DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 5,582
- 10,277
Mkuu au unaogopa mizinga ya saloon nini?
Wacha Ubahili, Unaogopa Kuombwa Hela ya Saloon?
Achana nae mtafute Halima Mdee.hahaaa,hapana mkuu STUNTER...ila napenda saana nikimuona mwanamke ana nywele fupifupi.
Hahaha haswaaSiku akijua anatoka na kinyozi ndiyo akili itamkaa sawa!!!
Mkuu saloon bei wanakimbia majukumuWacha Ubahili, Unaogopa Kuombwa Hela ya Saloon?
Daah Scorpio naona unaaza uchokozi ?Umnyoe umemuoa???
Katafute anayenyoa huyo waachie wanaopenda wanawake wanaosuka....
Nywele zenyewe hizi za kiafrica zinamea 1 inch kwa mwaka zishafika shoulder length halafu mtu aniniambia ninyoe!shame on u. hivi mtu utaanzaje kunambia ninyoe nywele zangu? nazitunza kwa garama kubwa sivai mawiving wala kuyasuka mwanaume aseme hataki nywele zangu? nimesikitika sana. pole yake bi dada
like like like like likeWewe ni control freak tu.Kusuka asuke yeye wewe ukereke?Acha kugeuza mwanamke ni commodity.Akisema na yeye hapendi mwanaume anayenyoa nywele bali anayesuka?Utasuka?
Nimeshindwa kuelewa iyo claim yako kwamba nimesema uongo, kivipi yan?karudie kusoma vizuri (wakorinto 11:13)acha kusema uongo.
Nimeshindwa kuelewa iyo claim yako kwamba nimesema uongo, kivipi yan?karudie kusoma vizuri (wakorinto 11:13)acha kusema uongo.
umesema kunyoa dhambi et!!!!!!Nimeshindwa kuelewa iyo claim yako kwamba nimesema uongo, kivipi yan?
Tuheshimiane mkuuhapo ndipo wanaume huniacha hoi, anakukuta umetinga suruali tena ya jeans anakutongoza baada ya kuanza mahusiano eti ooh sipendi uvae suruali, kwani wavaa sketi na magauni hukuwaona? huwa nawashangaa sana, na hizo ni tabia za kibabe kwa mwanamke na wengi wao ndo wale wanaopiga wenza wao. Badilika, kuna member mmoja hapo kakuuliza na yeye akikwambia anapenda wanaume wanaosuka, utasuka?
umenena vemaUkipata mwenye nywele fupi alf tabia mbovu uta vumilia nywele?
Kunyoa sio sahihi kwa mwanamke kwa kuwa fahari ya mwanamke ni nywele. Kwa mwanamke anayenyoa, inatakiwa afunike kichwa chake kwa kuwa huonekana kituko pale anapokuwa amenyoa kama mwanaume. Angalia mifano kwa jamii tunayoishi, mwanamke anapokuwa hana nywele ndefu anachukuliwa vipi. Anaheshimiwa kama wengine? Nini kinamfanya aonekane tofauti na mwanaume zaidi ya maumbile? Anakuwa na mvuto sawa.umesema kunyoa dhambi et!!!!!!