Nikibome chama kwani nyundo na sururu umenipa saa ngapi?!
Yet Ingnored...............
Aise wewe ni bonge la mnafiki, wewe ndio kiongozi wa kumpondea Zitto humu JF ukisaidiana na Ben halafu sasa unajifanya kuwa uko nae.au umesahau alivyo kutoa nishai? Kweli vijana wa bongo wanaendekeza njaa.Nilipoiona habari ile katika gazeti, kwanza nilicheka, kisha nikapandwa na hasira, nakisha zaidi nikazama katika tafakuri pana,
Nilifanya hivyo kwa dhana ileile ya hakuna upuuzi ulio upuuzi mtupu,
Nilisubiri kauli ya ndugu yangu Zitto kwakuwa niliamini fika kuwa ni lazima ajibu, tena mapema na jibu lake ndio hili.
Kwanza kabisa dhana yakujibu namsifu kwa asilimia mia, Pili mizani ya majibu yake inahitaji tafakuri pana na ya nera zaidi.
hahaha bora kuliko kutumia akili ya kuazima.Pumpikin headed....!
yupo anatumia ID nyingine tena amekua mkali kama kalamba pilipili.
...hahahaaa! CCM mtakuwa na wakati mgumu!Zitto anapendwa sana na watu, akiwa mgombea wa kiti cha urais kwa kupitia CHADEMA, CCM tutakuwa na wakati mgumu sana.
Mara nyingi sana hapa jukwaani ben amekuwa akimsakama zitto kwa tuhuma za kuhujumu chama lakini zitto kwa busara zake hataki kabisa kulumbana na ben.. Hii ndio sifa ya kiongozi na tofauti kubwa iliyopo kati ya zitto na ben
Mmeona mafunzo ya JKT yalivyo na manufaa?
Kijana fresh from JKT huyo...
kumbe ilikua sumu ya panya..Nimelipenda hili jibu la Ben Saanane.
"Kwanza siku ambayo wanasema tulikuwa wote mimi sikuwa huko, nashangaa na haiingii akilini kwamba mimi niende hadi Temeke (kwa Mwampamba) tena usiku wa manane kwa ajili ya kufuata sumu ya kuulia panya.
Sasa kwa tuhuma hizo, kwanini wasiripoti polisi, inaingiaje akilini mtu kupanga njama kubwa kiasi hicho halafu ukae kimya tu, alisema Saanane.
Matendo ya mtu mmoja yasigeuzwe propaganda ya taasisi.
Ben saanane na slaa huwa mnafanya unyama kwa manufaa ya nani???
Chadema?
Josephine?
Urais?