Sipendi mpenzi wangu akizama chumvini

Sipendi mpenzi wangu akizama chumvini

Wadau naomba msaada,

Kiukweli sipendi mpenzi wangu akizama chumvini, sababu kuu ni kuwa akishazama anataka anikiss mdomoni. Aisee najisikia vibaya, kuna wakati nilimwambia sipendi ikawa ugomvi mpaka akakata mawasilino, nikamwomba msamaha ili kujua shida ni nini? Akaniambia nambania kuzama, yaani kuzama ndio ugonjwa wake.

Nakerwa na hii hali wanajamii forum naomba msaada wa mawazo, nifanyeje ili aache.
ukiona hivyo ujue we mchafu, kwani vyote si vyako, wenzio wananyonywa mpaka sewerage we kimtaro kidogo tu hicho unalialia
 
Wadau naomba msaada,

Kiukweli sipendi mpenzi wangu akizama chumvini, sababu kuu ni kuwa akishazama anataka anikiss mdomoni. Aisee najisikia vibaya, kuna wakati nilimwambia sipendi ikawa ugomvi mpaka akakata mawasilino, nikamwomba msamaha ili kujua shida ni nini? Akaniambia nambania kuzama, yaani kuzama ndio ugonjwa wake.

Nakerwa na hii hali wanajamii forum naomba msaada wa mawazo, nifanyeje ili aache.
We mpuuzi kweli kwani wanaume wameisha??
 
Nafikiri vzr na kutaka maelewano yenu ktk mapenz yazid kushamili ni kuelezea hisia zako unazozickia pind anapo fanya hvyo,unaweza kumueleza kuwa huwa unajickia vbaya pind afanyavyo hvyo.km ni mwelewa atakusikiliza na atafuata kile upendacho ww
 
yakatazwe yote sio KUZAMA kunako Jana tuu bae kanambia tukiachana hatasahau jins nilivyo mzamiaaji.......wenye vibamia ni mafundi sana wa kuzama manake ndo tegemeo la mwisho kwetu
 
Duh kweli kwenye miti mingi hamna wajenzi tubadilishane mana mie wng ukimwambia zama chumvini na kutomba anahairisha yani mie napenda balaa lkn wangu haijawai hata siku moja aisee watu mna bahati[emoji22][emoji54]
Usafiii upo asilimia karbia na Mia?!!! Manake kama c hvo ata me ukinambia hvo nkifikiria usafi wako uko low battery aaaaaah na moody inaisha. Ila kama usafi battery full hakuna harufu ya mikojo na uvundoo, aaaah mbna swadakta ata nusu saa ntakua uvinza tu kabla ya kuingia kigoma mjini
 
yakatazwe yote sio KUZAMA kunako Jana tuu bae kanambia tukiachana hatasahau jins nilivyo mzamiaaji.......wenye vibamia ni mafundi sana wa kuzama manake ndo tegemeo la mwisho kwetu
Hahahah ahaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

FACT
 
nan alishawahi kuumwa kansa au fangas

naomba na ushahid wa kitabibu
Duh! Sitaki kuamini kama hufahamu hilo wala hujawahi kushuhudia mtu aliyepata fungus kwa sababu hiyo,especial fungus za mdomo,haya kaka kama huamini.
 
Daa kwa kweli umma huu utateketea. vibaya hapo ndipo dunia ilipofikia watu hawaelewi kwamba huko chumvini pamekatazwa na mungu pia kuna bacteria ambao lau wakiingia mdomoni italeta maradhi ndiyo maana hata wakati wa kujisafisha baada ya kujisaidia unatakiwa uanzie mbele umalizie nyuma ili kuepuka kuwahamisha hao bacteria
Hawafahamu hilo ndugu yangu,endelea kuwajuza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom