FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,013
- 40,681
Kwahiyo ni uvamizi, sivyo?Inategemea na mtazamo wa upande unaolipoti hilo suala:
Mfano uvamizi wa Waisrael wengine waliita kurudi kwenye nchi yao ya asili na wengine ni uvamizi na kukaliwa kimabavu kwa wapalestina.
Indo china wafaransa waliita oparesheni ya kuiondoa ukomunisti wakati wavetinamu waliita uvamizi kutoka Taifa la kigeni.
Marekani kuivamia Iraq wao wakisema wanaenda kwenye campaign ya kutoa siraha za Maangamizi wengine ni uvamizi tu
Afghanistan na ugaidi wakati wengine waliona ni uvamizi tu.
Kwa hiyo Urusi ilikuwa sahihi kuita kampeni ya kijeshi