Mkuu Bocho fungulia thread yake tutakuja kuchangia lakin hapa tunajadili content nyingine kabisa. Am so sor...
hii radio ni ya kinafiki sana..siku hizi mtaani inajulikana kama radio chichiem..Nimezisikia hizi habari zikishabikiwa na kiredio fulani kama sikosei ni clouds fm wameishabikia hii mada utadhani siyo professionals, as if ni wamama fulani wamekaa kibarazani wanajadiri umbea. Clouds FM inajipotezea sana status yake kushupalia uzushi tena kwa upendeleo, uzushi unaokichafua CCM wanakuwa kimya ila uzushi wa kuichafua CHADEMA utamsikia Geladi Hando, Kibonde na watu wa level hiyo jinsi wanavyo ishupalia kimbea,
Namshukuru Mungu kwa kuniepusha na aibu ya kutumika na wanasiasa.
Kama Zitto ni mkweli Ben Saanane lazima awe muongo.
Kama hivyo ndivyo: CHADEMA inawambia nini watanzania ili tuwaamini?
Mmeona mafunzo ya JKT yalivyo na manufaa?
Kijana fresh from JKT huyo...
Dah kweli Zitto kawatibulia move watoto wa Lumumba na ndugu zao Ganzi na Shonza, mlidanganywa na Mwampamba na Shonza mkaingia line leo you are trying hard to escape away from your own shadows, furaha yangu ni kuwa uhakika wa PANYA wetu kuendelea kuishi ni mkubwa, Kudos Zitto.
Mkuu angalia, naona umetikisha mzinga wa nyuki wa matusiBen: 'Nimeshawahi kuonana na Zitto'
Zitto: 'Sijawahi kuonana na Ben'
Integrity: Sifa kuu ya kiongozi
Ukweli ndio msingi wa uaminifu kwa kiongozi. Kiongozi ni Yule anayesema ukweli siku zote na sehemu yoyote.
Nimegundua kitu kimoja ndani ya CHADEMA: Baadhi ya viongozi si wa kweli.
Ni nani mkweli kati ya Zitto na Ben Saanane?
Kwa vile wote hawawezi kuwa wakweli, what is the future of politics in our country and CHADEMA in particular?
Ikiwa mmeanza kuwa waongo ndani ya chama chenu, mtakuwa wakweli kwa taifa?
Kwa vile wote hawawezi kuwa wakweli, what is the future of politics in our country and CHADEMA in particular?
Ikiwa mmeanza kuwa waongo ndani ya chama chenu, mtakuwa wakweli kwa taifa?
Umefanya jambo jambo jema mh Zitto maana kama jua lingezama kabla hujajibu hizi propaganda za kijinga ungewepa kichwa hawa vijana wasiojitambua kifikra
I belive in u mkuu keep it up mpaka ukombozi unapatikana.
wewe sio muumini wa CDM ni mfuasi wa DR pamoja na kijakazi wake Benn.
wameliaibisha gazeti lao vibaya sana...bado hawajui tu kuipigia domo ccm ni sawasawa na kumlazimisha bibi kizee akimbie mbio za marathoni na hapo hapo uwe na mategemeo ya kushindaNilisema hapa huu ni uzushi sasa Mwandishi wa habari ile anasemaje? ndio maana baadhi ya wanandishi wanaitwa Makanjanja hawa watu njaa njaa sana...
Mkuu angalia, naona umetikisha mzinga wa nyuki wa matusi
Hawa jamaa wameisha kuwa proved failures tayari.
.
Zitto anasema
"matendo ya mtu mmoja yasiguzwe taasisi"
Zitto ndio muongo ana hila nimefurahi sana baada ya hila zake na michwa wa kutafuna akili zao yamemrudi mwenyewe lazima athibitishe gazeti tumenunua na limesema yeye mwenyewe alikuwepo akitegeshewa kupewa sumu sio kukimbia JF kufungua thread haraka haraka kukanisha,further steps should be taken kwa Zitto enough is enough hawezi kuwa ana instigate uchafuzi wa chama halafu anakimbia humu kujisafisha haiwezekani kabisa
Mkuu angalia, naona umetikisha mzinga wa nyuki wa matusi
Hawa jamaa wameisha kuwa proved failures tayari.
Chama gani kinachohubiri demokrasia lakini mwenyekiti na makamanda wa JF wanampigia debe mtu mmoja
Au mmesahau zile kura zilizokuwa zinapigwa hapa kati Ya hao wawili?
Chadema ni chama ambacho hakifuati demokrasia na inawezekana hata mleta mada moyoni akawa na yake lakini imemlazimu aandike haya ili kumaliza mjadala.
Sio vizuri kujadili uhai wa mtu au kumzushia mtu kesi kubwa na mbaya kama ya mauaji, lakini tukiacha hayo ya hiyo kesi ambayo sie wengine hayatuhusu, kuna suala la hawa makamanda wa keyboard wasioweza hata kumaliza mafunzo ya wiki tatu tu jkt , Kwa sie tulio hapa JF muda mrefu tunakumbuka matusi aliyokuwa akiporomoshewa humu Mheshimiwa.
Na sio siri kwamba hapa ukitaka utukanwe matusi ambayo yanaweza kukufanya ufikirie kutwanga mtu na nyundo utosini wewe andika tu Zito anafaa kuwa mgombea urais.....