Nimezisikia hizi habari zikishabikiwa na kiredio fulani kama sikosei ni clouds fm wameishabikia hii mada utadhani siyo professionals, as if ni wamama fulani wamekaa kibarazani wanajadiri umbea. Clouds FM inajipotezea sana status yake kushupalia uzushi tena kwa upendeleo, uzushi unaokichafua CCM wanakuwa kimya ila uzushi wa kuichafua CHADEMA utamsikia Geladi Hando, Kibonde na watu wa level hiyo jinsi wanavyo ishupalia kimbea,
Namshukuru Mungu kwa kuniepusha na aibu ya kutumika na wanasiasa.
Clouds kwani kuna mwanaume pale wewe.Wale wote si ni Wapaka kucha Rangi?Yani kwa mwanaume mwenye akili timamu kushabikia magamba,lazima umuangalie mara mbilimbili.Yani hii redio siku hizi sisikilizagi kabisa.Kwanza it seems they dont know which big group of the community they are representing and they dont link that with that big populations's perception.Kama unajua msimamo wa vijana currently ambao ndio wengi ,na ndio your biggest fun, then ukafanya against their wishes ujue watakudis ,utajikuta alone.ndo hao majamaa.Sasa hivi mtu yeyote ukimuuliza Clouds FM atakwambia wababaishaji,waganga njaa,hamna lolote.