Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,416
- 15,971
Nimekua nikifiatilia channel hii katika kipindi hiki cha mzozo wa Russia-Ukraine ili kuballance matukio.
Sasa leo najaribu kuangalia haipo hewani na kwenye screen ya tv haileti ujumbe wowote either poor signal au vipi.
Je kwa sisi wapenzi wa Russia Today tv ndio imekula kwetu? Je inaweza kua sababu ni ile mabeberu wanayoisema kwamba RT ina spraed fake news ndio maana Azam wakaipiga chini?
Kwakweli sijapendezwa na hili.
Sasa leo najaribu kuangalia haipo hewani na kwenye screen ya tv haileti ujumbe wowote either poor signal au vipi.
Je kwa sisi wapenzi wa Russia Today tv ndio imekula kwetu? Je inaweza kua sababu ni ile mabeberu wanayoisema kwamba RT ina spraed fake news ndio maana Azam wakaipiga chini?
Kwakweli sijapendezwa na hili.