawa ni watu wa caliber tofauti kabisa ni sawa na kulinganisha capillary na aorta.

BEN SANANE MCHUMIA TUMBO.LUDOVICK ATAMTAJA KIJANA HUYU KUHUSIKA NA MICHEZO YA UJANGILIWA ROHO ZA WATU.
CC.Molemo,Tumain makene,SABULA
 
Mkuu,
Samahani, lakini kumfananisha Zitto na Ben ni kumshushia heshima Zitto. Ben maishani mwake anaota kuwa siku moja akutane na Zitto ili ajisikie na yeye yumo! Hawa ni watu wa caliber tofauti kabisa ni sawa na kulinganisha capillary na aorta.

Umempeleka mbali sana kumwekea msamiati wa kisayansi, alifeli somo la biolojia na kuchora Zombi huyo! Kama huamini angalia posts zake kwenye profile yake!
 
Nashukuru kuwa magazeti ya propaganda na mafisadi hayataandika tena hadithi za kutunga kuhusu maisha ya mtu aliye hai bali watafanya utafiti wa kutosha.
Hili gazeti la RA limepoteza credibility kwa kiasi kikubwa mno
 
kuna haja sasa rasmi ya kushtaki hicho kijarida
 
Mimi niwaambia Ben sio level ya Zitto pamoja na kwamba anapata support ya 1st lady kivuli, sasa ajitokeze Josephine arudie yale maneno aliyo kuwa akiropoka humu JF
huyo mama mkurupukaji tu wala asikuumize kichwa.yes ZZK umbea wa mtu mmoja(ben) usiwe ndio msimamo wa chama.huo ujumbe kaupata kisawasawa huyo dogo mapepe!
 
Juzi kati hapa baada ya kukamatwa lwakatare, ben saanane alipendekeza zitto naye akamatwe ahojiwe, imekaaje hii
 
Kila mara Mh. Zitto anapotoa Press Release, badala ya kujibu tu swala lililoko mezani, anakuja na mjadala mwingine.

Kwangu mimi, nimedonoa hii sentensi ambayo ni fupi lakini ina ujumbe mzito sana.

Ningependa kufahamu huyu MMOJA anayemwongelea katika matendo yake ambayo jamii isiyaone ndiyo matendo ya chama.

Hiyo kauli imekaa ki-JKT zaidi mkuu, isikupe shida kuichambua...
 
Kitu inayo wasumbua baadhi ya viongozi wa CDM ni kuona Zitto anakubalika pande zote, CCM na CDM. Na hii ndio inawafanya wale roho zao. Wamechemsha zaidi pale walipo mteua Ben achuane na Zitto.

Umegusa pale pale.Hilo ndilo chama cha magaidi wanaumia Kuona Zitto aakubalika sehemu zote.
Ben saanane weka mbali na sumu
 
Kitu inayo wasumbua baadhi ya viongozi wa CDM ni kuona Zitto anakubalika pande zote, CCM na CDM. Na hii ndio inawafanya wale roho zao. Wamechemsha zaidi pale walipo mteua Ben achuane na Zitto.
Na nyie mliokuwa mnadai Dr. Slaa alitaka kumuua zitto. Na kwamba Ben Saanane ndio alikamatwa na hiyo sumu pale lunch time hotel, habari hizo mlizipata wapi? Mwenyewe mbona anakana.
 
Last edited by a moderator:
Tanzania ya kweli itajengwa na wazalendo. Zitto Usiishie hapa bali huu ndiyo utaratibu na kupitia

kwako, Dr Slaa, Mbowe na wengineo, watanzania kupitia chadema tutaimarika zaidi na kuwashinda maaduwi wanaolenga

kukichafua chama kupitia hujuma za uchawi, mauwaji, udini, ukanda na ukabila.

na viongozi wake kwa kuwagawa na kutugawa kupitia mbinu mbalimbali.

Tafadhali jitahidi mara kwa mara kuwa mwepesi wa kujibu na kutoa ufafanuzi kwa haraka ili kukabiliana na maadui pia

kutufanya wanachdema nchi nzima kuwa kitu kimoja na hivyo kukijengea chama uhalali na kukubalika miongoni mwa

watanzania na kuwa chama cha kupigiwa mfano.

Kwahili umetufurahisha na tunaamini kupitia uzalendo wako wa kweli wengi wataimarika na kujenga imani na

kukiamini zaidi na zaidi chama.
 
Last edited by a moderator:
Napenda kusema yafuatayo:

Moja, sijawahi katika maisha yangu yote kukutana na mtu anayeitwa Ben Saanane na hivyo hicho kikao ambacho inasemekana nilikuwa naye na akajaribu kunipa sumu hakijawahi kutokea. Imetajwa Hoteli ya Lunch Time ambayo sio tu sijawahi kufika, pia hata siijui ipo wapi. Haijawahi kutokea mimi kufanya kikao cha pamoja na Ben Saanane, Juliana Shonza na Mtela Mwampamba. Hivyo habari iliyoandikwa ni ya kufikirika na hivyo naomba mwandishi ahakikishe kuwa vyanzo vyake vya habari vimempa habari sahihi.

Kwa maneno haya ya Mh. Zitto, anataka kutuambia huyu jamaa anayeitwa Ben Saanane ni MUONGO na anafaa KUPUUZWA pale anapokuja na STATEMENT kama hii.
...Sasa kwa sababu kiongozi wangu Zitto Kabwe ameibuka na kujaribu kukanusha na kupotosha imebidi nije niweke sawa upotoshaji huu japo kwa kifupi:
Ndugu Zitto,

Mosi:
Sishangazwi na kauli yako kwamba hunifahamu. Ni muendelezo wa siasa zile zile za kutosimamia ukweli na kuendekeza siasa za uongo na upotoshaji. Nimemkumbuka Mwanasiasa Mzee Stephen Wassira (Aliyekitabiria CHADEMA kwamba kitasambaratika) aliposimama na kumkana Mwanafamilia wake mbele ya vyombo vya habari kwa sababu ya siasa na katika mkakati wa kuendeleza ghiliba. Kama mwanasiasa wa Tanzania anaweza kumkana hata mwanafamilia au kusema chochote hakuna la kushangaza.

Sasa, kwa kuwa ushahidi ninao wa jinsi tunavyofahamina na jinsi tulivyoshirikiana kuwashughulikia viongozi wa juu wa chama pamoja na uhusika wetu katika hujuma dhidi ya chama nitaomba chama changu sasa kiitishe kikao cha dharura ili nimwage mambo yote nyeti na ushahidi nilio nao ndani ya vikao. Naamini katika vikao kwa kuwa napenda kuona CHADEMA kikikua kama Taasisi imara ya mabadiliko.

Jana nilimwambia Dr. Kitila haya mambo baada ya wewe kuongea nae na kunitaka mimi niingie JF nikanushe thread hii iliyoanzishwa na Mamuya. Kumbe shinikizo lote ulitaka nikusafishe tu, kitu ambacho sikuwa tayari kufanya. Ushahidi nianao pia! Ulipoona imeshindikana mimi kumkana Exaud Mamuya, wewe ukaamua kuja huku kuja kunikana. Hizo rhetorics unazotumia katika dhana ya kujenga ukabila kwa kufanya ulinganisho wa Mamuya na Ben Saanane ni muendelezo wa propaganda chafu dhidi ya chama ambazo mimi na wewe tulikuwa tukizitumia kuhalalisha kazi yetu hii ambayo kimsingi niliamua kuachana nayo na sikuwa tayari kuendelea kuishiriki.

OTHERWISE, who is telling the TRUTH?.
 
acheni kuzunguka zunguka. Jibuni thread ya zitto. Nyie ndio kila siku mnaeneza propaganda kuwa dr. Slaa alitaka kumuua zitto. Sasa mwenyewe amekana na aibu imewakumba. Narabuuk!

soma post mara tatu,kunasehemu zitto kakana kunpewa sumu?
Acha kupindisha mambo wewe..zitto anasema "vitendo vya mtu mmoja visigeuzwe propaganda kwa taasisi nzima"
 
Back
Top Bottom