Azam TV kulikoni na Channel ya Russia Today? Ni msimamo wenu kuondoa au ni agizo la Serikali?

Tulinje twayene

Senior Member
Aug 7, 2020
141
183
Azam TV kulikoni mmeamua kwa kuiondoa channel ya Russia today siku mbili tu baada ya umoja wa ulaya kuifungia channel hiyo huko Ulaya?

Hii channel ilikuwa inatusaidia sana kubalance propaganda na habari zenye tija hasa kuhusu yanayoendelea huko Ukraine. Badala yake mmeziacha channel za magaribi na Ulayan kama sauti ya America, France 24, BBC na Aljazeera pekee zitamalaki kwenye kingamuzi chenu.

Mimi binafsi sijapenda kwani msimamo wa mataifa mengi ya Afrika ungekuwa mzuri zaidi kwenu kwa kutofungamana na upande wowote, na nyie kama shirika mbakie kuleta habari za pande zote ili wasikilizaji na watazamaji wenu tuchambue wenyewe pumba na mchele.

Au na nyie mmeamua kuingia uwanjani na kuilaani Urusi kwa namna hii? Sisi wafuatiliaji wa siasa mmetunyima haki yetu kwani tuliamua kulipia kifurushi kikubwa ili tuweze kufuatilia habari zote za ndani na nje ya nchi kwa ufasaha, channel hiyo mliyoitoa ni muhimu sana kwetu kwa sasa ili tuweze kubalance habari kuliko kutulisha habari za upande mmoja.
 
We ulitaka wafanyeje wakati hao RT wamepigwa Ban dunia nzima? kwani wao wanaishi sayari tofauti?

nyie ndio wale mnasema mnasimama na Urusi wakati hamjui hata wanachowafanyia binadamu wenzao ni kitu gani kama hata makampuni yoote makubwa duniani unayoyajua wamesitisha huduma Urusi itakuwa azam kuondoa chanel kwenye king'amuzi?
 
We ulitaka wafanyeje wakati hao RT wamepigwa Ban dunia nzima? kwani wao wanaishi sayari tofauti? nyie ndio wale mnasema mnasimama na Urusi wakati hamjui hata wanachowafanyia binadamu wenzao ni kitu gani kama hata makampuni yoote makubwa duniani unayoyajua wamesitisha huduma Urusi itakuwa azam kuondoa chanel kwenye king'amuzi?
Mkuu RT hawajapigwa ban duniani bali ni Ulaya na Marekani, au kwa uelewa wako Ulaya na Marekani ndio duniani?
 
Azam TV kulikoni mmeamua kwa kuiondoa channel ya Russia today siku mbili tu baada ya umoja wa ulaya kuifungia channel hiyo huko Ulaya?

Hii channel ilikuwa inatusaidia sana kubalance propaganda na habari zenye tija hasa kuhusu yanayoendelea huko Ukraine. Badala yake mmeziacha channel za magaribi na Ulayan kama sauti ya America, France 24, BBC na Aljazeera pekee zitamalaki kwenye kingamuzi chenu.

Mimi binafsi sijapenda kwani msimamo wa mataifa mengi ya Afrika ungekuwa mzuri zaidi kwenu kwa kutofungamana na upande wowote, na nyie kama shirika mbakie kuleta habari za pande zote ili wasikilizaji na watazamaji wenu tuchambue wenyewe pumba na mchele.

Au na nyie mmeamua kuingia uwanjani na kuilaani Urusi kwa namna hii? Sisi wafuatiliaji wa siasa mmetunyima haki yetu kwani tuliamua kulipia kifurushi kikubwa ili tuweze kufuatilia habari zote za ndani na nje ya nchi kwa ufasaha, channel hiyo mliyoitoa ni muhimu sana kwetu kwa sasa ili tuweze kubalance habari kuliko kutulisha habari za upande mmoja.
Hao azamu /dstv wana satelaiti zao binafsi?kama ni za hao mabeberu wao wameifunga hao azamu wataipata vipi?
Na unaposema eti ku balance story kuna story gani utaibalance kupitia RT?Kama warusi tu wanaoishi urusi hadi sasa wanaonyeshwa kuwa majeshi ya urusi yako ukraine kulinda amani kwa watu kwenye majimbo yale mawili yaliyojitenga?
 
Hii channel ilikuwa inatusaidia sana kubalance propaganda na habari zenye tija hasa kuhusu yanayoendelea huko Ukraine. Badala yake mmeziacha channel za magaribi na Ulayan kama sauti ya America, France 24, BBC na Aljazeera pekee zitamalaki kwenye kingamuzi chenu.
ASA WEWE KAMA WEWE VITA HIYO INAKUSAIDIA NINI KATIKA SHUGHULI ZAKO ZA KILA SIKU!!! KATIKA KUTAFUTA UGALI.

KAMA UNAONA VYOMBO VYA MAGHARIBU VYAKUDANGANYA KWA NINI UENDELEE KUANGALIA???

WAAFRIKA SIJUI NANI ALITUROGA
 
Mkuu RT hawajapigwa ban duniani bali ni Ulaya na Marekani, au kwa uelewa wako Ulaya na Marekani ndio duniani?
RT haionekani duniani isipokuwa Urusi

Ma satellite makubwa ya kurusha habari ni ya nchi za Magharibi.Wamewanyofoa RT

Mrusi kama mbabe airudishe hewani kama FTA tuione Tanzania hiyo TV koko yake ya RT .Kwenye teknolojia mrusi mtoto mdogo.
 
RT haionekani duniani isipokuwa Urusi

Ma satellite makubwa ya kurusha habari ni ya nchi za Magharibi.Wamewanyofoa RT

Mrusi kama mbabe airudishe hewani kama FTA tuione Tanzania hiyo TV koko yake ya RT .Kwenye teknolojia mrusi mtoto mdogo.
Wakati hapo hapo USA anatumia billions ya dollar kukodisha na kutumia soyuz ya mrusi kwenda kwenye space..kama mrusi cha mtoto mbn huyo mwamba anamtegemea mrusi ili aende kwenye space..
 
Umemsikia Ellon Musk wewe?
Anasemaje Elon Musk.mkuu.?

Hii vita ikiisha salama tutaona mengi sana na itatoa mafundisho makubwa sana kwa wenye uchumi tegemezi.

Iko hatari ya dunia kugawanyika kiteknolojia, hasa plan ya china kutumia network zake na mitandao yake inaweza kusambaa Urusi pia.
 
Azam TV kulikoni mmeamua kwa kuiondoa channel ya Russia today siku mbili tu baada ya umoja wa ulaya kuifungia channel hiyo huko Ulaya?

Hii channel ilikuwa inatusaidia sana kubalance propaganda na habari zenye tija hasa kuhusu yanayoendelea huko Ukraine. Badala yake mmeziacha channel za magaribi na Ulayan kama sauti ya America, France 24, BBC na Aljazeera pekee zitamalaki kwenye kingamuzi chenu.

Mimi binafsi sijapenda kwani msimamo wa mataifa mengi ya Afrika ungekuwa mzuri zaidi kwenu kwa kutofungamana na upande wowote, na nyie kama shirika mbakie kuleta habari za pande zote ili wasikilizaji na watazamaji wenu tuchambue wenyewe pumba na mchele.

Au na nyie mmeamua kuingia uwanjani na kuilaani Urusi kwa namna hii? Sisi wafuatiliaji wa siasa mmetunyima haki yetu kwani tuliamua kulipia kifurushi kikubwa ili tuweze kufuatilia habari zote za ndani na nje ya nchi kwa ufasaha, channel hiyo mliyoitoa ni muhimu sana kwetu kwa sasa ili tuweze kubalance habari kuliko kutulisha habari za upande mmoja.
Warusi wametolewa Kila network
Sanctions .Azam itakuwa ana support ukraine 🇺🇦
 
Anasemaje Elon Musk.mkuu.?

Hii vita ikiisha salama tutaona mengi sana na itatoa mafundisho makubwa sana kwa wenye uchumi tegemezi.

Iko hatari ya dunia kugawanyika kiteknolojia, hasa plan ya china kutumia network zake na mitandao yake inaweza kusambaa Urusi pi
Azam TV kulikoni mmeamua kwa kuiondoa channel ya Russia today siku mbili tu baada ya umoja wa ulaya kuifungia channel hiyo huko Ulaya?

Hii channel ilikuwa inatusaidia sana kubalance propaganda na habari zenye tija hasa kuhusu yanayoendelea huko Ukraine. Badala yake mmeziacha channel za magaribi na Ulayan kama sauti ya America, France 24, BBC na Aljazeera pekee zitamalaki kwenye kingamuzi chenu.

Mimi binafsi sijapenda kwani msimamo wa mataifa mengi ya Afrika ungekuwa mzuri zaidi kwenu kwa kutofungamana na upande wowote, na nyie kama shirika mbakie kuleta habari za pande zote ili wasikilizaji na watazamaji wenu tuchambue wenyewe pumba na mchele.

Au na nyie mmeamua kuingia uwanjani na kuilaani Urusi kwa namna hii? Sisi wafuatiliaji wa siasa mmetunyima haki yetu kwani tuliamua kulipia kifurushi kikubwa ili tuweze kufuatilia habari zote za ndani na nje ya nchi kwa ufasaha, channel hiyo mliyoitoa ni muhimu sana kwetu kwa sasa ili tuweze kubalance habari kuliko kutulisha habari za upande mmoja.
RT sanctioned
 
Back
Top Bottom