The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,430
Huyo mnene namchapa makofi hata kwa kosa dogo tuu..Hapa unaweza kumchapa yupi makofiView attachment 1170188
Huyo mnene namchapa makofi hata kwa kosa dogo tuu..Hapa unaweza kumchapa yupi makofiView attachment 1170188
Hahahahahahahah Wana balaa haoMama kuna watu walisema hapa Jf, sema nimesahau title ya uzi ningekuwekea link
Kwa kusoma maandishi yako i can imagine how boring ur sex life is. Pia unakatabia ka uchafu kwa mbaliEti nivae jeans zangu na vitenge vyangu siku moja na kufua. Dhubutu yako.
Navaa jeans navua naikunja nahifadhi.
Nguo za vitenge ndiyo naweza fua baada ya kuvaa siku kama 5 tofauti ( sio mfululizo).
Nitandike shuka safi, nisex na bebi eti nilitoe nikafue kwani ananuka?
Nisiwe mnafki sifanyi hivyo. Top tuu ndo navaa Mara moja na kufua na nguo za ndani.
Wewe mkuu fua kila siku maana unafanya kazi zinazokuchafua na una jasho Kali.



Hahaha!! unaosha kabla ya kula, wavivu wengi hufanya hivyo lakini moyoni wanajua kwamba si sawa vombo kukaa zaidi ya saa 1 vikiwa vichafu.. kama wewe unafanya na unaona ni sawa basi wewe ni mchafu sio mvivuMsema kweli mpenzi wa Mungu mimi vyombo naosha mara moja kwa siku. Labda nikiwa na wageni ndani



Naosha baada mkuuHahaha!! unaosha kabla ya kula, wavivu wengi hufanya hivyo lakini moyoni wanajua kwamba si sawa vombo kukaa zaidi ya saa 1 vikiwa vichafu.. kama wewe unafanya na unaona ni sawa basi wewe ni mchafu sio mvivu![]()
aisee ww ni Mchafu hata mm huwa sirudii nguo kabisa bila kuifuaEti nivae jeans zangu na vitenge vyangu siku moja na kufua. Dhubutu yako.
Navaa jeans navua naikunja nahifadhi.
Nguo za vitenge ndiyo naweza fua baada ya kuvaa siku kama 5 tofauti ( sio mfululizo).
Nitandike shuka safi, nisex na bebi eti nilitoe nikafue kwani ananuka?
Nisiwe mnafki sifanyi hivyo. Top tuu ndo navaa Mara moja na kufua na nguo za ndani.
Wewe mkuu fua kila siku maana unafanya kazi zinazokuchafua na una jasho Kali.
Au jamaa we ni kauka nikuvae?Kwa jinsi nilivyozea nikiwa bachelor nguo navaa Mara moja na nikivua hapo hapo nazifua japo nipo busy Mara nyingi lakini ni msafi 24 hours, nikila papuchi ghetto Demu akitoka hapo hapo nafua shuka!
Sasa sipati picha nikipata Mke mchafu ambae ana tabia ya kurundika nguo wiki nzima hadi zianze kunuka uvundo ndio azifue aisee!atachezea makofi daily
Hata kama.Kwa kusoma maandishi yako i can imagine how boring ur sex life is. Pia unakatabia ka uchafu kwa mbali![]()
Ni wewe. Usiforce tufanane.aisee ww ni Mchafu hata mm huwa sirudii nguo kabisa bila kuifua
NdiyoWewe utakuwa mchafu
Hapa mwezi sijafua nakazi ya kurudia rudia nguo tu.... Nikiona inatishatisha naweka kwenye kitenga cha nguo chafu.... Maswala ya kujipa shida siwezi mimi



Unakula mara 3 unaosha mara 1Naosha baada mkuu
Kwa nini unadhani nakula mara tatu nyumbani kwanguUnakula mara 3 unaosha mara 1
Hapo kwenye shuka hapana labda kama hampigi show vizuri..ukikojozwa wakojolea nn weye?? HahhahhEti nivae jeans zangu na vitenge vyangu siku moja na kufua. Dhubutu yako.
Navaa jeans navua naikunja nahifadhi.
Nguo za vitenge ndiyo naweza fua baada ya kuvaa siku kama 5 tofauti ( sio mfululizo).
Nitandike shuka safi, nisex na bebi eti nilitoe nikafue kwani ananuka?
Nisiwe mnafki sifanyi hivyo. Top tuu ndo navaa Mara moja na kufua na nguo za ndani.
Wewe mkuu fua kila siku maana unafanya kazi zinazokuchafua na una jasho Kali.
Kwajinsi tabia yako ilivyo ni vema ukapata mke mchafu kwani hapo mtakuwa sawa kuliko kupata mke msafi maaana anaweza kuwa msafi zaidi yako kisha ukajiona umchafu zaidi kwake kuliko unavyojidhania.
Hayo mambo ya kukojozwa sijawahi kukutana nayo kabisa. Hivyo shuka huwa linabaki kama lilivyo.Hapo kwenye shuka hapana labda kama hampigi show vizuri..ukikojozwa wakojolea nn weye?? Hahhahh