Sipati picha speed hii Ingekuwa hapa bongo

Sipati picha speed hii Ingekuwa hapa bongo

Wenyewe wana wasiliana na AGENTS zao walioko anga la juu kabisa yaani * from other planets like mars., and moon (mwezini)*
Mi mwenyewe nazani hizi 96GB sio kwa matumizi ya hapa duniani bali za kuwasaidia kuwasiliana na hao walioko huko anga za mbali..
 
internet ya simu(airtel) za kawaida kwa hapa bongo ni 3.75mb..nasa wamemaliza kila kitu aisee dah
 
9fb31ced158d5b1c3ad5b128da55c315.jpg
 
Nafikiria tu....inawezekana ukiwa eneo hilo...hata Nyembe au Sindano inaweza kusoma DATA na kuelekea/kubainika katika SERVER yao....!!

Hii Speed ni SHEEEDAAAHH..!!
 
Jamaa wanajua jipendelea hawa hapa bongo mb 1 tuuh kwa sekunde ndoto
 
NAHITAJI HARD DISK MPYA WAKUU MANAKE DAAH SIO KWA HIYO SPEED
 
Back
Top Bottom