Una option mbili hapo za kutafuta amani yako:hahaaa,hapana mkuu STUNTER...ila napenda saana nikimuona mwanamke ana nywele fupifupi.
1. Umshawishi kwa upole huyo mchumba akuelewe kwamba hupendelei nywele ndefu na utajivunia sana akifuata ushauri wako wa kuwa na mtindo wa nywele fupi ( kimsingi hata mimi napenda nywele fupi zinarahisisha maisha na zinafanya mtu aonekane kijana zaidi, hata mume wangu anapenda hivyo na anafurahi sana nikinyoa)
2. Kama hakuelewi na hamjafikia hatua za kufunga maagano ya ndoa, unaweza kutafuta mwanamke mwenye ladha zako na ambaye atakuwa tayari kufuata unachohitaji na bado na yeye akajisikia furaha.
All the best mkuu, usisahau kuleta mrejesho.