<br />Mh <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=1681" target="_blank">Zitto</a></b> unachotakiwa kufanya ni kuita waandishi wa habari ukanushe na uwaamishe waTz wanaoamini kila wanachokisikia ktk tv zetu,<br />
Nina maana gani <br />
1. Si watz wote ambao wanaweza kuingia kwa net na ktk mitandao ya kijamii<br />
2. Fanya hivyo wtz wote wakisikia maelezo kutoka ktk kinywa chako<br />
hakoka aibu kubwa sana kwa waliokuwa wanashabikia hii mada especialy media!!<br />
<br />
ni maoni yangu tu!
Hawa hawako pekee yao. Ni GENGE la WAHUNI linaloongozwa na MWIGULU, NAPE na KIGWA. Huenda wako mbioni kuuwa viongozi wa CHADEMA ili asingiziwe SlaaNi kweli kabisa watazidi kumwaga uongo ili wakubalike katika chama cha magamba kwa ajili ya kupata nyadhifa na nafasi za kufanya madili.
Subirini tu, sasa hivi wanafikiria mengine kwa vile lile la Zitto kutaka kuuwawa na akina Dr Slaa li mebackfire baada ya mhusika mkuu (Zitto) kukana kuwepo njama hizo. Yaana baada ya mwaka mzima tangu tukio ndiyo wanakuja kusema? Tena baada ya kutimuliwa CDM?
Naamini bado watajitahidi kwa mengine. Na hatutashangaa iwapo watakuja kusema kuwa Ulimboka na kibanda walipigwa kutokana na njama za akina Slaa.
Kuna siku CCm watawastukia watu hawa kuwa ni hatari sana!
Wewe ndio kilaza namba moja,unamtetea huyo aliyehongwa suti nne kilimanjaro???Mpaka sasa ni miaka 8 amefikisha 6% ya ahadi zake utamwitaje????Refer kuna uzi ulikuwa hapa jamvini jana(anayeweza kumwekea huyu kilaza bocho huo uzi msaada pliz)
<br />
<br />
kimeo mwenyewe...abdul mohamed alikuwa anatangaza sports na news now anakula bata majuu landani bbc swahili....
Mimi najua siku nyingi, CHADEMA ni weupe na wingi wa matusi mkiishiwa hoja. Tuthibitishia kwamba ahadi za Kikwete zimetekelezwa kwa 6% kama una akili sawa sawa. Kama hujuwi pia sema ndio uungwana. Inawezekana nikawa kilaza, ila wewe mwerevu hebu tuoneshe namna ulivyoipata hiyo 6%.
Dhana yangu ni kwamba kwa kauli hiyo na huu uzi hapa unaendelea kuuthibitishia ulimwengu kwamba viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao ni waongo. Tukiwapa nchi si mtaiuza nyie?
<br />
<br />
bora akae kimya, otherwise asiwaguse kina mwampamba course inaonekana nao wamechoka kutunza siri.
Yapi hayo mkuu wangu? Usipepese, funguka!Maajabu 7 ya dunia...
Mkuu, samahani, nchi iuzwe mara ngapi? mbona ccm wameisha iuza siku nyingi tu, nambie kitu tunacho miliki wenyewe sasa hivi ni nini? Hujui hata bei ya umeme na hata huo umeme wenyewe wanaoa amua tuwe nao au tusiwe nao sio sisi, kama hili hulijui basi we unaishi sayari nyingine na kama unalijua ila unajaribu kupotosha ukweli, tambua Mtanzania wa leo sio mwaka 1947!