Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Unaweza kuthibitisha hiyo ID?Itaje....&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Hii thread nina interest nayo kama ilivyo ile thread aliyoanzisha Mwampamba usiku japo Mods waliiondoa kwa malengo wanayoyajua wao.Nimehifadhi ile thread kwenye computer yangu kama kielelezo cha ziada!&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Hatimae waongo na wanafiki bila kujali itikadi zao wameanikwa na bado.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
BTW:Siyo lazima nijibu kila thread!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mbona huo uzi umeshatuwekea humu. Halafu watu wanakusifia mjanja, naona tangu hii thread ianze unahangaika kama umejinyea. Huyo ndio Zitto kama ulikua humjui, uzi mmoja tu mambo yamekubadilika.
 
Sasa naona kama tuakaribia kuipata DHAHABU safi (CHADEMA).

Baada kupondwa pondwa kwenye ma-Crusher ya UDINI na UKABILA na kuchujwa kwa Cyanide na Mecury (propaganda feki)

Sasa inachomwa kwa MOTO mkali ili kuondoa kila PUNJE ya mchanga ulijibakiza humo.

Furaha ipo karibu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Mbona huo uzi umeshatuwekea humu. Halafu watu wanakusifia mjanja, naona tangu hii thread ianze unahangaika kama umejinyea. Huyo ndio Zitto kama ulikua humjui, uzi mmoja tu mambo yamekubadilika.
<br />
<br />
kw hyo unasemaje
 
Heri hawa wengine wameacha huo mtindo wa kuua watu, sasa wamejikita kungoa kucha, meno na macho. au kumwagia tindikali kwa jaaam!
 
Mh.zitto haya magazeti yetu na vyombo mbalimbali vya serekali vinaendeshwa na skendo/mawazo ya watu humu jamii forums1)TCRA ilivifungia vyombo kadhaa vya habari baada ya thread kuanzishwa humu2)gazeti hilo la mtanzania na magazeti mengine yanaendeshwa na habari wanazoziona huku3)hata kukamatwa kwa lwakatare walipata hiyo clip hukuhuku jamii forumsKwaiyo nadhani wasikupe shida sana na pili washauri wabadilike kama nchi inaendeshwa na mawazo ya watu hapa jf inasikitishaKikubwa mheshimiwa zitto nakushauri hama chadema na utengeneze chama chenye malengo ya kumkomboa mtanzania Chadema imeshaoza sana .........Take this from me
Loh paragraph ya mwisho umeharibu kwel yan changamoto kidogo atoke nduki...fikiria tena umshaur upya
 
kaka nakupongeza sana kwa bandiko lako Mungu akutie nguvu.
 
Hayo ndio madhara ya kuporomoka kwa maadili.Kila sekta hapa nchini imeoza ,ni nani amnyooshee mwenzake kidole kwa mapungufu haya na yale.Mawazo yangu mimi ni kuwa jeshi lingetawala kwa miaka kumi kuanzia 2015,ili nidhamu irejee kila mahali tuanze upya.Vinginevyo, hakuna wa kuleta mabadiliko tunajidanganya.Nani anatii sheria nchi hii?
 
Hayo ni matunda ya kuhudhuria JKT!! Big up Zitto and keep it up!!
 
Ni ujasiri mkuu mtu kuwakana mashabiki wapya wanaomchonganisha kwa rafiki wa enzi! Heko rafiki wa enzi, Zito
 
Ni ujasiri mkuu mtu kuwakana mashabiki wapya wanaomchonganisha kwa rafiki wa enzi! Heko rafiki wa enzi, Zito

Yeah, maadui wapya ni wakuwaaangalia sana hasa ukichunga marafiki wa zamani.
Kwa ujumla namfagilia sana Mheshimiwa Zitto na pia naomba nia yake ya kugombea urais asirudi nyuma mana
chama kinahitaji rais kijana kama yeye atakaye mudu mchakamchaka wa kuitoa Tanzania katika wimbi la ufisadi
liliojengwa kwa miaka mingi na utawala wa magamba.
 
Ahsante kamanda zitto kwa kukata mziz wa fitna...! Sasa ni harakati na mikakati kuhakikisha 2015 Chadema tunamkomboa mtz aliyechoshwa na utawala dhalimu wa serikal ya CCM...!
 
Hivi siamini kama mpaka leo hii kuna watu wenye fikra finyu kama wewe. Nchi yetu inahitaji ukombozi. Imaniticipate urself frm mentally slavish.
 
<br />
<br />
Ungekua principled ungetaja makosa yangu badala ya kutanguliza emotions.

By the way,nipo busy kushughulikia maswala ya kisheria na kila aliye-play part ni lazima atajutia na kuzilipia hila hizi.Sipendi mambo ya kijinga jinga

Ben, mie nakuamini kwa sasa kwani ndie ulifanya hata wanafiki waanze kulumbana!! Bado Zitto ana maswali mengi ya kujibu.....
Ukifanya ulichosema hapo juu.....itasaidia sana kuwaumbua wanafiki ....endelea kamanda!
 
People bwana....are real funny caricatures.Wanabebwa irahisi na makanusho yasiyo na mshiko.Ndiyo maana JK alijisemea kuwa "ni upepo utapita", maana anatambua fika kuwa anaongoza Jamhuri ya mazombi. Ona hapa watu walivyogeuzwa akili kirahisi mithili ya mtoto ageuzavyo viatu.Huwa nashindwa kuelewa where do they stand.
 
Haya mama. You know better. Ujumbe wangu ulimlenga Josephine ambaye ni partner wa Dr. Slaa. If you are not the one, forgive me. And I was just saying. And I still think my message is valid. Wengine husema kwa nia njema. Vilevile, hukuwa na sababu ya kutukana. You are actually a great thinker. No?

Mnakurupuka sana, muhimu ni mada kwani kuna mahali umeona Josephine Mushumbuzi hapa? au unafikiri Josephine ni huyo unayemjua wewe tuu
 
Haya MAGAMBA pangeni propaganda nyingine kwani hiyo jibu mmelipata.Kama hamtaki kuamini, CHADEMA ni chama makini chenye viongozi wenye busara na wasiotishika hata kwa virungu, risasi na mabomu.Viongozi wetu hawaogopi kuwajibika kwetu na wapo pamoja nasi wanachama wao,isipokuwa wale virusi wenu ambao antivirus yetu inafanya kazi ya kuwaondoa kwenye mtandao wetu kwa mujibu wa katiba yetu na si kwa kutoana kucha au kwa Kolimba styling.Nawashauri muanze kujiandaa kuachia nchi kwa amani 2015 na itakuwa busara zaidi kama mtajiuzuru sasa kupisha chama chenye fikra mbadala kuongoza nchi.
 
Hii ndiyo natija ya watu kujitia katika kazi bila qualifications. hakuna journalist aliyefunzwa akaweza kuandika namna hii (hata kama ni kweli).
Hapa aidha bw Zitto au Dr Slaa inabidi walichukulie hatua gazeti hili kwa kulishtaki. Hii ni defamation mbaya sana ambayo licha ya kutaka kuchafua chama kwa malengo ya kisiasa, ingeweza pia kusababisha mauaji.
Msiwaachie hawa, kwani kwa kufanya hivyo wataendelea.
Nani mhariri wa gazeti hili?
 
Yeah, maadui wapya ni wakuwaaangalia sana hasa ukichunga marafiki wa zamani.
Kwa ujumla namfagilia sana Mheshimiwa Zitto na pia naomba nia yake ya kugombea urais asirudi nyuma mana
chama kinahitaji rais kijana kama yeye atakaye mudu mchakamchaka wa kuitoa Tanzania katika wimbi la ufisadi
liliojengwa kwa miaka mingi na utawala wa magamba.
Si bora nimpigie kura mama yake akiomba kugombea kuliko huyu mnafiki anatia aibu chama kwa level ya exposure aliyonayo nisingeyegemea msiri wake mkuu eti ni mtera no wonder kaenda sputh africa kupunga mapepo
 
Hii ndiyo natija ya watu kujitia katika kazi bila qualifications. hakuna journalist aliyefunzwa akaweza kuandika namna hii (hata kama ni kweli).
Hapa aidha bw Zitto au Dr Slaa inabidi walichukulie hatua gazeti hili kwa kulishtaki. Hii ni defamation mbaya sana ambayo licha ya kutaka kuchafua chama kwa malengo ya kisiasa, ingeweza pia kusababisha mauaji.
Msiwaachie hawa, kwani kwa kufanya hivyo wataendelea.
Nani mhariri wa gazeti hili?
Absalom Kibanda? No huyu ni Mhariri Mtendaji wa Kampuni nzima ya New Habari (2006)
 
Back
Top Bottom