Sipendi mwanamke mchafu kabisa

Sipendi mwanamke mchafu kabisa

Yaani acha tu
Nguo ya kitenge ufue kila unapovaa mbona utaichukia ndani ya muda mfupi sana, watakuja wadada hapa watakuambia wanafua mashuka kila baada ya siku mbili. Mtu naoga nalala nikiwa msafi nilalie shuka siku mbili inahu
 
Usafi muhimu;ukishindwa kujipenda ukiwa kijana (18-45yrs) ...ukiwa mzee ndio tabu zaidi,unaweza kuhisi kiloba cha gunia kinatembea.
 
Hizo ni sifa sasa jomba

Sasa kama natandika shuka hata wiki 2 halichafuki au linachafuka kidogo nifue lanini? Si litapauka?

Labda walale mamanzi wanne
 
Hizo ni sifa sasa jomba

Sasa kama natandika shuka hata wiki 2 halichafuki au linachafuka kidogo nifue lanini? Si litapauka?

Labda walale mamanzi wanne
Au sio...
 
Kwa jinsi nilivyozea nikiwa bachelor nguo navaa Mara moja na nikivua hapo hapo nazifua japo nipo busy Mara nyingi lakini ni msafi 24 hours, nikila papuchi ghetto Demu akitoka hapo hapo nafua shuka!
Sasa sipati picha nikipata Mke mchafu ambae ana tabia ya kurundika nguo wiki nzima hadi zianze kunuka uvundo ndio azifue aisee!atachezea makofi daily
Cha muhimu hapo mzee mama nenda kwa wazazi wako ukajilipie posa na mwishowe ujioe mwenyewe ili hasiwepo mtu wa kukusumbua.
 
Eti nivae jeans zangu na vitenge vyangu siku moja na kufua. Dhubutu yako.
Navaa jeans navua naikunja nahifadhi.
Nguo za vitenge ndiyo naweza fua baada ya kuvaa siku kama 5 tofauti ( sio mfululizo).
Nitandike shuka safi, nisex na bebi eti nilitoe nikafue kwani ananuka?
Nisiwe mnafki sifanyi hivyo. Top tuu ndo navaa Mara moja na kufua na nguo za ndani.

Wewe mkuu fua kila siku maana unafanya kazi zinazokuchafua na una jasho Kali.
😂😂😂 anajasho kali siyo??..
 
Eti nivae jeans zangu na vitenge vyangu siku moja na kufua. Dhubutu yako.
Navaa jeans navua naikunja nahifadhi.
Nguo za vitenge ndiyo naweza fua baada ya kuvaa siku kama 5 tofauti ( sio mfululizo).
Nitandike shuka safi, nisex na bebi eti nilitoe nikafue kwani ananuka?
Nisiwe mnafki sifanyi hivyo. Top tuu ndo navaa Mara moja na kufua na nguo za ndani.

Wewe mkuu fua kila siku maana unafanya kazi zinazokuchafua na una jasho Kali.
Vipi wewe hauna jasho kali? Kuna wanawake wengine wakikaa siting room sebule nzima inanukia jasho lake...
 
Hakuna Siku imepita.mm sijafua nguo, labda niwe safarini, nikivua nguo kama nyeupe naloweka, naamka saa 11 nafua nafanya usafi ndo naenda kazini.

Sipendi kuona nguo chafu ndani.sipendi kuona chombo chochote kichafu ndani, sipendi nikanyage chini nisikie mchanga. Sipendi nifuliwe au nioshewe vyombo kila kitu napenda nijifanyie mwenyewe ndo moyo wangu unaridhika kiko safi.

Ni Mara chache unikute ndani sina kazi naishi mwenyewe ila nikogo busy Siku mzima.😂😂😂

Juzi mwaka mpya nimeenda kijijini kwa mama, nilikuta kisima kimejaa wanachota kwa jagi mpaka natoka Maji yalishashuka😂😂😂😂 mama anatania ness kaingia ni full kufua Siku mzima.
Watu aina yetu sometimes tunakuwa kero kwa wengine.maana unafuta vumbi hata sehemu ambayo kwa wengine sio lazima hilo vumbi litoke.

Sinaga muda wa kuuliza sijui nani kachafua hapa au kile nikikuta kichafu kiroho safi nasafisha .
Haya yote nilifundishwa na mama yangu nikiwa Mdogo ila funga kazi alikuwa Mme wa Mjomba alikuwa sijawahi ona dunia hii.

Mke wa Mjomba alinambia hata kama wa watu wana njaa kiasi gani kama sijamaliza usafi nisipike kitu chochote😂😂😂😂😂 till to day sijawahi kutana na mtu msafi kama mama success😁😁
 
Hakuna Siku imepita.mm sijafua nguo, labda niwe safarini, nikivua nguo kama nyeupe naloweka, naamka saa 11 nafua nafanya usafi ndo naenda kazini.

Sipendi kuona nguo chafu ndani.sipendi kuona chombo chochote kichafu ndani, sipendi nikanyage chini nisikie mchanga. Sipendi nifuliwe au nioshewe vyombo kila kitu napenda nijifanyie mwenyewe ndo moyo wangu unaridhika kiko safi.

Ni Mara chache unikute ndani sina kazi naishi mwenyewe ila nikogo busy Siku mzima.

Juzi mwaka mpya nimeenda kijijini kwa mama, nilikuta kisima kimejaa wanachota kwa jagi mpaka natoka Maji yalishashuka mama anatania ness kaingia ni full kufua Siku mzima.
Watu aina yetu sometimes tunakuwa kero kwa wengine.maana unafuta vumbi hata sehemu ambayo kwa wengine sio lazima hilo vumbi litoke.

Sinaga muda wa kuuliza sijui nani kachafua hapa au kile nikikuta kichafu kiroho safi nasafisha .
Haya yote nilifundishwa na mama yangu nikiwa Mdogo ila funga kazi alikuwa Mme wa Mjomba alikuwa sijawahi ona dunia hii.

Mke wa Mjomba alinambia hata kama wa watu wana njaa kiasi gani kama sijamaliza usafi nisipike kitu chochote till to day sijawahi kutana na mtu msafi kama mama success
Wachaweee Safi Sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom