cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 86,998
- 139,698
poleeehBado jamani, vipi kuna kaka yupo huko unipe pasi?
poleeehBado jamani, vipi kuna kaka yupo huko unipe pasi?
Nimekupenda bureNdo maana nasemaga kama hatuwezi share hobbies hata 3 siwezi olewa na huyo mtu. urafiki muhimu sana aisee!. Mkichokana kwny mapenz mnadunda kwny urafiki had mapenz yanazaliwa upya.
Huyo mwanamke mpaka analoa njaa inamaana hajiongezi asee, hajishughulishi au hana ideas ya wao kufanya kitu cha pamoja kuitoa familia kuwa tegemezi kwenye chanzo kimoja cha kipato. Kuna ule msemo sijui mwanamke akifanya nn hubomoa famila yake sasa how yani how?Hahahaaa uttoh2002 sasa unawekaje urafiki na mtu kakutoa kwenu unakula vizuri halafu anakuja kukutesa na njaa lakini?
Hapo ndio utajua mahari kabla ya ndoa ni moja ya vipimo vya kujua kama muoaji ana muwezo wa kutunza mke
Pengine tatizo sio wanawake pengine tatizo sisi wanaume labda manzi analeta ideas jamaa anachomoa,pengine manzi amesha mess up sana lakini manzi kama saloon hawezi enda kwa pesa yake ya jasho alali sio ya kudanga huyo manzi is not worth it but if anaweza then she is worth everything hii sio kwa wote Ila kama ni manzi mvivu yupo yupo tu yeye umbea tu we get tired, raha mwanamke awe na ideas nzuri, vision sio mwanamke unakaa nae yeye anajua tu saloon, cosmetics inaboa heshimu ya mwanamke sio watoto tu, mawazo yake, ni wanawake wachache sana lakini hizi mchemba ambazo zinafanya hayo kwa wenza dah jirekebisheni. Mahusiano ni kujengana na kushikamanaMke kuhudumiwa na ndugu zake au wazazi wake kwa sababu wewe umeshindwa ni fedheha.
Tupambane tuu heshma ya mume ibaki mahala pake maana heshma kwa mwanaume ndio nguvu yake, na hiyo heshma haipatikani kwa kuzaa watoto ila inapatikana kwa uwezo wa kutunza hao watoto
Hongera sana mkuu.Dah umeongea point sana.......sometimes nikitokaga Job naweka music anaoupenda nambambia kichizi...nikitoka hapo namwambia hivyo ndivyo nilivyokuwa nabambia kabla cjaoa....wife wangu ni mwanangu sana....nikizingua kwenye show ananambia mwanangu leo umeniparaza tu...6 yr now ...no mikwaruzo tukizinguana nusu saa mbali story zinaendelea.........✍
Ila mwanamke wa hovyo unamjua tu hata kabla ya kumuoa.Pengine tatizo sio wanawake pengine tatizo sisi wanaume labda manzi analeta ideas jamaa anachomoa,pengine manzi amesha mess up sana lakini manzi kama saloon hawezi enda kwa pesa yake ya jasho alali sio ya kudanga huyo manzi is not worth it but if anaweza then she is worth everything hii sio kwa wote Ila kama ni manzi mvivu yupo yupo tu yeye umbea tu we get tired, raha mwanamke awe na ideas nzuri, vision sio mwanamke unakaa nae yeye anajua tu saloon, cosmetics inaboa heshimu ya mwanamke sio watoto tu, mawazo yake, ni wanawake wachache sana lakini hizi mchemba ambazo zinafanya hayo kwa wenza dah jirekebisheni. Mahusiano ni kujengana na kushikamana
Pengine tatizo sio wanawake pengine tatizo sisi wanaume labda manzi analeta ideas jamaa anachomoa,pengine manzi amesha mess up sana lakini manzi kama saloon hawezi enda kwa pesa yake ya jasho alali sio ya kudanga huyo manzi is not worth it but if anaweza then she is worth everything hii sio kwa wote Ila kama ni manzi mvivu yupo yupo tu yeye umbea tu we get tired, raha mwanamke awe na ideas nzuri, vision sio mwanamke unakaa nae yeye anajua tu saloon, cosmetics inaboa heshimu ya mwanamke sio watoto tu, mawazo yake, ni wanawake wachache sana lakini hizi mchemba ambazo zinafanya hayo kwa wenza dah jirekebisheni. Mahusiano ni kujengana na kushikamana
Ewaaaa hapoooo ''mazuri sana'' ndo kina mwajuma ndala ndefu wanapataka hapo!! siyo wao bali wanaingiwa na shetani!.....na shetani hakai mbali nao....watarusha vya kurusha mpaka utakoma make pale wata waona mnajidaimaisha ni mazuri sanaà
Au sioDah umeongea point sana.......sometimes nikitokaga Job naweka music anaoupenda nambambia kichizi...nikitoka hapo namwambia hivyo ndivyo nilivyokuwa nabambia kabla cjaoa....wife wangu ni mwanangu sana....nikizingua kwenye show ananambia mwanangu leo umeniparaza tu...6 yr now ...no mikwaruzo tukizinguana nusu saa mbali story zinaendelea.........
Pia jifunzeni kufanya Kazi sasa mtakaa mnatombwa tu Hadi liniMke kuhudumiwa na ndugu zake au wazazi wake kwa sababu wewe umeshindwa ni fedheha.
Tupambane tuu heshma ya mume ibaki mahala pake maana heshma kwa mwanaume ndio nguvu yake, na hiyo heshma haipatikani kwa kuzaa watoto ila inapatikana kwa uwezo wa kutunza hao watoto
HehehehePia jifunzeni kufanya Kazi sasa mtakaa mnatombwa tu Hadi lini
Hata Kazi za Mikono kuuza chapati nk lakini kuishi kwa kutegemea Mwanaume mme wako akutombe ili akupe ugali haifai ndo chanzo wanawake kuonekana inferior
Dah!Hehehehe
Kukoseana adabu tu, mumeo hutakiwi kumzoea namna hiyo, nyinyi sasa mmetoka kwenye urafiki na kuleta usela mavi. Ni rafiki gani huyo unajamba mbele yake na anaona poa tu! kama sio kukosa akili, sometimes mwanamke au mwanaume unapojiexpose sana kwa mwenzi wako, unapoteza ule msisimko uliokuwepo ndani yenu.... Mnaongelea nadharia ila huo si uhalisia ndugu zanguHata kama siyo rafiki, lakini kwenye suala la kujabu huwa sijibani walahi