Jimmy ally
Senior Member
- May 11, 2017
- 156
- 276
Habari wazalendo,
Mimi sipendi kuzungushwa na hawa watu wanaojiita pisi kali, yaani unamtafuta anakuzungunsha wakati ndio atakula pesa yako yaani nitafute pesa kwa shida halafu nikubebeleze uje kula pesa zangu.
Nikikutongoza siku tatu haueleweki nafuta na namba, dunia ituzungushe nawe unizungushe. Wewe haupendi nini katika kuzungushwa?
Mimi sipendi kuzungushwa na hawa watu wanaojiita pisi kali, yaani unamtafuta anakuzungunsha wakati ndio atakula pesa yako yaani nitafute pesa kwa shida halafu nikubebeleze uje kula pesa zangu.
Nikikutongoza siku tatu haueleweki nafuta na namba, dunia ituzungushe nawe unizungushe. Wewe haupendi nini katika kuzungushwa?