Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

Habari za kwenye kanga hazitakuletea maendeleo,kama unataka ushauri kawafuate wahusika wapo ambao ni ben na zitto.wao wamekataa wewe unataka nini km vipi tengeneza na wewe move urushe yutube
 
Mkuu mimi nilisoma habari hii kwenye gazeti hilo la Tanzania Daima online jana usiku na nikabaki najiuliza hilo swali na sikuwa hata na hamu ya kuli-copy na kuli-paste hapa JF Kwasababu niliona mwisho wa haya malumbano kwenye mitandao ni kukigharimu chama.

Hata hivyo,kuna mmoja miongoni mwa hawa watu wawili haseme ukweli(ni muongo).Athari za malumbano yao ni kuharibu jina na image ya chama mbele ya umma.
 
vitu vingine vinatia kichefuchefu,ndiyo maana wanasema siasa ni mcchezo mchafu.ninavyomfahamu dr slaa is a highly reputable person.kwanza amelelewa ktk utumishi wa Mungu na siyo zito kabwe.sikubaliani na kauli za zitto ninachojua zito ni mpenda sifa na anataka kujipatia sifa kupitia mgongo wa dr slaa.siamini slaa anweza kupoteza muda wake au kujiingiza ktk tukio kama hilo.mimi ninachokiona ni jinsi zitto anavyotaka kuwaaminisha watanzania kwamba yeye ni mtu maarufu sana hapa tanzania.anajisumbua hii siyo tanzania ya jana labda kama ana agenda yake nyingine aiweke hadhalani.dr slaa ni mcha mungu na ni mwadilifu na siyo zito.dr slaa ameongoza balaza la maaskofu watu ambao ni highly acceptable in a society.taasisi ambayo ni ya kidini na yenye maadili ya hali ya juu.hana shida ya madaraka,ni mzalendo ambaye anachukia na kuyakemea maovu halafu leo hii eti amwue zito for what reasons,for whose benefits.zito ni mtoto mdogo ukilinganisha na dr slaa na ana international exposure hata huwezi kuwaweka ktk mizani moja na zito.nadhani kama ni matamshi ya zito mwenyewe atakuwa amekengeuka na kama propaganda za vyombo vya habari nadhani vyombo hivyo vikafungiwa sababu vinachochea amani ya nchi ambayo Hayati Mwl Nyerere aliijenga kwa gharama kubwa.
 
Leo Alhamisi 28 March 2013, nafungua gazeti la Tanzania Daima nakutana na habari kuu isemayo CHADEMA SI PANGO LA WAUAJI. Naingia ndani zaidi na kukutana na habari za press conference ya Zitto na waandishi wa habari akikanusha uvumi wa kuwa Ben Saanane aliwahi kutumwa na Dr Slaa kumuua kwa sumu.

Katika habari hii anaonekana mia kwa mia kumsafisha Dr Slaa kuwa haamini anaweza kupanga njama za kumuua kwa kuwa hakuna sababu zozote za kufanya hivyo. Ninapo pata shida kuelewa ni pale Zitto ambaye ni naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA (Bara) kukili kutomfahamu Ben Saanane kijana mwenzie Mjumbe wa BAVICHA wakati huo huo akisema hajawahi kukutana naye.

Nilipoendelea kusoma habari hii, nakutana na maelezo ya Ben Saanane akieleza kuwa alikwisha kutana mara kadhaa na Zitto, japo kuwa maelezo yao wote yalifanana kwa kutowahi kukutana hotel ya Luch Time kikao kinachodaiwa ilipangwa Zitto akiingia kwenye target azimishwe kwa sumu.

Katika aya ya sita(6) ya gazeti hilo Zitto anasema, "...sijawahi katika maisha yangu yote kukutana na mtu anayeitwa Ben Saanane..." Naye Ben Saanane katika aya ya kumi na nane (18) mwandishi anaandika hivi Aliongeza kuwa mara zote alizokutana na Zitto hajawahi kufika hotel ya Luch time.. Anasema Ben Saanane.

Wana JF, Zitto anasema hajawahi kukutana na Ben Saanane maisha yake yote Ben Saanane anasema. Mara zote alipokutana na ZITTO.... Hii contradiction ya Zitto sijawahi kukutana na Ben naye Ben mara kadhaa nilipokutana na Zitto imekaaje? Naombeni mawazo yenu.

Kwani ukikutana na mtu lazima umfahamu yeye anawezakukufahamu kwa umaarufu wako wa ubunge au cheo chochote na kama kina ben walikuwa kwenye form ya group na kiongozi mkubwa wa group aliyewafanya mkutane na huyo kwa kumsindikiza ni dhahili unaweza usimtambue kwa Zitto kutombambua Ben hilo lipo itategemea na mazingira hapo juu.
 
Hawa hawako pekee yao. Ni GENGE la WAHUNI linaloongozwa na MWIGULU, NAPE na KIGWA. Huenda wako mbioni kuuwa viongozi wa CHADEMA ili asingiziwe Slaa

MaCCM hayashindwi, maaan siasa safi na demacrasia zimewashindakabisa, yanatapatapa tu.
Na huyo Mangula ndio anaedai kuwa vijana hao( Nepi,Mwigulu na Kingwa) eti ndi wanaweza kupambana na Chadema,
vijana wenyewe ndio hao mamburula.
 
sawa bwana ZITTO,umekanusha lakini hao watu hawajahama chadema ila walifukuzwa na chadema,wewe kama kiongozi unatakiwa kuweka kumbukumbu sawa,pili hawa unaosema kwamba wamehama umewalea siku nyingi sana kwa kukufanya wewe kama daraja lao la kisiasa na kuihujumu chadema,wamekuwa wakikutaja mara kwa mara hata kabla na baada ya kufukuzwa kwamba wanakupenda sana na wanaona unaonewa,bila wewe kukanusha wala kukubali,ndio maana wananchi wengi imewajengea hisia kwamba na wewe ni sehemu ya wanao hujumu chama na viongozi wenzio kana kwamba hampo pamoja,tatu kitendo cha bwana mwigulu nchemba kusema mbele yako kwamba anao mkanda/video inayopanga kuwashambulia waandishi wa habari bila kusema lolote pale kama kiongozi ilitusikitisha sana wengi,maana anaposema chadema wanayo video na wewe kama kiongozi wa juu pale,haikupendeza kukaa kimya
 
Ben Saanane Kwa mara ya kwanza huna maneno ya kusema au yote unamwaga kwa kutumia ile id nyingine?
 
Last edited by a moderator:
Lwesye Ndiyo maana huko juu niliamini Zitto angekaa kimya basi stori ya gazeti ingebaki bila mashiko. Hapa sasa naona its still loading ..........
 
Last edited by a moderator:
Jembe, haufi leo Dr urais miaka 10 atatawala wewe ni kijana nakupa 20 ya utawala kama marais wa Bongo kupitia CHADEMA kuanzia 2015. No harry! Unatoka Kigoma ninatoka Uvinza ni Kigoma moja na pamoja tutashinda!
 
....................Gazeti la Mtanzania ni wazushi na wazandiki na huu ni mwanzo .....chunga sana


si mmemuona zitto ni jinga???? soma hapa chini
Ben Saanane

19th March 2013 18:07
#1
JF Senior Expert Member
verified.png
Array


Join Date : 18th January 2007
Posts : 6,011
Rep Power : 15791
Likes Received3968
Likes Given5953



[h=2]
icon1.png
Hali inayoendelea sasa Ndg Zitto, Mwigulu, Shonza, Nape, Mchange na Mwampamba wahojiwe[/h]


ZITTO KABWE

Aliongelea kuwa (ana experience kuwa) kuna watu wanataka kumuua na haya yaliandikwa humu jamii forums siku chache kabla Mwigulu Nchemba hajatangaza kwamba ana video ya viongozi wa CHADEMA wanataka kumdhuru.Zitto alitangaza haya muda mfupi baada ya mipango ya kundi la MASALIA/PM-7 (kama linavyoonekana hapo kwenye picha isipokua Chege ambaye hakua Member) kutibuka.Kundi la PM-7/MASALIA lilitumiwa na Mwigulu Nchemba kabla hatujalilipua humu kwa ajili ya kukihujumu chama na ndiyo maana baada ya mipango kutibuka tu walikimbilia CCM kwa uratibu wa mwigulu Nchemba na Nape.Sasa kauli za kiuongozi wangu Zitto nazo zihojiwe maana inasemekana na hata yeye amekiri kwamba amesiki kauli hizi za kutaka kuuwa na wakati mwingine amekwepa na kuvuka hatari hizi.Baadaye akina Juliana shonza,Mtela Mwampamba na Habibu mchange kwa nyakati tofauti walikuja kutamka maneno yale yale aliyotamka Ndugu Zitto na hadi sasa wanayasema kwenye blogs na mitandao mbali mbali ya kijamii
 
Mtela Mwampamba
NINAVYOMFAHAMU ZITTO ZUBER KABWE - KILIO CHA USALITI (Sehemu ya Tatu)

- Umma ubaini ni nani ZITTO ZUBER KABWE ndani ya Chama mjenzi, nguzo, mhimili ama mhujumu chama. Nafanya hivyo kwa lengo la kutetea maslahi ya Kitaifa, maana watu hawa wanabeba nembo na sura ya Utaifa, na ni ubaya ulioje watu wasio na DHATI ya kiutawala kuaminiwa katika Utawala.
Kwanza, nimeipitia kwa Umakini Mkubwa Taarifa hiyo ya ZITTO na kushuhudia UNAFIKI MKUBWA, UPOTOSHAJI NA UONGO ULIOKITHIRI KATIKA BAADHI YA VIPENGELE NA KUJIKOMBA KUSIKO NA HATA CHEMBE YA AIBU WALA SONI

- Z
ITTO kuwa hamfahamu BEN SAANANE na kuwa anaweza kupishana nae njiani bila kumtambua na aendelee kuamini hivyo lakini nasema hiyo ni too much of exaggeration on his expressions.

- Karata yako ya mwisho inayo-determine maisha yako kama mwanachadema iko mikononi mwetu, Please brother, Don't mess with your last poker chip, u will lose the game.
Kauli yangu Moja ya Ushuhuda inamaliza Uhai wako ndani ya Chadema., Kuwa makini, THIS IS SERIOUS…!

- nataka upinzani makini unaosimamiwa na watu walio makini na kwa mtazamo wangu (ambao ninao tangu awali na haujabadilika) Wewe ZITTO unao uwezo, maadili na nidhamu ya kuweza kusimamia Upinzani huo. (nayasema haya kwa kuwa nawajua viongozi wenu)
Mtela Mwampamba
haupo logical,una jicontradict kwa kueleza mabaya ya Zitto kwenye paragraph za juu yet unasema ndio anafaa kuwa kiongozi wa Chadema kwenye paragraph ya mwisho.

Mbona unamtisha sana Zitto, ndiyo Mtela mpya
 
Saanane ang'aka

Naye Saanane aliyedaiwa na gezeti hilo kuwa ndiye alikuwa ametumwa kumdhuru Zitto, alisema amesikitishwa jinsi lilivyoshiriki katika dhamira nzima ya kumchafua.

Akizungumza katika ofisi za Tanzania Daima jana, Saanane ambaye ni mjumbe wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) alisema kutokana na habari hiyo ameamua kukutana na wanasheria wake kuangalia hatua za kuchukua ili ukweli ubainike.

"Nasisitiza sijawahi kupanga kumuua mtu yeyote, sijawahi kutumwa kumuua Zitto Kabwe. Nimesikitishwa kuona chombo cha habari kikitumika kwa maslahi binafsi ya kuchafua watu kisiasa," alisema.

Aliongeza kuwa mara zote alizokutana na Zitto, hawajawahi kufika katika Hoteli ya Lunch Time wakiwa pamoja kama ilivyoelezwa katika gazeti hilo.
 
Huyu Ben Saanane ni Mzigo kwa chadema. Hana heshima wala adabu kwa kiongozi wa chama chake. Na kauli chafu zisizovumilika.

Kwa nini chadema hamumchukulii hatua za kinidhamu? Mbona mnamuendekeze?
 
<b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=1098" target="_blank">Ben Saanane</a></b> Kwa mara ya kwanza huna maneno ya kusema au yote unamwaga kwa kutumia ile id nyingine?
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Unaweza kuthibitisha hiyo ID?Itaje....<br />
<br />
Hii thread nina interest nayo kama ilivyo ile thread aliyoanzisha Mwampamba usiku japo Mods waliiondoa kwa malengo wanayoyajua wao.Nimehifadhi ile thread kwenye computer yangu kama kielelezo cha ziada!<br />
<br />
Hatimae waongo na wanafiki bila kujali itikadi zao wameanikwa na bado.

BTW:Siyo lazima nijibu kila thread!
 
Huyu Ben Saanane ni Mzigo kwa chadema. Hana heshima wala adabu kwa kiongozi wa chama chake. Na kauli chafu zisizovumilika.

Kwa nini chadema hamumchukulii hatua za kinidhamu? Mbona mnamuendekeze?

Pole sana masalia... nadhani wewe ndio utakuwa na mzigo kichwani mwako Chadema ipo imara na Ben yupo makini. pole gamba kwa kujiuliza maswali...
 
Huyu Ben Saanane ni Mzigo kwa chadema. Hana heshima wala adabu kwa kiongozi wa chama chake. Na kauli chafu zisizovumilika. <br />
<br />
Kwa nini chadema hamumchukulii hatua za kinidhamu? Mbona mnamuendekeze?
<br />
<br />
Ungekua principled ungetaja makosa yangu badala ya kutanguliza emotions.

By the way,nipo busy kushughulikia maswala ya kisheria na kila aliye-play part ni lazima atajutia na kuzilipia hila hizi.Sipendi mambo ya kijinga jinga
 
kuna siku nataka nifunge safari niende clouds nione watangazaji wanafananaje kimaumbile, haiwezekani mwanaume kamili ukawa unafanya mambo ya kike vile alafu nyumbani umeacha watoto wanakusikiliza
si ndo maana wanaitwa wanaume wapaka ina..bado tu kujifunga kanga kiunoni
 
Ben Saanane Kwa mara ya kwanza huna maneno ya kusema au yote unamwaga kwa kutumia ile id nyingine?
Mtu makini siyo kila thread kukurupoka kama nyie vilaza na pumba zenu, sasa umecomment nini zaidi ya majugu, eti ID nyingine!! kumbe huwa mnazo kibao eh! maCCM bana....
 
Back
Top Bottom