Sipati picha speed hii Ingekuwa hapa bongo

Sipati picha speed hii Ingekuwa hapa bongo

9fb31ced158d5b1c3ad5b128da55c315.jpg
Hiyo ni NASA tu mkuu. Marekani, hasa sehemu za rural, spidi bado ipo chini sana. Internet providers, hasa kampuni za cable, wanaahidi wasichoweza kutimiza.
 
Najua vizur tu kwamba walifanya Jaribio Since 2014
so nimeshare kama prank tu Ila kama umetake serious pole.
Pole mimi au pole wewe? Hata heading tu ilionesha uko serious, soma tena heading yako, then usome reply zako kwenye comments za watu. Anyway...cheers!
 
ambayo bado iko laboratory sasa hiyo kasi NASA wameitoa wapi au ni mambo ya kujikweza
Mkuu huamini..??
Unajua hawa wajamaa mpaka wakuletee au walikishi technolojia zao ni baada ya kuzitumia na kuona zimeshapitwa na wakati ndio wanawaleteeni huku dunia ya 3.
Hv unafikiri wanavoenda huko mwezini na maugunduzi yao kibao anga za mbali wanatumia hv vi-4G vyenu..??
 
Hapo unaweka vocha data ikiwa on mpaka unaanza kuunga vocha haipo
 
Mpaka kufikia speed hiyo maana yake una vifaa vya kisasa na ISP ni wewe mwenyewe

Dreams never end by fear
 
Back
Top Bottom