Sipendi kabisa mwanamke anayesuka

Sipendi kabisa mwanamke anayesuka

pamoja mkuu,au una mtetea kwa vile anatokea pande zenu hzo..hahaaa
hapana mkuu nasema hivyo hata mimi wakati nakua nilikuwa mbishi sana kusuka ila mama yangu akaniambi mwanamke kuwa na nywele ni jambo nzuri na ndiye aliyeniambia vazi la mwanamke la kwanza ni nywele.... na pia wakati fulani baba na na mama walipishana ndani nikamsikia mama anamwambia baba naenda kunyoa nywele huwezi amini mdingi aliomba pooo. so tokea hapo naamini nywele ni muhimu.. sina maana wote wawe hivyo noo
 
Twende mbele turud kati na nyuma, demu anaenyoa na kubaki na nywele zake natural huwa ananipendeza kupita maelezo
umeongea facts mkuu,japo hawa jamaa wanadai et mm ni bahiri
 
hapana mkuu nasema hivyo hata mimi wakati nakua nilikuwa mbishi sana kusuka ila mama yangu akaniambi mwanamke kuwa na nywele ni jambo nzuri na ndiye aliyeniambia vazi la mwanamke la kwanza ni nywele.... na pia wakati fulani baba na na mama walipishana ndani nikamsikia mama anamwambia baba naenda kunyoa nywele huwezi amini mdingi aliomba pooo. so tokea hapo naamini nywele ni muhimu.. sina maana wote wawe hivyo noo
hahaaa,shukran kwa ushauri wako Mkuu...ntaufanyia kazi
 
Wewe itakua unakwepa gharama za saloon. Japo mimi ni mwanaume, natambua kwamba ni dhambi mwanamke kunyoa. Na akinyoa afunge kichwa na asitoke nyumbani. Sorry lakin, sio maneno yangu.
 
hapana mkuu nasema hivyo hata mimi wakati nakua nilikuwa mbishi sana kusuka ila mama yangu akaniambi mwanamke kuwa na nywele ni jambo nzuri na ndiye aliyeniambia vazi la mwanamke la kwanza ni nywele.... na pia wakati fulani baba na na mama walipishana ndani nikamsikia mama anamwambia baba naenda kunyoa nywele huwezi amini mdingi aliomba pooo. so tokea hapo naamini nywele ni muhimu.. sina maana wote wawe hivyo noo
hahaaa,shukran kwa ushauri wako Mkuu...ntaufanyia kazi
 
Unachokiongea kinaweza kuwa sawa kutokana na perception yako...lakini yeye mtazamo wake kuhusu Hilo la kunyoa ukoje hapo Maana ucje kuwa unamlazimisha mtu kufanya kitu asichokipenda mwisho wa siku ilete matatizo...na ukipata mtu mnayependana kwa karne hii mshikilie na mng'ang'anie
 
vazi la mwanamke la kwanza ni nywele.. sina maana nywele bandia nywele zake asili...naamini na wewe kuna mapungufu unayo anayachukulia jitahidi umchukulie mwenzio
Nywele zipi zipo sehemu kuu 3; kichwani, kwapani na kwenye uwanja wa papuchu
 
Hata mie nakubali nywele nyingi na za kusuka zinachangia uchafu na kupoteza wakati kuziangalia lakini sidhani kama ni sawa kulazimisha hili kwa mwenzio ikiwa hapendezewi kuwa na nywele fupi
 
Huko ni kutaka kumwonea tu huyo dada wa watu. Umemkuta na nywele zake na ukavutiwa naye, ghafla unataka anyoe nywele zake ili akuvue! How?
Sema tu umeshamchoka, tena umemchoka kabla hata hujamuoa.

Nywele ni fahari ya Mwanamke, ukimkuta msichana anapenda nywele fupi basi ujue hiyo ndio fahari yake na ukimkuta msichana anapenda kusuka basi ujue hiyo ndio fahari yake. Haiwezekani kumbadilisha kirahisi, unaweza kumlazimisha afuate matakwa yako lakini hali hiyo itakuwa inamnyima raha maisha yake yote. Na ndoa isiyokuwa na raha ni kama Jehanum.

Ushauri wangu, achana na huyo dada mara moja, hakufai na wala humfai, nenda katafute msichana mwenye kupenda nywele fupi ili uje kumwoa na kufurahia maisha yako yote.
 
Unaonaje tukibadilishana nikupe manzi, anapenda kunyoa sana ka wa kusoma nami nmezoea kuchezea nywele, ni wazo tu.
 
ata mm npo upande wako mkuu, n swala la interest tu. sema waungwana wanashindwa kuelewa. na nafkr hzo n facts ambazo znaweza kutumika kumpata yule umeumbiwa., kuna wengne wanavutiwa na makalio, wengne matit and so on. mm bnafs napenda sana asie na mambo meng, urembo wake zaid ujengwe kwenye mavaz kuliko makeup, unamkuta mtu kajchora uson kawa kama simbilisi jicho la kushoto wanja wa blue la kulia wanja mwekundu, alafu umeptiliza adi shavun wenyewe wanaita sina mume aisee m hapana., ua najhs ata kutapka. na ata nywele mtindo wa afro ua unawapendeza zaid kuliko kuvaa hayo manywele yao bandia..
sema kuhusu inshu yako nenda nae taratbu kama anakupenda kwel ata kuelewa tu. mwanamke mwenye mapenz ya dhat kwako, yaan yule anae kupenda kwel, ua yuko teyar kufanya kila kitu kwa ajili yako ata kuhatarsha maisha yake wakat flan. so swala kama hlo kwake sio big issue just take time and use romantic language
 
ata mm npo upande wako mkuu, n swala la interest tu. sema waungwana wanashindwa kuelewa. na nafkr hzo n facts ambazo znaweza kutumika kumpata yule umeumbiwa., kuna wengne wanavutiwa na makalio, wengne matit and so on. mm bnafs napenda sana asie na mambo meng, urembo wake zaid ujengwe kwenye mavaz kuliko makeup, unamkuta mtu kajchora uson kawa kama simbilisi jicho la kushoto wanja wa blue la kulia wanja mwekundu, alafu umeptiliza adi shavun wenyewe wanaita sina mume aisee m hapana., ua najhs ata kutapka. na ata nywele mtindo wa afro ua unawapendeza zaid kuliko kuvaa hayo manywele yao bandia..
sema kuhusu inshu yako nenda nae taratbu kama anakupenda kwel ata kuelewa tu. mwanamke mwenye mapenz ya dhat kwako, yaan yule anae kupenda kwel, ua yuko teyar kufanya kila kitu kwa ajili yako ata kuhatarsha maisha yake wakat flan. so swala kama hlo kwake sio big issue just take time and use romantic language
shukrani kwa ushaur wako mkuu
 
Mkuu wewe ni kama mimi.
Mwanamke akiwa simple..nywele fupi kama namba 1 au kama zipo nyingi basi azifunge kwa nyuma kikorea fulani hivi na ziwe safiii.

Aseeh hapo chochote anachukua kwangu
Do you prefer an organic woman?
 
Binafsi naonaga urembo wa mwanamke ni nywele aiseee, nywele inampendezesha sana mwanamke,sasa daaaaa
Lkn pia wakat unampenda ulimkuta na nywele zake kwann basi umwambie anyoe ama ndo ubahili kimtindo ndgu yetu
 
Daa duniani kweli tupo watu wengi wa ajabu ajabu aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom