Sipendi kuitwa wa "Mkoani".


hujui joto na foleni ndo starehe za mjini?
 
Mjini mjini bana...mkoani mkoani.
Tuacheni na mikoa yetu wa mkoani.
 
Hehehe! Kuna mmoja kule fb kaandika kwao magogoni. Sijui ndo binamu wa shangazi wa bibi yake cousin wa jirani uao jk? Nikisuta nakudunda.
halafu huwa wana kaharufu fulani hivi, utajua tu huyu wa mkoa! ila akishaogea maji bahari mpe mwezi tu, na ye atakwambia kitovu chake kilizikwa karimjee grounds!! hebu nipite mie!
 
Hahahahhahahhahahaha
calm down! Hivi (dharau) kama hii unayo amini wewe ni dharau unaweza kuitolea ushahidi ili sheria ifate mkondo?

Utasikia naenda au nahamia 'mkoani' ivi ni wapi huko?! Hii dharau inatokana na nini?
Dar sio mkoa?
Kama ishu ni jiji, mbona hata mkiwa mnaenda Tanga, Mwanza na Arusha mnasema mkoani?!
Hii dharau huwa siipendi kabisa. Ntakuja ua mtu.
 
kama mtu ni wa mkoa ni wa mkoa tu...huku Dar watu hawaendeshi punda kama usafiri na wala hatushangai mabugando....
 
Calm down, toa ushahidi wa haya unayo yanena kwa wateja wangu kinyume na hapo unafanya melicious presecutions na tuta hitaji fidia kwa hili!

Hebu toa ushahidi kwa watu japo wawili unao waona hawaogi!

 
Utasikia naenda au nahamia 'mkoani' ivi ni wapi huko?! Hii dharau inatokana na nini?
Dar sio mkoa?
Kama ishu ni jiji, mbona hata mkiwa mnaenda Tanga, Mwanza na Arusha mnasema mkoani?!
Hii dharau huwa siipendi kabisa. Ntakuja ua mtu.

mimi ntakua nakuita wa wilayani. mia
 
Hahahahahahha
tafadhali toa ushahidi wa hao watu, kinyume na hapo ni defamation kwa wateja wangu!

Tafadhali thibitisha maneno yako!

halafu huwa wana kaharufu fulani hivi, utajua tu huyu wa mkoa! ila akishaogea maji bahari mpe mwezi tu, na ye atakwambia kitovu chake kilizikwa karimjee grounds!! hebu nipite mie!
 
Tafadhali chunga maneno yako na uombe msamaha kila mtu ana uhuru wa kufanya chochote ili mradi asivunje sheria! Kupanda punda ni utashi wa mtu na huamuzi! Tafadhali waombe msamaha wateja wangu!

kama mtu ni wa mkoa ni wa mkoa tu...huku Dar watu hawaendeshi punda kama usafiri na wala hatushangai mabugando....
 
Tafadhali chunga maneno yako na uombe msamaha kila mtu ana uhuru wa kufanya chochote ili mradi asivunje sheria! Kupanda punda ni utashi wa mtu na huamuzi! Tafadhali waombe msamaha wateja wangu!

Hahaha Loya, suala la kuitwa wa mkoa au kuitwa mpanda punda si tusi hivyo sioni kama napaswa kumuomba msamaha mteja wako yoyote....vipi nikisema wanapanda ndege au metro train?? najua hapo nitapigiwa makofi na kuambiwa ubarikiwe kijana!!
 
Nawewe ukiwa mkoa wako. Na ukiwa unataka kwenda mkoa wowote au hata dar sema unaenda mkoani.
 

Au utasikia nipo nje ya mji
 
halafu huwa wana kaharufu fulani hivi, utajua tu huyu wa mkoa! ila akishaogea maji bahari mpe mwezi tu, na ye atakwambia kitovu chake kilizikwa karimjee grounds!! hebu nipite mie!

shost umenchekesha kweli, et "kaharufu" mh ce wa mikoani tunaonewa bt at the same time nasi tunawaonea wa Tabora, Chigoma, Shy na Kagera. . . .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…