Sipendi kabisa mwanamke anayesuka

Sipendi kabisa mwanamke anayesuka

vumilia chifu ukisema ubadilishe utabadili wangapi ndgu yang vumilia kama kweli unampenda najua utambadilisha pole pole mana si unajua ndgu zetu inatakiwa tuishi nao kwa hekima kubwa na kumtanguliza mungu hope nimeeleweka chifu..
 
Mkuu wewe ni kama mimi.
Mwanamke akiwa simple..nywele fupi kama namba 1 au kama zipo nyingi basi azifunge kwa nyuma kikorea fulani hivi na ziwe safiii.

Aseeh hapo chochote anachukua kwangu
Uwwwiii..!

Ngoja nikanyoe nije fasta nichukue kapasso.
 
shame on u. hivi mtu utaanzaje kunambia ninyoe nywele zangu? nazitunza kwa garama kubwa sivai mawiving wala kuyasuka mwanaume aseme hataki nywele zangu? nimesikitika sana. pole yake bi dada
 
Habarini za asubuhi wanajukwaa pendwa la MMU.

Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika,baada ya kuhangaika kwa muda mrefu bila kumpata mwanamke tunayeendana naye, hatimaye nimebahatika kumpata mdada mmoja hivi wa kibosho...kwa hakika namuelewa saaana nami ananielewa haswaaa....ila shida iliyopo ni kwamba mimi binafsi sipendi kabisa mwanamke anaye suka..

Napenda sana mwanamke anayenyoa kawaida,na kipindi namtokea nilimkuta anasuka, bali niliamini kuwa naweza kumbadilisha.....hivi karibuni nmemgusia suala la kuacha mara moja suala la kusuka na hatimaye aanze kunyoa, tumegombana saaana.Mpaka muda huu, hali bado sio shwariii baina yetu...

Naombeni mnishauri jamani, nitumie mbinu zipi za kumuelewesha aweze kuacha kusuka bila kuathiri mahusiano yetu? Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu nyote

NB: Sisi ni wachumba...hatujaoana bado
Kwanza kwanini umeoa kibosho?

Pili wewe ni mfuasi wa Hellen G white?

Jibu kwanza hayo.
 
Siku ananyoa hzo nywele afu jamaa anachepuka na aliesuka...wanaume hawana jema jmn,..nakuheshimu ila kuna vitu ni noo yanii,mwanamke anaenjoy na nywele yake we unataka akate ili iweje,umemkuta nazo,fanya ishu zngne
 
Siku ananyoa hzo nywele afu jamaa anachepuka na aliesuka...wanaume hawana jema jmn,..nakuheshimu ila kuna vitu ni noo yanii,mwanamke anaenjoy na nywele yake we unataka akate ili iweje,umemkuta nazo,fanya ishu zngne
Kuna mama ashawah niambie mumewe alianza kumwambia ukinyoa unapendeza Sana wife basi akanyoa mwenyewe anazitia black mafuta zinawaka end of the day anakuja gundua mumewe anatoka na mdada wa Saloon aliyokuwa Mara zote akienda na huyo Dada ananywele nzuri tu ndefu akamwambia mumewe kumbe ulkuwa unataka kuwa na sample mbili mwenye nywele na anaenyoa
 
Habarini za asubuhi wanajukwaa pendwa la MMU.

Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika,baada ya kuhangaika kwa muda mrefu bila kumpata mwanamke tunayeendana naye, hatimaye nimebahatika kumpata mdada mmoja hivi wa kibosho...kwa hakika namuelewa saaana nami ananielewa haswaaa....ila shida iliyopo ni kwamba mimi binafsi sipendi kabisa mwanamke anaye suka..

Napenda sana mwanamke anayenyoa kawaida,na kipindi namtokea nilimkuta anasuka, bali niliamini kuwa naweza kumbadilisha.....hivi karibuni nmemgusia suala la kuacha mara moja suala la kusuka na hatimaye aanze kunyoa, tumegombana saaana.Mpaka muda huu, hali bado sio shwariii baina yetu...

Naombeni mnishauri jamani, nitumie mbinu zipi za kumuelewesha aweze kuacha kusuka bila kuathiri mahusiano yetu? Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu nyote

NB: Sisi ni wachumba...hatujaoana bado


Sema huna uwezo wakuhudumia nywele, kusuka na maweaving na sio kujifanya unapenda mwanamke anaye nyoa.
 
Kuna mama ashawah niambie mumewe alianza kumwambia ukinyoa unapendeza Sana wife basi akanyoa mwenyewe anazitia black mafuta zinawaka end of the day anakuja gundua mumewe anatoka na mdada wa Saloon aliyokuwa Mara zote akienda na huyo Dada ananywele nzuri tu ndefu akamwambia mumewe kumbe ulkuwa unataka kuwa na sample mbili mwenye nywele na anaenyoa
Duuuh,nywele zenyewe za kibongo tunavozikuza kwa mbinde hivii,piga picha nywele yako iko mgongoni tiari afu mtu anasema ukatee chaa am solee baba watoto... Hadi nizikuze tena ni leoo?
 
Wanawake wa kisabato wananivutia kweli....wasafi na nywele zao ni fupi....huwa nawapenda sana.
 
Wanawake wa kisabato wananivutia kweli....wasafi na nywele zao ni fupi....huwa nawapenda sana.
1478373433215.jpg
 
Mmmmh umaskini ni ugonjwa. Au uchumi mgumu kaka unakwepa 25000-100000 za kila after 2weeks
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom