Sioni haja ya kwenda chuo

Ajira ngumu,

Kupoteza muda,

Kupoteza pesa ambayo kiuhalisia ungepata mtaji wa kuanzisha biashara.

Kuingia madeni yasio ya lazima, (mikopo)

Elimu haikidhi viwango vya mabadiliko ya kiuchumi na kisayansi.

Walio na vyeti mtaani hawahesabiki.

High school is a necessity, but collage is a choice.~Kanye West
Unabaki na pesa, huna elimu, na hiyo pesa, unaipata wapi ya, kufanya biashara,!? Wazazi, wako,wanakupatia? Just like that, yaani mtoto wa miaka, 22,wazazi, wakupatie milioni 10,ufsnye biashara ufanye biashara baadala ya, kukulipia Ada ya chuo?!
Nadharia, tupu! Kwanza, hiyo ten M, hqipatikani, kwa mkupuo! Inqpqtikana inapohitqjika! Ukute tuition fee ni milioni, moja! Muhura, wa, kwanza wakupe 500K, ufanye biashara mwaka wa kwanza, then baaadae wakupe tena 500k, mpaka miaka 4 ipite kila mwaka unakuza biashara kwa milioni moja!
 
Cha kwanza dogo usifuate nyayo za Kanye West uliyemquote utapotea, pili chagua elimu ya vitendo kwa dunia ya sasa hivi, elimu ni nguzo muhimu ambayo kwa vitendo itakusaidia dunia hii, nilipokuwa ulipo nikitoka high school niliwaza kama wewe ila mbeleni nilifunguka akili , nilisoma kwa mateso sana chuo cha sheria UDOM ila leo matunda yake nnayaona , walio kataa kuendelea na masomo hamna anayenifikia hata kwa upeo wa mbali .

Usiangalie jobless wenzio kila mtu na nyota na safari yake , pambania kikombe chako papo hapo katktk ya wenzio.

mwisho cheki course isiyojulikana au kuwa watu wengi , nenda bandari , benki , industry uliza waliopo kule fanya research yako kisha chukua hatua , tahadhari usijaribu kufanya uhasibu or business courses .... all the best
Kwanini asijaribu kufanya uhasibu?
 
Sio haina haja tu, kwa wengine kama sisi haina manufaa. Hasa katika nyakati hizi.
Mkuu de gunner.Chuo unalijilipa Ada mwenyewe au unaomba mkopo serikalini? Kama unajilipia mwenyewe iyo pesa ya ada bac fanyia biashara tafuta mentor kwenye biashara ambayo unataka kuifanya akutrain vizuriiyo elimu uliyonayo inakutosha.ILA kama ni pesa ya serikali basi nakushauri omba mkopo nenda chuo kadome degree usikate tamaa kwa kuangalia watu wangapi wapo mtaani wamesoma hawana kazi.kila mtu na rizki yake la muhimu mtangulize mungu fanya ibada kuwa na nidhamu fanya na jitihada.
 
Unabaki na pesa, huna elimu, na hiyo pesa, unaipata wapi ya, kufanya biashara,!? Wazazi, wako,wanakupatia? Just like that, yaani mtoto wa miaka, 22,wazazi, wakupatie milioni 10,ufsnye biashara ufanye biashara baadala ya, kukulipia Ada ya chuo?!
Nadharia, tupu! Kwanza, hiyo ten M, hqipatikani, kwa mkupuo! Inqpqtikana inapohitqjika! Ukute tuition fee ni milioni, moja! Muhura, wa, kwanza wakupe 500K, ufanye biashara mwaka wa kwanza, then baaadae wakupe tena 500k, mpaka miaka 4 ipite kila mwaka unakuza biashara kwa milioni moja!
Nimekuelewa sana mkuu na hoja yako ya garama,
Ila bado sijashawishika na dhana ya kusema et usipoenda chuo unakosa elimu, labda kama unampango wa kuajiriwa kupitia vyeti, ambako nako kuna competition kubwa.
 
Mkuu de gunner.Chuo unalijilipa Ada mwenyewe au unaomba mkopo serikalini? Kama unajilipia mwenyewe iyo pesa ya ada bac fanyia biashara tafuta mentor kwenye biashara ambayo unataka kuifanya akutrain vizuriiyo elimu uliyonayo inakutosha.ILA kama ni pesa ya serikali basi nakushauri omba mkopo nenda chuo kadome degree usikate tamaa kwa kuangalia watu wangapi wapo mtaani wamesoma hawana kazi.kila mtu na rizki yake la muhimu mtangulize mungu fanya ibada kuwa na nidhamu fanya na jitihada.
Nashukuru kwa ushauri , ila nimeshapita chuo na nimeleta hii mada kuonesha watu na jamii, kuwa chuo ni path amabayo wengi wanachukua na kuja kuregret baadae vijana wengi wamepoteza mda kwenda vyouni na kujikuta wanafanya vitu tofauti na walivyosomea simply because hakuna ajira...
 
Nilihitimu kidato cha SITA 2014, Tukaenda mujibu.. Mm na wanangu 6 tulipata “Zali” la kubaki na Option ya kuajiliwa baadae.. Nikalikacha kwa kuhadahika kwa bata za chuo na degree, wanangu wakabaki Jeshini, 2016 wakaajiliwa na wakala nyota! Mi nikahitimu 2017 mpk leo ni mjobless na wanangu wana maisha. Nishaomba nafasi Jeshini mpk “Nimebloo” Degree nayo haijanipa ajira wala ujila.
 
Nilihitimu kidato cha SITA 2014, Tukaenda mujibu.. Mm na wanangu 6 tulipata “Zali” la kubaki na Option ya kuajiliwa baadae.. Nikalikacha kwa kuhadahika kwa bata za chuo na degree, wanangu wakabaki Jeshini, 2016 wakaajiliwa na wakala nyota! Mi nikahitimu 2017 mpk leo ni mjobless na wanangu wana maisha. Nishaomba nafasi Jeshini mpk “Nimebloo” Degree nayo haijanipa ajira wala ujila.
Pole sana mkuu, kuna inshu wengi hawaijui kuhusu elimu hasa nyakati hizi. Mimi naona ni kama biashara tu, update vyeti then hio ndo iwe kadi yako ya kupata ajira. Hao washakaji walisoma mchezo wakajua tu hiyo sijui mikopo na baba za chuo ni za mda tu, ila uhakika wa kupata ajira ni mdogo sana. Na sasa wanakula maisha hawata jutia ingawa walipitia msoto jeshini.
 
Pole sana mkuu, kuna inshu wengi hawaijui kuhusu elimu hasa nyakati hizi. Mimi naona ni kama biashara tu, update vyeti then hio ndo iwe kadi yako ya kupata ajira. Hao washakaji walisoma mchezo wakajua tu hiyo sijui mikopo na baba za chuo ni za mda tu, ila uhakika wa kupata ajira ni mdogo sana. Na sasa wanakula maisha hawata jutia ingawa walipitia msoto jeshini.
hata ningeajiliwa mshahara hauvuki 600k. Usomi wa nchi hii ni huzuni
 
Nilihitimu kidato cha SITA 2014, Tukaenda mujibu.. Mm na wanangu 6 tulipata “Zali” la kubaki na Option ya kuajiliwa baadae.. Nikalikacha kwa kuhadahika kwa bata za chuo na degree, wanangu wakabaki Jeshini, 2016 wakaajiliwa na wakala nyota! Mi nikahitimu 2017 mpk leo ni mjobless na wanangu wana maisha. Nishaomba nafasi Jeshini mpk “Nimebloo” Degree nayo haijanipa ajira wala ujila.
Riziki yako inakuja mkuu
 
Umenifanya nipige hesabu ya ada na matumizi nimepata zaidi ya 12M😂

Acha ujinga degree itakulipa siku moja, hata ukichelewa ila Itakulipa tu punguza papara..!
Kupata elimu ya degree ni vizuri na ina umuhimu wake, ila usimjaze kwamba eti itakuja kumlipa siku moja......asije kukulaumu atakapofika uzeeni na malipo hayo hajayapata.
 
Back
Top Bottom