Siri ya Kuuwawa Zitto - UWONGO

MHeshimiwa zitto, with all due respect, please do not sell us short, we are educated lots. I am one of your ardent supporter. Na ninajua ya Kuwa u were aware that there has always been A sinister plan to eliminate you anyways possible by some of the high ranking CDM leaders, who could never compete with you and saw you being the only obstacle to their plans. Yes I like the idea of trying to pull together the party, lakini usitufumbe macho, an usijaribu kuficha uchafu china ya carpet. Let the bad elements in Charlemagne be exposed and good riddance of them, Leo unawatetea bure tutu hao majangili, an usipoangalia watakupata tutu, Kama hukai makini. You are a thorn in their throat and there is no love between yourselves.
 

Hiyo kauli ya Zitto inaonesha kuwa kuna mfarakano ndani ya CHADEMA. Kwa vile wewe ni mfuatiliaji wa posts za humu JF utakuwa shuhuda kwamba wengi wa machadema anapozungumzwa Zitto huwa wanamsema vibaya ikiwa ni pamoja na kumtukana. Cha ajabu sijawahi kusikia kiongozi nwingine wa CHADEMA akimtetea Zitto.

Pitia pitia majina ya wachangiaji leo, kuna baadhi ya wanachadema maarufu hawamo kwa ID zao kwa kuogopa aibu!

Yuwapi Mwita Maranya?
 
Kwanza gazeti hujalielewa vizuri. Pili, sijaona bado mtu mwenye ubavu ndani na nje ya CHADEMA wa kumpeleka Mh. Zitto mahakamani zaidi ya kupiga kelele hapa JF kwa IDs ambazo siyo VERIFIED.
Toa boriti kwenye jicho lako kabla hujatoa kibanzi kwenye jicho la mwenzio.

Mbona hata wewe ni verified!?
 
Mh. Zitto, heshima kwako!

Strategy za serikali ya CCM ni devide and rule. Kwa kuwa hapa umekana kauli ile, umepiga adui bomu la maangamizi.

Umefanya jambo la busara mno mkuu. Ninaheshimu pia ujasiri wa Ben Saanane alivyotoa utetezi wake humu JF.
 
Last edited by a moderator:
Lakini hapa sio walipoweka hiyo habari nafikiri publish kabisa hii ili wakome kabisa
 
Kwanza gazeti hujalielewa vizuri. Pili, sijaona bado mtu mwenye ubavu ndani na nje ya CHADEMA wa kumpeleka Mh. Zitto mahakamani zaidi ya kupiga kelele hapa JF kwa IDs ambazo siyo VERIFIED.
Zitto hawezi pelekwa mahakamani na wanachadema ,mahakama ya zitto ni wananchi credibility yake zero hana nyimbo huyo anabebwa na CCM kwa sasa ndio alikoegemea
 
Nafikiri wewe u r among the people who want to see CDM fails in every steps they are making to let the ordinary Mwananchi knows every bad things your party of affiliation is doing in this country. You pretend and you are using Zitto so that he can bring conflict in CDM. But i am sorry to tell that Tanzanians now can distinguish rubbish and real words. Continue with your propaganda and we will see if CDM will die as you wish. Goodluck in your ambition.
 
Je, ulishawahi kukutana na kushirikiana na Bw.Isa Ponda na Bw.Lipumba mahali popote? Natanguliza shukrani zangu!
 
kwa hiyo unakubali kuwa jamaa alitaka kumwua Zitto,maana unalazimisha kuwa wanafahamiana na kumbuka zitto alisema haya kitambo sana kuwa yawezekana kwa sura hawajawahi onana,ukiacha mawasiliano ya kupigiana simu
Ninachofahamu ni kuwa serikali ya masalia iliyokuwa inaongozwa na ZZK ilipinduliwa na Ben Saanane kama ambavyo Serikali ya JK ilivyopinduliwa na RICHMOND/DOWANS ya Rostam. Kama ambavyo haiingii akilini JK anaposema hamfahamu Rostam ndivyo hivyohivyo haiingii akilini ZZK anaposema hamfahamu aliyepindua kikundi chake cha Masalia.
 
Mimi naamini wachangiaji ndani ya mtandao huu ni waelewa kwa maana ya kwamba ni Watanzania walioenda Shule hivyo utambuzi wao wa mambo ni tofauti na Babu yangu aliyeishia kuangalia Mifugo yake katika maisha yake yote.Inashangaza na kutia wasiwasi pale Watu wasomi wanapojitia ujinga eti tu kwa vile Mtu fulani kaamua kuwapa vihela vya kupata chai na Andazi asubuhi hivyo kuamua kumpamba na kuandika kile atakacho dhidi ya Watu wengine.Habari hii ya Zitto kudawia kupewa sumu haikuandikwa na kuhariri na watu Mbumbu bali ni Wasomi na wanaojua miiko na maadili ya kazi yao kwa jamii wanayoiandikia.Wameamua kwa makusudi kuipa taaluma na wao wenyewe bei ya Mafungu ya Dagaa hivyo kuandika huu uchochezi ndani ya jamii ya Watanzania.
 
You are precise and clear kwamba habari za kuuawa ni uongo uliopindukia, well done Zitto....sasa mbona bado unaendeleza madai ya vitish vya kuuawa?! Kauli kwamba "silalamiki kuhusu vitisho vya kuuawa nk. Kama kuna mtu anafikiria kuwa kumuua Zitto ndio furaha ya maisha yake atakuwa anajidanganya tu maana Zitto anaweza kufa kimwili lakini mawazo" ni kauli inayotia shaka dhamira yako ya kukanusha taarifa za kutaka kuuawa kwako!! Kama ulikuwa na lengo la kukanusha kwa dhati, usingeleta tena hapa habari za vitisho vya kutaka kuuawa kwani kauli hii inatoa tafsiri moja tu, kwamba kumbe kweli unawindwa ama umekuwa ukitumiwa vitisho vya kutaka kuuawa!! Kwa bahati mbaya kabisa, hata JF members wanaamini wazi kwamba hauna tatizo na CCM au wana-CCM lakini huenda una tatizo na Chama chako au watu wa chama chako! So, kutuletea hapa habari za vitisho ni kutufungua macho kwamba ama chama chako au watu ndani ya chama chako wamekuwa wakikutumia taarifa za vitisho! Ni very unfortunate kwamba, endapo siasa za Kimafia zitaendelea TZ basi ni rahisi hata watu wa chama kingine wakakufanyia umafia kwavile inafahamika tuhuma zitakuwa dhidi ya chama chako......kauli yako niliyoi-quote inaonesha kwamba HAMKANI HALI SI SHWARI, umekuwa ukitishiwa kifo!! Kauli ya ajabu kabisa kati kati ya kauli ya kukanusha kutaka kuuawa!
 
Last edited by a moderator:
Hajamchnijia mbali yeyeote sema akaumbuliwa hana ujanja ,Juliana Shonza anathibitisha kwamba bado wako kwenye misssion moja kuchafua chama,Zitto wakumpa pole kila siku nasema hawezi kuwa juu ya Mungu ,na aendelee na fitina majibu yake ni hapa duniani


...aisee huyu mtu pressure yake ipo juu sana, tafadhari mlie karibu nae msimwache awe peke yake, anaweza jitundika huyu, ebu jifariji dogo kwa hekima ya Wahenga, walisema "machozi ya samaki...."
 

Tafadhalini,nimemfahamu zitto na shonza,hao wengine ni kina nani?
 

Kama ulivyosema, kuna baadhi ya watu huwa wako hapa 24/7 kujibu kila bandiko linalohusu CHADEMA na baadhi ya viongozi. Huwezi kuwaona wanamtetea Mh. Zitto na ndiyo maana kwa sasa hawaonekani na hata wale ambao wanaonekana, kwa sasa wako mstari wa mbele kumpongeza Mh. Zitto kwa pongezi za kejeli. Hii ni ishara tosha kuonyesha kuwa CHADEMA kumejaa vijana vinyonga na maslahi tumbo. Hawako kwa maslahi ya CHADEMA bali kwa maslahi ya viongozi wachache ndani ya CHADEMA.
 

Wambie na wenzako muache kuijadili ccm na viongozi wake kwakuwa ninyi siyo wanaccm na vile vile mtudokeze huyo mwenye mipango ya pekeake ambayo inahusishwa na chama ni nani?
 
Ameweka press release kwenye blog yake na facebook na twitter for information. Media are free to publish or ignore it. Yeye anasema pale anapoweza kusema. Huko mtanzania hana mamlaka napo.
You might be right, but my point is, hizi habari alitakiwa kuzikabnusha tangu mara ya kwanza hapa JF badala ya kuziacha!! Hainiingii akilini kwamba habari ile ilitolewa hapa JF na akaiacha watu wa-swalllow kama ilivyo lakini miezi kadhaa baadae anakuja kuikanusha hapa hapa JF lakini baada ya kutoka gazetini! Suala la Zitto kuiacha ile habari hapa JF ilikuwa ni kama aliona haikufaa kukanushwa na si ajabu ndio maana watu wakaiendeleza!
 
Kama Benn akiwa ni kijakazi sasa jiulize we si ndo utakuwa umefunga ndoa na Mwigulu kabisa maana naona unajitahidi kusafisha nyota za bundi ambazo hazisafishiiki kwa kutegemea ujira wa lumumba.

Pole kwa utumwa wa fikra unapiga kelele tu hapa kwa akili za kuazima.
 
Ben Saanane u wp? Utuambie ukweli wa jambo hili na uhusika wa zitto ktk kundi la masalia.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…