muttamwombe
Member
- Jul 28, 2014
- 98
- 62
- Thread starter
- #81
Kabila la mkeo.
Sasa ili ujue kuwa Mimi sio mbaguzi nawachukulia watu wote sawa japo yanasemwa mengi sana kuhusu kabila hili na tamaa ya pesa lakini Mimi sijali maana ni binadamu sawa na wengine