Sipati chaneli ya Russia Today kwenye Azam TV

Inategemea na mtazamo wa upande unaolipoti hilo suala:

Mfano uvamizi wa Waisrael wengine waliita kurudi kwenye nchi yao ya asili na wengine ni uvamizi na kukaliwa kimabavu kwa wapalestina.

Indo china wafaransa waliita oparesheni ya kuiondoa ukomunisti wakati wavetinamu waliita uvamizi kutoka Taifa la kigeni.

Marekani kuivamia Iraq wao wakisema wanaenda kwenye campaign ya kutoa siraha za Maangamizi wengine ni uvamizi tu

Afghanistan na ugaidi wakati wengine waliona ni uvamizi tu.

Kwa hiyo Urusi ilikuwa sahihi kuita kampeni ya kijeshi
Kwahiyo ni uvamizi, sivyo?
 
Hata kama wanapika habari lakini RT, wamezidi, aljazeera tu ndio huwa wanonyesha ukweli, ndio maana sio kwa warabu, au wazungu kote wana mpinga!!!
Naikubali sana aljazeera, yani nikitaka tazama channel ya habari ya kimataifa ni aljazeera.
Napenda programs zao
 
Naikubali sana aljazeera, yani nikitaka tazama channel ya habari ya kimataifa ni aljazeera.
Napenda programs zao
Nayo sasa imekua ya hovyo, watangazaji wake Ukraine wamejaa unafiki sana. Mfano kuna mtangazaji mmoja anasema ilichukua miezi mitatu kuprocess application za wakimbizi million 1 kutoka syria kuingia ulaya ila imechukua siku kama 4 kuprocess idadi hiyo ya wakimbizi kutoka ukraine. Alivyo mnafiq anasema hiyo ni IMPROVEMENT wakati dhahiri ni ubaguzi kwa watu wasio wazungu.
 
naona mnalishana matango pori na kuaminishana ujinga.

hakuna uhusiano wowote wa dstv na azamtv katika masuala ya channel.

iko hivi, azamtv inatumia satellite ya Eutelsat ambayo headquarter zake zipo paris ufaransa. kiufupi Eutelsat ni satellite ya mabeberu.

mlolongo wa channel zote zinazopatikana kwenye vifurushi vya azam tv, zinakufikia wewe mteja kwenye kiTV chako pale nyumbani, kwa support kubwa ya satellite ya Eutelsat.

kwa mantiki hiyo, linapofika suala la RT, azamtv hawezi kwenda kinyume na msimamo wa mabeberu ambao wengine ndio hao wamiliki wa Eutelsat.

kuna mawili, inawezekana azamtv wameiondoa RT kwenye chanel list ili kukazia misimamo ya mabeberu dhidi ya Russia, au Eutelsat wamei-block RT kwenye satellite yao.
The later seems to be correct.
 
Hata CGTN imefungiwa ila zote ukihitaji kutazama zipo YouTube, wanawapiga sindano Marekani kama kawa.
 
naona mnalishana matango pori na kuaminishana ujinga.

hakuna uhusiano wowote wa dstv na azamtv katika masuala ya channel.

iko hivi, azamtv inatumia satellite ya Eutelsat ambayo headquarter zake zipo paris ufaransa. kiufupi Eutelsat ni satellite ya mabeberu.

mlolongo wa channel zote zinazopatikana kwenye vifurushi vya azam tv, zinakufikia wewe mteja kwenye kiTV chako pale nyumbani, kwa support kubwa ya satellite ya Eutelsat.

kwa mantiki hiyo, linapofika suala la RT, azamtv hawezi kwenda kinyume na msimamo wa mabeberu ambao wengine ndio hao wamiliki wa Eutelsat.

kuna mawili, inawezekana azamtv wameiondoa RT kwenye chanel list ili kukazia misimamo ya mabeberu dhidi ya Russia, au Eutelsat wamei-block RT kwenye satellite yao.

IMG_1159.jpg
 
naona mnalishana matango pori na kuaminishana ujinga.

hakuna uhusiano wowote wa dstv na azamtv katika masuala ya channel.

iko hivi, azamtv inatumia satellite ya Eutelsat ambayo headquarter zake zipo paris ufaransa. kiufupi Eutelsat ni satellite ya mabeberu.

mlolongo wa channel zote zinazopatikana kwenye vifurushi vya azam tv, zinakufikia wewe mteja kwenye kiTV chako pale nyumbani, kwa support kubwa ya satellite ya Eutelsat.

kwa mantiki hiyo, linapofika suala la RT, azamtv hawezi kwenda kinyume na msimamo wa mabeberu ambao wengine ndio hao wamiliki wa Eutelsat.

kuna mawili, inawezekana azamtv wameiondoa RT kwenye chanel list ili kukazia misimamo ya mabeberu dhidi ya Russia, au Eutelsat wamei-block RT kwenye satellite yao.
Please acha kuonyesha upumbavu wako, nisome tena ili unielewe vema
 
Nimekua nikifiatilia channel hii katika kipindi hiki cha mzozo wa Russia-Ukraine ili kuballance matukio.

Sasa leo najaribu kuangalia haipo hewani na kwenye screen ya tv haileti ujumbe wowote either poor signal au vipi.

Je kwa sisi wapenzi wa Russia Today tv ndio imekula kwetu? Je inaweza kua sababu ni ile mabeberu wanayoisema kwamba RT ina spraed fake news ndio maana Azam wakaipiga chini?

Kwakweli sijapendezwa na hili.

View attachment 2137366
Ulianza kuangalia baada ya Mzozo au ushabiki?
 
BBC,Skynews,CNN wanapika sana habari linapokuja suala Russia na Ukraine.Kuikosa RT kipindi ni balaa kubwa vyombo vya magharibi vinatulisha habari za upande mmoja.

Nashauri tuandamane hadi ubalozi wa USA tukiwa na mabango ya kulaani kitendo cha kuminya uhuru wa habari.
Maandamano yaanzie hapo hapo Ufipa!
 
Ulianza kuangalia baada ya Mzozo au ushabiki?
baada ya mzozo, ili kuballance ninachokiona kwenye tv za west plus aljazeera na wanachoonesha wenye vita yao. Na niligundua pamoja na madhaifu yao (RT) bado wamagharibi (cnn, france 24, fox plus kibraka aljazeera) wana unafiki mwingi sana.
 
Nimekua nikifiatilia channel hii katika kipindi hiki cha mzozo wa Russia-Ukraine ili kuballance matukio.

Sasa leo najaribu kuangalia haipo hewani na kwenye screen ya tv haileti ujumbe wowote either poor signal au vipi.

Je kwa sisi wapenzi wa Russia Today tv ndio imekula kwetu? Je inaweza kua sababu ni ile mabeberu wanayoisema kwamba RT ina spraed fake news ndio maana Azam wakaipiga chini?

Kwakweli sijapendezwa na hili.

View attachment 2137366
Hiyo inatofauti gani na tbc ?
 
Guys kama kuna mtu anahitaji king'amuzi complete/full kit cha AZAM cha DISH ambacho ni kipya kabisa hakijamaliza hata mwezi na kimeshalipiwa chaneli zote kwa miezi mitatu. naomba anicheki DM tufanye biashara, kinapatikana kwa 165k (non-negotiable price)
 
Back
Top Bottom