Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 997
- 2,320
Najua hii posti akiona ndugu yangu Lucas lazima atabubujikwa na machozi ya furaha..
Lakini kwa jinsi mwaka huu ulivyo baada ya Chadema kujitoa kwenye uchaguzi Sisiemu hakuna wa kushindana nao..
Hizo gharama ikiwemo na yale mabasi ni bora kuyapeleka kwa wananchi tu..
Sioni ulazima wa kutumia gharama nyingi kushindana na Chauma na ACT...
Anzeni na mabasi
Lakini kwa jinsi mwaka huu ulivyo baada ya Chadema kujitoa kwenye uchaguzi Sisiemu hakuna wa kushindana nao..
Hizo gharama ikiwemo na yale mabasi ni bora kuyapeleka kwa wananchi tu..
Sioni ulazima wa kutumia gharama nyingi kushindana na Chauma na ACT...
Anzeni na mabasi