Kyenju
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 5,146
- 2,553
Ha ha ha kila mhaya anasifa hata aweje ...akiwa mshika dini utafikiri anakaa na Mungu huko mbinguni...acha bana ila mtu kama mi nawapenda huwa nawapamba tu huku natumia vyao ...note... Huwa situmiki
miss chagga acha wivu, sifa moja kuu ya Mhaya ni kujiamini, ukimuona Mhaya mnyonge mnyonge huyo tilia mashaka. Kwa maana hiyo sishangai kuitwa majina mabaya mabaya kama hayo, pamoja na hayo Wahaya wengi ni shemeji zako. CC: miss chagga
Last edited by a moderator: