HPV ni moja ya magonjwa ya zinaa!!! Ata husipozama chumvini, ukigeeda bila kinga utaupata tu. Na yenyewe ni ngumu kuijua, unaweza kua nayo ata mwaka mzima bila kua na dalili yoyote, mara nyingi inaondoka yenyewe ila hisipoondoka inasababisa genital warts au cancer.picha hii hapa
Sawa DadaHPV ni moja ya magonjwa ya zinaa!!! Ata husipozama chumvini, ukigeeda bila kinga utaupata tu. Na yenyewe ni ngumu kuijua, unaweza kua nayo ata mwaka mzima bila kua na dalili yoyote, mara nyingi inaondoka yenyewe ila hisipoondoka inasababisa genital warts au cancer.
Kiufupi magonjwa yoyote ya zinaa yanaweza ambukizwa kwa kuzama chumvini/Kunyonya dudu... Ko haileti maana mjonyane huko alafu muishie kutumia condom!!!
Ila Hamna ugonjwa special unaotokana na hilo tendo
Basi wasagaji wote wana cancer ya koo!Wandugu wanaume,
Kitendo hiki kinasababisha kansa ya koo.
Huko kuna bacteria wa kulinda magonjwa ya huko.
Bakteria hao ndio wanaosababisha kansa ya
koo kwa mlaji.
Wengi wanaozoea mazoea hayo wanaishia kuugua na kufa kwa kansa ya koo.
Mwenye masikio na asikie.
nimejaribu kuelewa neno "iboro" tu.
na sijui kama inamaana hio pia!&[emoji2] [emoji2]
Hii tu ndo dhambi!!!Mshahara wa dhambi ni mauti bali karama ya Mungu ni uzima na amani. Acha uasherati dhambi inaua
Inaishaga yenyewe ila kuna ile inayogoma kuisha ndo husababisha maginjwa mengine!!! Kuna chanjo na dawa.Swali ni je inamatibabu????
Sikatai kua kansa ya koo ipo!!! Ata ulaji wa viungo sana inasababisha kansa ya koo...Kweli huu Ugojwa upo.Nina jirani yangu kafariki miaka miwili Iliyopita na Ugojwa wa kansa ya koo.
itakua inatema king'onda ng'onda[emoji38][emoji38][emoji38]K yako mwenyewe unaionea kinyaa....au ndo "kiwolper wolper"...
Alikuwa mtu wa kuzama ChumviniSikatai kua kansa ya koo ipo!!! Ata ulaji wa viungo sana inasababisha kansa ya koo...
Kwani alikwambia alipata hiyo kamsa kwa kuzama chumvini?
hahaitakua inatema king'onda ng'onda
Upo mamyhaha
yeahUpo mamy
Wadau naomba msaada,
Kiukweli sipendi mpenzi wangu akizama chumvini, sababu kuu ni kuwa akishazama anataka anikiss mdomoni. Aisee najisikia vibaya, kuna wakati nilimwambia sipendi ikawa ugomvi mpaka akakata mawasilino, nikamwomba msamaha ili kujua shida ni nini? Akaniambia nambania kuzama, yaani kuzama ndio ugonjwa wake.
Nakerwa na hii hali wanajamii forum naomba msaada wa mawazo, nifanyeje ili aache.