Mkuu sema ndani ya sekunde.Movie ndani ya dakika 1
chaapMkuu sema ndani ya sekunde.
Nadhani kabla hata hujaclick .....Yaani ukiclick tu kitu na box.
Yan sekunde moja
But kama kwa 1 sec 91 gb hapo ndio balaa ni movie 90 ndani ya sec moja.Embu acha uongo sekunde moja udownload movie 90??
Wamekwambia 1 second 91mb
1 movie ni 700 mb au 1.3gb
May be ndani ya sekunde 9 ndio unaweza pata movie moja.
So ndani ya dkk ni kama.movie 10 za 1gb hv.
mh sasa hiyo ni 4G au generation gani?
Kumbe! Basi unaweza download kila kitu kilichopo kwenye internet maana ni mwendo wa microseconds tu.Ile ni speed sio size...bundle la 10GB inamaanisha unauwezo wa ku download files zenye ukubwa wa 10GB ila speed inaweza kua 1-100Mbps ambayo ki uhalisia ktk ku download ikimaanisha 100Mb kwa sekunde moja...ss imagine 91Gbps...io ni sawa na 91,000Mbps....so km uta download kitu cha 1gb regardless ya bundle lako b4 haijafika sekunde kitakua kishamaliza ku download
halafu wakarudi kutumia 2.4MB per sec?Msiwe mnashare vitu msivovijua, hiyo speed ilifikiwa ikiwa ni katika JARIBIO, siyo kwamba ndiyo speed ya internet hapo NASA!! Wanasayansi walishafanya utafiti wa speed mpaka ya 1TB/s na ikafanikiwa!
Aiseeee
Bado hiyo tech haijawa available kwa matumizi ya world wide web, na hata hayo majaribio walifanya transfer ya files site to site kupitia network ya Energy Science (ESnet), siyo WWW! Kwa lugha ya mtaani ni kwamba, treni ya mwendo wa 10000km/h inafanyiwa utafiti kwenye reli isiyo ya public, kwahiyo both the train and the rail hazijawa bado compatible na mfumo wa sasa wa usafiri wa jumuiya, halafu unauliza; "halafu bado wanakwenda kazini kwa treni za kawaida?!!"halafu wakarudi kutumia 2.4MB per sec?
Mkuu umekosea ungetakiwa uigawanye kwanza 1000 ambayo ndio sawa sawa na gb moja kisha uizidishe kwa gharamahapo sidhan kama sekunde itaisha
dakika ina sec 60
kila sek unapakua 91GB
Dakika utakua umepakua muvi yenye ukubwa wa
5460GB
sawa na MEGABYTES(MB)
5460000
kitanzania MB 1000(1Gb) ni swa na sh elfu moja
je MB 5460000 ITAKUA SH. NGAPI?
1000X5460000=?
hizo zote ukung'ute kwa dakika.
ndukiiiii
Kuna nini hapoHapo lazima yts.ag ingekoma na Mimi.
Najua vizur tu kwamba walifanya Jaribio Since 2014Msiwe mnashare vitu msivovijua, hiyo speed ilifikiwa ikiwa ni katika JARIBIO, siyo kwamba ndiyo speed ya internet hapo NASA!! Wanasayansi walishafanya utafiti wa speed mpaka ya 1TB/s na ikafanikiwa!
Bongo Niijuavyo Tungeshinda Katika kuangalia Movie Za ngono
Hvyo haisubir uclick mama vile unafkiria tu click page imefunguka nyoko sanaYaani ukiclick tu kitu na box.
Move ipi ya gb 91??Movie ndani ya dakika 1