Sylazie
Senior Member
- Oct 1, 2016
- 140
- 118
Kaka yangu Jose hata ukiwaonyesha picha bado hawataamini kwa maana wapo addicted na tabia hiyo hivyo still wataendelea tu!,picha hii hapa
Kaka yangu Jose hata ukiwaonyesha picha bado hawataamini kwa maana wapo addicted na tabia hiyo hivyo still wataendelea tu!,picha hii hapa
Madhara yake hawatayaona sasa,lakini hata hivyo mioyo yao ni migumu kusikia,Wandugu wanaume,
Kitendo hiki kinasababisha kansa ya koo.
Huko kuna bacteria wa kulinda magonjwa ya huko.
Bakteria hao ndio wanaosababisha kansa ya
koo kwa mlaji.
Wengi wanaozoea mazoea hayo wanaishia kuugua na kufa kwa kansa ya koo.
Mwenye masikio na asikie.
Imenifanya nijue kwamba mchelea mwana kulia Hulia mwenyeweEwaaa si unajua tena zimwi likujualo halikuli likakwisha.
Hiyo ni mojawapo kati ya sababu zinazochangia kupata cancer ya koo,jaribu kuelewa mkuu.Kwahiyo wanaoumwa kansa ya koo wote walikua wanazama chumvini.!?
Ewaaaa sasa umeanza kuelewa kuwa Shimo la panya halizibwi kwa mkateImenifanya nijue kwamba mchelea mwana kulia Hulia mwenyewe
HahaaaaShamba la BWANA HERI, mbuzi wa BWANA HERI, yote HERI tu..!!
[emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bana kojoo halaf mdanganye umeona raha hadi unashindwa kungojesha mwaaa mwaaa halaf achilia hilo bomba. Ukiona hastuki basi jua huyo ni beberu si mtu
Matibabu yapo lakini je utaendelea kufanya kitendo hicho kwasababu matibabu yake yapo?,na vipi kama utakua umepata cancer na imefika stage ya mbele,Swali ni je inamatibabu????
100%amwangaliaye mwanamke kwa kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni mwake. oral sex umeshafika mbali sana mkuu
Wanafahamu lakini ni mapuuza.True mkuu ila kuna watu hawajui
Mioyo yao ni migumu mno kusikia na kuamini pia,utasumbuka bure kubishana nao,na ni kwa faida zao wenyewe.View attachment 512586View attachment 512587View attachment 512588View attachment 512589View attachment 512590View attachment 512591View attachment 512592View attachment 512593
Ukibisha uwe na sababu na facts.
Huo ninutafiti wa Ocean road na Who
Ulijuaje,lazima wapinge!Na kuwapa ushahidi huu watakataa
Vijana wenzetu wanaangamia.Na awam hii haina mpango na ukimwi,maleria wala KANSA.Ulijuaje,lazima wapinge!
Vitu vingine wala havina ulazima wa kuvifanya,ni kuiga tu na kwasababu mtu amezoea basi kuacha ni tabu sana,lakini yote hii ni kwa faida yake mtu Huyo lakini hilo haoni anaendelea,aiseee! Ni kazi kwelikweli.Mwacheni aseme hisia zake wanaume msikalili mapenzi,kila mwanamke na vipaumbele vyake...ingwa wazamaji chumvini uwaga wanapenda sn hiyo tabia na unakuwa usipozama hisia zinapungua kdg ..ubaya wake sasa ndo hadi baamedi au malaya wakimboka utataka uzame chumvini...nina jamaa angu huyo hachagui...
Sawa ndugu yangu,endelea kuamini hivyo.HPV ni moja ya magonjwa ya zinaa!!! Ata husipozama chumvini, ukigeeda bila kinga utaupata tu. Na yenyewe ni ngumu kuijua, unaweza kua nayo ata mwaka mzima bila kua na dalili yoyote, mara nyingi inaondoka yenyewe ila hisipoondoka inasababisa genital warts au cancer.
Kiufupi magonjwa yoyote ya zinaa yanaweza ambukizwa kwa kuzama chumvini/Kunyonya dudu... Ko haileti maana mjonyane huko alafu muishie kutumia condom!!!
Ila Hamna ugonjwa special unaotokana na hilo tendo
Hii ni moja kati ya njia zinazoweza kukusababishia cancer ya koo,na sio kwamba wooote wana cancer ya koo,tahadhari ni muhimu kuchukua kabla ya hatari,ni sababu hujawahi kushuhudia ndio maana,hivyo sishangai saana ukisema hivyo.Basi wasagaji wote wana cancer ya koo!
Hahahahahhhhhh we mwehu sana.nmecheka adi basiUkiona haachi kuingia hapo chumvini paka pilipili mbuzi