Sipendi mwanamke mchafu kabisa

Sipendi mwanamke mchafu kabisa

Nguo ya kitenge ufue kila unapovaa mbona utaichukia ndani ya muda mfupi sana, watakuja wadada hapa watakuambia wanafua mashuka kila baada ya siku mbili. Mtu naoga nalala nikiwa msafi nilalie shuka siku mbili inahu
Zinapauka hatari, maji yenyewe haya yamejaa chumvi kama nini.
Siku mbili? wakati ni juma 2 kwa juma 2 maana mashuka yenyew yanapauka.
Mtu anaweza sema Mimi nabadili mashuka kila siku na wakati blanket lake lina miezi 6 halijui maji.
 
Mungu hawezi kuwaweka wote wasafi hilo jiandae kupata mchafu kwako ni lazima mungu huwa hawaweki wenye uwezo sawa wote huchanganya jiandae hivyo utaona mke mchapa kazi mume goigoi mume mtu wa diri sana mke gorikipa ndio mpango wa mungu wewe utaukwepaje
 
Mara nyingi huwa inakuwa vice versa,halafu mkisha kaa pamoja muda mrefu kuna mmoja atafuata tabia za mwenzake...
 
Nikiingia ndani sehemu ikiwa untidy akili inashindwa kufanya kazi.

Kwasababu ya make up siwezi kurudia nguo lakini ninarelax si kuwa nikimaliza kula lazima nioshe vyombo hapana
Kuna haja gani ya kutumia "Make-up" mama.. baki natural, yan baki katika uhalisia wako! It'so more attractive than deception of your own naturality!
 
Nguo ya kitenge ufue kila unapovaa mbona utaichukia ndani ya muda mfupi sana, watakuja wadada hapa watakuambia wanafua mashuka kila baada ya siku mbili. Mtu naoga nalala nikiwa msafi nilalie shuka siku mbili inahu
Yaani ufue shuka kila siku mbili Kwani ukilala unapaka mkaa!? Mtu wa hivyo ni muongo kabisaaaaa tena muoooongoooo
 
Utapa mke kulingana na wewe ulivyo
 
Kwa jinsi nilivyozea nikiwa bachelor nguo navaa Mara moja na nikivua hapo hapo nazifua japo nipo busy Mara nyingi lakini ni msafi 24 hours, nikila papuchi ghetto Demu akitoka hapo hapo nafua shuka!
Sasa sipati picha nikipata Mke mchafu ambae ana tabia ya kurundika nguo wiki nzima hadi zianze kunuka uvundo ndio azifue aisee!atachezea makofi daily
Hapa unaweza kumchapa yupi makofi
IMG-20190802-WA0046.jpeg
 
Eti nivae jeans zangu na vitenge vyangu siku moja na kufua. Dhubutu yako.
Navaa jeans navua naikunja nahifadhi.
Nguo za vitenge ndiyo naweza fua baada ya kuvaa siku kama 5 tofauti ( sio mfululizo).
Nitandike shuka safi, nisex na bebi eti nilitoe nikafue kwani ananuka?
Nisiwe mnafki sifanyi hivyo. Top tuu ndo navaa Mara moja na kufua na nguo za ndani.

Wewe mkuu fua kila siku maana unafanya kazi zinazokuchafua na una jasho Kali.
Wewe utakuwa mchafu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom