Sipendi kabisa mwanamke anayesuka

Sipendi kabisa mwanamke anayesuka

Wewe ni control freak tu.Kusuka asuke yeye wewe ukereke?Acha kugeuza mwanamke ni commodity.Akisema na yeye hapendi mwanaume anayenyoa nywele bali anayesuka?Utasuka?
 
Dhuuuu kweli binadam tunatofautiana me dem.km hajasuka swez hata kumsalimia na km n dem wang anakuja geto lazma awe amesuka lacvyo hapana abak tuuu
 
Wewe itakua unakwepa gharama za saloon. Japo mimi ni mwanaume, natambua kwamba ni dhambi mwanamke kunyoa. Na akinyoa afunge kichwa na asitoke nyumbani. Sorry lakin, sio maneno yangu.
karudie kusoma vizuri (wakorinto 11:13)acha kusema uongo.
 
Mi kinachonikera katika kusuka.....unamkuta anasuka wiki moja na zaidi mwanamke hajaweka maji kichwani kichwa kinanuka balaa hapo nikumkuta tu kila mara anakuna kichwa,hatarii sana!!
 
Sijui kwanini nikimuona mwanamke amenyoa mtindo wowote navutiwa naye sana naona nimeona mke mwema
 
Dunia sasa inaelekea kubaya... Hivi sasa mmeanza kupendea nywele??

Wenzako wanakuambia mwanamke nywele, Kijana angalia sana usije ukaanza kutamani wanaume wenzio.

Sote tusimame kumwombea mleta mada asiingie kwenye ukameruni
Watu wanafanya ukameruni utawajua tu. Ishu ya kisuka na ukameruni wapi na wapi
 
Habarini za asubuhi wanajukwaa pendwa la MMU.

Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika,baada ya kuhangaika kwa muda mrefu bila kumpata mwanamke tunayeendana naye, hatimaye nimebahatika kumpata mdada mmoja hivi wa kibosho...kwa hakika namuelewa saaana nami ananielewa haswaaa....ila shida iliyopo ni kwamba mimi binafsi sipendi kabisa mwanamke anaye suka..

Napenda sana mwanamke anayenyoa kawaida,na kipindi namtokea nilimkuta anasuka, bali niliamini kuwa naweza kumbadilisha.....hivi karibuni nmemgusia suala la kuacha mara moja suala la kusuka na hatimaye aanze kunyoa, tumegombana saaana.Mpaka muda huu, hali bado sio shwariii baina yetu...

Naombeni mnishauri jamani, nitumie mbinu zipi za kumuelewesha aweze kuacha kusuka bila kuathiri mahusiano yetu? Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu nyote

NB: Sisi ni wachumba...hatujaoana bado
Mimi sipendi mawigi nnapenda nywele live.
 
Ukute kasuka utii wa rhoda au twende kilioni aisee mimi huniburudisha sana nikiona mwanadada kasuka hivyo .
 
Habarini za asubuhi wanajukwaa pendwa la MMU.

Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika,baada ya kuhangaika kwa muda mrefu bila kumpata mwanamke tunayeendana naye, hatimaye nimebahatika kumpata mdada mmoja hivi wa kibosho...kwa hakika namuelewa saaana nami ananielewa haswaaa....ila shida iliyopo ni kwamba mimi binafsi sipendi kabisa mwanamke anaye suka..

Napenda sana mwanamke anayenyoa kawaida,na kipindi namtokea nilimkuta anasuka, bali niliamini kuwa naweza kumbadilisha.....hivi karibuni nmemgusia suala la kuacha mara moja suala la kusuka na hatimaye aanze kunyoa, tumegombana saaana.Mpaka muda huu, hali bado sio shwariii baina yetu...

Naombeni mnishauri jamani, nitumie mbinu zipi za kumuelewesha aweze kuacha kusuka bila kuathiri mahusiano yetu? Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu nyote

NB: Sisi ni wachumba...hatujaoana bado
mmmh! mwanamke aisyesuka kwangu simpend kabisa napenda awe na nywere za asilia sio kuvaa mawig sijui na mawiving, ukitaka ambao hawasuki oa wasabato
 
mmmh! mwanamke aisyesuka kwangu simpend kabisa napenda awe na nywere za asilia sio kuvaa mawig sijui na mawiving, ukitaka ambao hawasuki oa wasabato
Hahaa,nmekusoma mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom