Ng`wanakidiku
JF-Expert Member
- Apr 18, 2009
- 1,195
- 232
..lengo ili aaibike maana CCM wamepiga kampeni za kudanganya watu! Huu uongo hauvumiliki. Kwa nini wasingeanza kueleza yaliyofanywa na baba yake then yeye aanzie hapo wao wanapiga moja kwa moja kama vile kijana alitaka baba yeke aondoke ili arithi. Kweli siasa za bongo kazi sana!
Kama unaniunga mkono "like!"
Kama unaniunga mkono "like!"