Sipendi mpenzi wangu akizama chumvini

Sipendi mpenzi wangu akizama chumvini

Maumivu yamesababishwa na kuzama mgodini na kudeki kabisa....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sasa mwishowake sijui itakuaje maana imebidi nisitishe huduma hiyo kwa muda [emoji134]‍♂️
 
Wadau naomba msaada,

Kiukweli sipendi mpenzi wangu akizama chumvini, sababu kuu ni kuwa akishazama anataka anikiss mdomoni. Aisee najisikia vibaya, kuna wakati nilimwambia sipendi ikawa ugomvi mpaka akakata mawasilino, nikamwomba msamaha ili kujua shida ni nini? Akaniambia nambania kuzama, yaani kuzama ndio ugonjwa wake.

Nakerwa na hii hali wanajamii forum naomba msaada wa mawazo, nifanyeje ili aache.

9a6ca65206343d4523054ec625a393ab.jpg
 
Chukua sumu ya panya pakaa kwenye ilo likitumbua, akikuramba na yeye analambwa, hapo itakuwa mwisho wa "Movie" atakuwa akulambi tena maishani mwake [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ukiendekeza chini kusiko salama, utakuja kuisoma namba ya magonjwa ya zinaa na hata UTI
Mkuu sizani kama utakuwa umenijibu swali langu na kuku uliza sina maana nakataa ulilo sema emu tulia unijibu swali langu vizuri maana najua una uelewa mkubwa tu,
umesema ugonjwa wa fangas na kansa kwasababu ya kunyonya k sasa nime uliza mbona na uume unaingia uko, nao utapata fangas au kansa na kama autapata nini kinacho fanya kicywa kipate na uume usipate nazani umenielewa
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kwa hiyo unataka na yeye ukimnyonya dushe agomee denda lako sio
 
Hii makala niliisoma The citizen, jamaa wameweka takwimu zote,Mi naamini wenye kukimbilia oral sex ni matokeo ya uchovu wao wa kushindwa kuwafikisha wanawake panapostahii
Vijana ndo tunaangamia
 
Ngoja kwanifuatilie mada then nije na jibu muafaka. Ila kwa leo inatosha tu kusema Ganda la mua la jana, chungu kaona kivuno. Ama kweli kuna watu na viatu duniani.

Walivosema kisicho rizki hakiliki hawakukosea kwa maana mgagaa na upwa hali wali mkavu
kwasababu haba na haba hujaza kibaba
 
Ulivonimention nimekuja fasta nikijua kuna kademu unaniunganishia. Na haka kabaridi walahi ningekuachia baraka za miaka saba na robo tatu.
Wajukuu wote walokuwa humu bado tu unakakamaa kwa baridi??? r
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom