Josephine03
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 752
- 302
Mama Josephine,
Kama wewe ndiye mke wa Dr. Slaa, nakushauri usiwe una-comment humu, especially kwa masuala yanayomhusu mzee au CDM. Ndiyo, ni haki yako lakini at times nafikiri unafanya kazi ya Daktari inakuwa ngumu sana. You will do more to support the cause by watching from a distance than trying to defend your husband in this forum. I am just saying. I maybe wrong.
Nilijuaga JF wote ni ma Great Thinker kumbe tuna vilaza kibao sijui tutawasaidiaje ili tuwe tunajadili mambo kwa uhuru. hapa hatuko kuchambua ID tuko kuchambua maada acha ubongolala kama huna point jaribu nyingine mnachosha sana, haya kuanzia sasa nitalikana jina langu kisa ukiliona unaweweseka KILAZA - MBURULA wewe