tracy martins
JF-Expert Member
- Aug 5, 2014
- 3,535
- 1,484
Ktk umri huu nloishi nimekutana na muhaya mmoja asiye na majivuno,jamaa anaitwa rutta yupo mwadui,jamaa muungwana sana,wengine ni balaa,cjui wanapozaliwa huwa wana nuwiziwa maneno ya kiwa na nyodo?,huo ni ushamba,nadhani ni ulimbukeni na mapokeo toka kwa wazazi
Msiendekeze ujinga huu badilikeni,inawezekana
Daah hata mimi nimekutana naye mmoja sema msichana , mtu wa dini saana(swala tano) yuko poa sana,nashukuru sasa hivi amepata kazi , daah yule msichana mtu atayeoa amempata mke material