Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 21,961
- 50,025
haahahahHapo lazima yts.ag ingekoma na Mimi.
haahahahHapo lazima yts.ag ingekoma na Mimi.
[emoji16] [emoji16] [emoji16][emoji2] [emoji2] [emoji2] 4g ya tigo nini?
Hata wao wanatumia 4GKabla hujaclick imeshafunguka, hapa natumia 4G lakini nikizungusha simu kidogo tuu hata Jf naweza shindwa ku post
Yan sekunde moja unadownload kama movie tisini hivikwa hyo hata sekunde mbili haziishi
ndio hivyo mkuu..ila kufika bongo sio leo hii spidiYan sekunde moja unadownload kama movie tisini hivi
Yaani hapa ni ikisense unataka kuclick, kitu kinajibu!Yaani ukiclick tu kitu na box.
4g ya Verizon huwezi compare na 4g ya tigo.Hata wao wanatumia 4G
[emoji4][emoji4][emoji4]bando sasa mtihani
Itakua sekunde 1 na nusukwa hiyo ni ndani ya sekunde ngapi
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Yan sekunde moja unadownload kama movie tisini hivi
Ile ni speed sio size...bundle la 10GB inamaanisha unauwezo wa ku download files zenye ukubwa wa 10GB ila speed inaweza kua 1-100Mbps ambayo ki uhalisia ktk ku download ikimaanisha 100Mb kwa sekunde moja...ss imagine 91Gbps...io ni sawa na 91,000Mbps....so km uta download kitu cha 1gb regardless ya bundle lako b4 haijafika sekunde kitakua kishamaliza ku downloadKabla hujamalizia kuclick vizuri tayari imeshakula bando lako gb zisizopungua 91!![emoji30][emoji30][emoji30]......... mimi gb 10 huwa simalizi kwa mwezi, eti gb zangu za kutumia miezi tisa ndo akina fulani kule nasa wanatumia kwa sekunde moja!![emoji32][emoji32][emoji32]
Kaka piga hesabu vizuri, movie moja ya real HD yenye Gb2.....utaweza kuidownload ndani ya less than seconds kakaMovie ndani ya dakika 1
Just a fraction of second..kwa hyo hata sekunde mbili haziishi
Sasa mkuu kama speed ni gb 91 per second ina maana nikidownload lets assume kitu chenye gb 91 je nitatumia gb ngapi kudownload hicho kitu?Ile ni speed sio size...bundle la 10GB inamaanisha unauwezo wa ku download files zenye ukubwa wa 10GB ila speed inaweza kua 1-100Mbps ambayo ki uhalisia ktk ku download ikimaanisha 100Mb kwa sekunde moja...ss imagine 91Gbps...io ni sawa na 91,000Mbps....so km uta download kitu cha 1gb regardless ya bundle lako b4 haijafika sekunde kitakua kishamaliza ku download