Sio Tanzania pekee yenye Capital City ndogo kuliko Jiji la Biashara

Dodoma ni kijiji kilochochangamka,mimi nafanya kazi dodoma ila karibia kila weekend nipo Dar na sio mimi peke yangu hadi maboss ndo utaratibu huo..Na kwa taarifa yako SGR ikikamilika ndo kabisa tutakuwa tunakaa dar kazi dom
 
Kwa wale wasiotaka au wasiopenda Dodoma kuwa makao makuu ya nchi kwa sababu eti mji mdogo kuliko Dar es Salaam au Arusha, basi kwa taarifa yenu kuna nchi nyingi tena nchi kubwa na maarufu katika kundi hili. Nchi hizo zina makao makuu ya nchi madogo kuliko jiji au majiji ya Biashara. Nitatoa mifano michache maarufu.

1. United States of America.
Makao makuu: Washington DC
Jiji kubwa la kibiashara: New York City.

2. Peoples Republic of China.
Makao Makuu: Beijing
Jiji kubwa : Shanghai

3. Federal Republic of Brazil
Makao makuu: Brasilia
Jiji kubwa: Sao Paulo

4. Federal Republic of Nigeria
Makao Makuu: Abuja
Jiji Kubwa: Lagos

5. Republic of South Africa
Makao Makuu: Pretoria(ilipo executive)
Jiji Kubwa: Johannesburg.

6. The Kingdom of Morocco
Makao Makuu: Rabat
Jiji kubwa: Casablanca.

7. Scotland
Makao makuu: Edinburgh.
Jiji Kubwa: Glasgow

8. Canada
Makao makuu: Ottawa
Jiji kubwa: Toronto

Kwa hiyo hoja ya Dodoma kuwa ndogo haina mashiko, haina miguu ya kusimamia. Miji yote hujengwa na wananchi na serikali yao kwa mipango na vipaumbele. Viongozi waendelee kuipa Dodoma umuhimu wake kama makao makuu ya nchi.

Mashirika binafsi, mashirika ya dini na mashirika ya umma pia yaipe Dodoma umuhimu kama makao makuu ya nchi.

Tutatengeneza jiji la pili muhimu litakalochangia mapato ya serikali na hivyo maendeleo ya nchi na watu wake.
Australia pia hivyo hivyo, Makao Makuu ni Brisbane lakini Jiji kuu la Kibiashara ni Sydney.
 
canberra Australia jiji kubwa Sydney
Kwa wale wasiotaka au wasiopenda Dodoma kuwa makao makuu ya nchi kwa sababu eti mji mdogo kuliko Dar es Salaam au Arusha, basi kwa taarifa yenu kuna nchi nyingi tena nchi kubwa na maarufu katika kundi hili. Nchi hizo zina makao makuu ya nchi madogo kuliko jiji au majiji ya Biashara. Nitatoa mifano michache maarufu.

1. United States of America.
Makao makuu: Washington DC
Jiji kubwa la kibiashara: New York City.

2. Peoples Republic of China.
Makao Makuu: Beijing
Jiji kubwa : Shanghai

3. Federal Republic of Brazil
Makao makuu: Brasilia
Jiji kubwa: Sao Paulo

4. Federal Republic of Nigeria
Makao Makuu: Abuja
Jiji Kubwa: Lagos

5. Republic of South Africa
Makao Makuu: Pretoria(ilipo executive)
Jiji Kubwa: Johannesburg.

6. The Kingdom of Morocco
Makao Makuu: Rabat
Jiji kubwa: Casablanca.

7. Scotland
Makao makuu: Edinburgh.
Jiji Kubwa: Glasgow

8. Canada
Makao makuu: Ottawa
Jiji kubwa: Toronto

Kwa hiyo hoja ya Dodoma kuwa ndogo haina mashiko, haina miguu ya kusimamia. Miji yote hujengwa na wananchi na serikali yao kwa mipango na vipaumbele. Viongozi waendelee kuipa Dodoma umuhimu wake kama makao makuu ya nchi.

Mashirika binafsi, mashirika ya dini na mashirika ya umma pia yaipe Dodoma umuhimu kama makao makuu ya nchi.

Tutatengeneza jiji la pili muhimu litakalochangia mapato ya serikali na hivyo maendeleo ya nchi na watu wake.
Australia jiji kubwa Sydney
 
UAE makao mkauu Abu Dhabi
Jiji Kubwa Dubai

India Makao Makuu Delhi
Jiji Kubwa Mumbai
 
Kwa wale wasiotaka au wasiopenda Dodoma kuwa makao makuu ya nchi kwa sababu eti mji mdogo kuliko Dar es Salaam au Arusha, basi kwa taarifa yenu kuna nchi nyingi tena nchi kubwa na maarufu katika kundi hili. Nchi hizo zina makao makuu ya nchi madogo kuliko jiji au majiji ya Biashara. Nitatoa mifano michache maarufu.

1. United States of America.
Makao makuu: Washington DC
Jiji kubwa la kibiashara: New York City.

2. Peoples Republic of China.
Makao Makuu: Beijing
Jiji kubwa : Shanghai

3. Federal Republic of Brazil
Makao makuu: Brasilia
Jiji kubwa: Sao Paulo

4. Federal Republic of Nigeria
Makao Makuu: Abuja
Jiji Kubwa: Lagos

5. Republic of South Africa
Makao Makuu: Pretoria(ilipo executive)
Jiji Kubwa: Johannesburg.

6. The Kingdom of Morocco
Makao Makuu: Rabat
Jiji kubwa: Casablanca.

7. Scotland
Makao makuu: Edinburgh.
Jiji Kubwa: Glasgow

8. Canada
Makao makuu: Ottawa
Jiji kubwa: Toronto

Kwa hiyo hoja ya Dodoma kuwa ndogo haina mashiko, haina miguu ya kusimamia. Miji yote hujengwa na wananchi na serikali yao kwa mipango na vipaumbele. Viongozi waendelee kuipa Dodoma umuhimu wake kama makao makuu ya nchi.

Mashirika binafsi, mashirika ya dini na mashirika ya umma pia yaipe Dodoma umuhimu kama makao makuu ya nchi.

Tutatengeneza jiji la pili muhimu litakalochangia mapato ya serikali na hivyo maendeleo ya nchi na watu wake.
Ongezea na hii
Ivory Coast capital city Yamoussoukro
Jiji kubwa Abidjan
 
Kwa wale wasiotaka au wasiopenda Dodoma kuwa makao makuu ya nchi kwa sababu eti mji mdogo kuliko Dar es Salaam au Arusha, basi kwa taarifa yenu kuna nchi nyingi tena nchi kubwa na maarufu katika kundi hili. Nchi hizo zina makao makuu ya nchi madogo kuliko jiji au majiji ya Biashara. Nitatoa mifano michache maarufu.

1. United States of America.
Makao makuu: Washington DC
Jiji kubwa la kibiashara: New York City.

2. Peoples Republic of China.
Makao Makuu: Beijing
Jiji kubwa : Shanghai

3. Federal Republic of Brazil
Makao makuu: Brasilia
Jiji kubwa: Sao Paulo

4. Federal Republic of Nigeria
Makao Makuu: Abuja
Jiji Kubwa: Lagos

5. Republic of South Africa
Makao Makuu: Pretoria(ilipo executive)
Jiji Kubwa: Johannesburg.

6. The Kingdom of Morocco
Makao Makuu: Rabat
Jiji kubwa: Casablanca.

7. Scotland
Makao makuu: Edinburgh.
Jiji Kubwa: Glasgow

8. Canada
Makao makuu: Ottawa
Jiji kubwa: Toronto

Kwa hiyo hoja ya Dodoma kuwa ndogo haina mashiko, haina miguu ya kusimamia. Miji yote hujengwa na wananchi na serikali yao kwa mipango na vipaumbele. Viongozi waendelee kuipa Dodoma umuhimu wake kama makao makuu ya nchi.

Mashirika binafsi, mashirika ya dini na mashirika ya umma pia yaipe Dodoma umuhimu kama makao makuu ya nchi.

Tutatengeneza jiji la pili muhimu litakalochangia mapato ya serikali na hivyo maendeleo ya nchi na watu wake.
Lindi
Mji Mkuu: Lindi Mjini
Majiji ya Maana: Ruangwa na Nachingwea
 
Back
Top Bottom