Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

Ungekua principled ungetaja makosa yangu badala ya kutanguliza emotions.By the way,nipo busy kushughulikia maswala ya kisheria na kila aliye-play part ni lazima atajutia na kuzilipia hila hizi.Sipendi mambo ya kijinga jinga
Utatapatapa sana, mambo gani ya kijinga zaidi ya uliyokwisha yafanya. Usianze kulia u victim kutafuta public sympathy, makosa yako yote unayatambua.
 
Hiki ndo nilikuwa nakisubiri kwa Zitto maaana kukaa kimya ilikuwa inaonekana kawatuma na anahusika moja kwa moja.sasa kila kitu kimekuwa wazi,wale wanaotumia jinalake kisiasa komeni.
 
Niliposikia habari hizi kwa mara ya kwanza, nilishtuka na nilitamani sana kuelewa ni nini kilichotokea na nikiamini ya kuwa dakitari Wiliburodi amelikoroga...lakini nilipokuja kusoma mwenendo mzima ni vigumu sana kwa akili ya kawaida kuelewa ni nini kilikuwa kinafanyika..na hata kama ndivyo ilivyotokea bado imekaa kama mchezo wa kuigiza zaidi kuliko uzito wa jambo lenyewe...ZITO+DAKTARI WILIBURODI+SUMU...mmmm...ni wale tu tulioenda kunywa kikombe cha babu ndio itatuingia akilini.."other wise " naona kama mchezo wa kuigiza....Any way bila kujali "starring" alikuwa ni bwana saa nane au saa tisa lakini mtazamo wangu kwa hizi sarakasi zooote zinazoendelea kila kukicha...ni ukweli usiopingika ya kuwa CDM "it is not a house" kwa mtu kama ZITO na wala "it wili never be",,Mr Zito you need a home...CDM waachie watu kama kina mnyika, Lema, Lisu, Halima, Analelya, bi Helen, kina Markus na wengineo. Sisemi MAGAMBA panakufaa la hasha...Wewe ni great thinker.....THINK....Natamani nikuone pale magogoni miaka mitano au kumi ijayo kwangu weye ndiye mwanasiasa wa ukweli kwa tanzania ya sasa, Weye ni JEMBE kaka..........TAFAKARI...
 
Niliposikia habari hizi kwa mara ya kwanza, nilishtuka na nilitamani sana kuelewa ni nini kilichotokea na nikiamini ya kuwa dakitari Wiliburodi amelikoroga...lakini nilipokuja kusoma mwenendo mzima ni vigumu sana kwa akili ya kawaida kuelewa ni nini kilikuwa kinafanyika..na hata kama ndivyo ilivyotokea bado imekaa kama mchezo wa kuigiza zaidi kuliko uzito wa jambo lenyewe...ZITO+DAKTARI WILIBURODI+SUMU...mmmm...ni wale tu tulioenda kunywa kikombe cha babu wa loliondo ndio itatuingia akilini.."other wise " naona kama mchezo wa kuigiza....Any way bila kujali "starring" alikuwa ni bwana saa nane au saa tisa lakini mtazamo wangu kwa hizi sarakasi zooote zinazoendelea kila kukicha...ni ukweli usiopingika ya kuwa CDM "it is just a house" kwa mtu kama ZITO.,,"Mr Zito you need a home"...CDM waachie watu kama kina mnyika, Lema, Lisu, Halima, Analelya, bi Helen, kina Markus na wengineo. Sisemi MAGAMBA panakufaa la hasha...Wewe ni great thinker.....THINK....Natamani nikuone pale magogoni miaka mitano au kumi ijayo kwangu weye ni mwanasiasa wa ukweli kwa tanzania ya sasa, Weye ni JEMBE kaka, hapo kwa babu Eduu sio..........TAFAKARI...
 
Ukiwasikiliza vizuri Mwampamba na Shonza utagundua kuwa hhawa lazima ni son of the beach au single parents yaani wanababa tu au wana mama tu WANA MAPUNGUFU YA MALEZI ndiyo maana wametokea kuwa wavutabangi na makahaba kwa vile hawakulelewa kikamilifu
 
Nilijuaga JF wote ni ma Great Thinker kumbe tuna vilaza kibao sijui tutawasaidiaje ili tuwe tunajadili mambo kwa uhuru. hapa hatuko kuchambua ID tuko kuchambua maada acha ubongolala kama huna point jaribu nyingine mnachosha sana, haya kuanzia sasa nitalikana jina langu kisa ukiliona unaweweseka KILAZA - MBURULA wewe

As a Great Thinker...umekosea jinsi ya kumjibu kijana huyo aliyetoa rai yake kwako kwani ametumia lugha nzuri ambayo ilihitaji busara yako.....badala yake umemvaa kwa "vulgar language" na kumuita majina yote mabaya....hii umeonesha gadhabu tu you didnt act as a great thinker but a highly tempered....work out on what you advise others!
 
Da mkuu usilolijua ni usiku wa kiiza nimekoma kukurupuka nitafanya research kwa kila jambo kabla ya kutoa comment.
 
Mtela Mwampamba
haupo logical,una jicontradict kwa kueleza mabaya ya Zitto kwenye paragraph za juu yet unasema ndio anafaa kuwa kiongozi wa Chadema kwenye paragraph ya mwisho.

Mbona unamtisha sana Zitto, ndiyo Mtela mpya

Mtela hawezi kumsaliti ZZK ndio maana hata anapojaribu kumtishia Zitto anababaika, and I know atababaika sana, labda kwanza AOKOKE vinginevyo "viapo vya kuapizana kishirikina sio vyepesi" Ndio maana hata Zitto mwenyewe anawakana wenzake kimagumashimagumashi anaogopa hata kuwataja majina.
 
Siku za hivi karibu mbunge machachali wa kigoma kaskazini alikanusha uvumi uliokuwa ukienezwa kwamba kulikuwa na mpango wa kumuua na ukihusisha viongozi wenzake......kuvunja ukimya kwa zitto kumeweka mambo sawa kwani tupo tuliokuwa tumeaminishwa kuwa kuna njama hizo......pamoja na majibu ya zitto bado kuna wanaolalama kana kwamba wao wanaujua ukweli huo zaidi ya zitto mwenyewe......nachojifunza hapa ni kwamba vijana tulio kwenye vyama vya siasa tunashabikia watu zaidi kuliko misingi ya chama kama taasisi.........kuna vijana walikuwa wanajidhalilisha mchana kweupe kuwa wanachukiwa kwa sababu ni wafuasi wa zitto hivo wakamgeuza zitto awe mtaji wao ili waonewe huruma na jamii leo zitto anasema hakuna mpango huo...........maskini vijana hawa wamekosa pa kushika matokeo yake wamemgeuka huyo zitto na kuanza kumwita msaliti........usaliti hapa uko wapi? Vijana wenzangu mlisahau kuwa kwenye siasa hakuna urafiki wa kudumu isipokuwa maslahi pekee? Hakika nilikuwa sina imani na john heche nashawishika kusema ni kiongozi anayehitajika zama hizi............na kwa chama cha mapinduzi mwenyekiti amekuwa akisisitiza kuwa umoja ni ushindi lkn bado vijana wenzangu wameendelea na siasa zao za makundi na kuchafuana humu kwenye mitandao.......vijana tutatumikia watu mpaka lini? Tutaendelea kuwa daraja hadi lini? Naomba vijana tubadilike regardless ya vyama vyetu......tutumikie misingi ya vyama vyetu na sio watu kwani hao watapita na vyama vyetu vitabaki.....tunapotumikia watu ndani ya vyama vyetu tunaua ile dhana ya chama kuwa taasisi matokeo yake kuna kuwa na miungu watu ambao hata wafanye nini hatuwezi wagusa kwani kuondoka kwao ni kufa kwa chama. I stand to be collected
 
Hebu tuweke wazi bw ben, zito katika kukana kuwa anawindwa kuwekewa sumu alisema hajawai kukutana na mtu aitwae ben sanane. Je, ni kweli Ben hujawai kukutana na zito katika maisha yako? Please, kuwa mkweli.
 
Mods,

Tumechoka na hizi sarakasi.
 
Hebu tuweke wazi bw ben, zito katika kukana kuwa anawindwa kuwekewa sumu alisema hajawai kukutana na mtu aitwae ben sanane. Je, ni kweli Ben hujawai kukutana na zito katika maisha yako? Please, kuwa mkweli.
Zitto ameshasema zaidi ya mara moja kuwa hajawahi kukutana kiumbe yoyote yule anayeitwa Ben Saanane.

Ben Saanane hajawahi kusema ameshakutana naye,however kwenye maelezo yake ya mawasiliano yao ni kama vile alitaka tuamini ama kuonyesha kuwa walishawahi kukutana.

Ben Saanane alishawahi kuweka mawasiliano ya text messages baina yake na Zitto,ikionyesha kama vile walipanga kukutana.

Hadi usawa huu,maybe nimsikie Ben,otherwise nitaaamini kuwa hawajawahi kukutana.
 
Hebu tuweke wazi bw ben, zito katika kukana kuwa anawindwa kuwekewa sumu alisema hajawai kukutana na mtu aitwae ben sanane. Je, ni kweli Ben hujawai kukutana na zito katika maisha yako? Please, kuwa mkweli.

JK: sijui nani mmiliki wa Richmond
Zitto :Sijawahi kukutana na wala simjui Ben Saanane
Dr Shein na Maalim Seif:Hatuwafaham uamsho
Uhuru Kenyatta:sijawahi kuona hata mfuasi mmoja wa MUNGIKI

BADO MZEE WA HAKUNA MGAO WA UMEME,
 
Hebu tuweke wazi bw ben, zito katika kukana kuwa anawindwa kuwekewa sumu alisema hajawai kukutana na mtu aitwae ben sanane. Je, ni kweli Ben hujawai kukutana na zito katika maisha yako? Please, kuwa mkweli.

-Majibu yangu nilishayatoa huku.Sioni sababu yoyote ya kuanzisha thread kama hizi

-Badala ya kuniuliza mimi muulize yeye awe mkweli.Sipendi malumbano ya kipuuzi kwa vitu ambavyo ni obvious.

-Kama umesoma gazeti la jambo leo la jana utakutana na maoni ya marafiki zetu wa zamani na utajua ni lipi linaloendelea

-Akina Mwampamba walikana humu mwezi December,kila mtu alinikana lakini baada ya wao kukanwa juzi wameona hakuna dili kuendelea na siasa za kinafiki.Wamechoka na wamesema pamoja na mapungufu na upotoshaji fulani kweny kauli zao

-Hili suala sipendi kulijadili kwa kuwa ni la kipuuzi.Kuna vikao vinakuja ndani ya chama.Anayesema mimi ni muongo nitasema ukweli juu yake hadi atakapoacha kusema uongo juu yangu

-Bernard Membe alituachia fumbo watanzania,tujiulize kwamba ujasiri huu wa kusema uongo kwa kiwango cha kutisha tumeutoa wapi.Nami nawaachia kitendawili hiki hiki mkitegue.
 
Back
Top Bottom