Sio kila Mhaya ana dharau

Sio kila Mhaya ana dharau

Ndio maana naendelea kusema kuwa ukiona unambagua binadamu mwenzako kwa kigezo cha ukabila au udini ujue hauna tofauti na wale wanaowabagua wenye ngozi tofauti wakati binadamu wote ni sawa! Kila binadamu ana mapungufu yake na unapochukua mapungufu ya mtu mmoja ukayajumlisha kuwa ya jamiii anakotoka huo ni ubaguzi wa hali ya juu! Naandika hivi nikijua kuwa kuna taasisi nyingi sana na nyeti hapa Nchini na nje ya nchi zinashikiliwa na wahaya na zinafanya vizuri...mbona hayo hamyaoni?

Mkuu nina ndugu zangu wa kihaya na ni kwamba WAHAYA ndio wanaowabagua makabila mengine na kuona kama hawawezi kama wao.
 
Ni tabia ya hatari mno, lakini kwa kuwa tunajifanya hatuioni hiyo hatari tunaendelea tu

Kimsingi hatupaswi kuifurahia hii tabia ya kubaguana na kupeana sifa mbaya, tunapaswa kupambana nayo, si kwa Wahaya tu,bali pia kwa makabila yote.

Kila kabila lina watu wenye madhaifu binafsi,na hatupaswi kuwatumia kama kielelezo cha jumla cha kabila lake.

INATOSHA SASA!!!
 
Hata makabila mengine yana shida ILA sio dharau na ujuaji kama wahaya mkuu.

Na Chenge aliyewahi kuyaita mabilioni kuwa ni vijisenti naye ni Mhaya?
Ama ndo kusema Wasukuma wote ni wenye dharau, kwa sababu ya huyo bwana?
 
Kifupi ni kwamba wahaya wana roho mbaya, wajivuni, wajuaji na wanadharau sana.

Hapa tunaelimishana....ebu toa mifano hai ya hzo tabia ulizotaja ili tuweze kuweka jumla kwamba ukitaka kujua utambulisho wa mhaya basi ni hayo uliyoyataja! Usije na mifano ya huko mitaani maana sisi hatuwezi thibitisha...
 
Umeanza matusi, hii mbaya. mama yako naye anauza K, alimuuzia baba yako na labda mpaka this moment anamuuzia na kuwauzia wengine.

Utatukana wangapi wanaowasema wahaya tabia zao zilivyo mbona iko wazi tabia za wahaya wengi ni mbaya na za kujivuna muda wote.
 
Hapa tunaelimishana....ebu toa mifano hai ya hzo tabia ulizotaja ili tuweze kuweka jumla kwamba ukitaka kujua utambulisho wa mhaya basi ni hayo uliyoyataja! Usije na mifano ya huko mitaani maana sisi hatuwezi thibitisha...

Huko mtaani ndiko tunakoishi nao na tunawajua jinsi mlivyo kila kabila lina madhaifu yake ambayo karibia majority ya kabila hilo wanayo sasa suala la dharau na kujivuna kujiona ni sifa ya mhaya kama alivyo mkurya na panga.
 
Utatukana wangapi wanaowasema wahaya tabia zao zilivyo mbona iko wazi tabia za wahaya wengi ni mbaya na za kujivuna muda wote.

Unasikitisha sana...

Kuna post ziko humu zinawakashifu vbaya mno wachaga kutokana na maeneo wanayotoka lakini Mimi sioni hoja za msingi pale..
Eti unaniambia wachaga wa sjui machame wanaua wanaume wao wakati Mimi nimemwoa Mmachame na hajaniua sioni la maana! Ila naishia kusema MTI WENYE MATUNDA MAZURI NDIO UNAORUSHIWA MAWE..
 
Huko mtaani ndiko tunakoishi nao na tunawajua jinsi mlivyo kila kabila lina madhaifu yake ambayo karibia majority ya kabila hilo wanayo sasa suala la dharau na kujivuna kujiona ni sifa ya mhaya kama alivyo mkurya na panga.

Kwa hyo kila mwenye dharau ni mhaya? Au ukitaka kumjua mhaya mpaka awe na dharau?
 
Unasikitisha sana...

Kuna post ziko humu zinawakashifu vbaya mno wachaga kutokana na maeneo wanayotoka lakini Mimi sioni hoja za msingi pale..
Eti unaniambia wachaga wa sjui machame wanaua wanaume wao wakati Mimi nimemwoa Mmachame na hajaniua sioni la maana! Ila naishia kusema MTI WENYE MATUNDA MAZURI NDIO UNAORUSHIWA MAWE..

Sio kila mtu ana tabia za kabila lake hata wahaya wapo wachache wazuri ila wengi wana matatizo sana hata huyo mkeo inawezekana hana tabia za wamachame ila inawezekana ni suala la muda.
 
Ndio maana naendelea kusema kuwa ukiona unambagua binadamu mwenzako kwa kigezo cha ukabila au udini ujue hauna tofauti na wale wanaowabagua wenye ngozi tofauti wakati binadamu wote ni sawa! Kila binadamu ana mapungufu yake na unapochukua mapungufu ya mtu mmoja ukayajumlisha kuwa ya jamiii anakotoka huo ni ubaguzi wa hali ya juu! Naandika hivi nikijua kuwa kuna taasisi nyingi sana na nyeti hapa Nchini na nje ya nchi zinashikiliwa na wahaya na zinafanya vizuri...mbona hayo hamyaoni?



Watu walosoma UDSM nadhani wamekuelewa. Every department is headed by Muhaya.
 
Unasikitisha sana...

Kuna post ziko humu zinawakashifu vbaya mno wachaga kutokana na maeneo wanayotoka lakini Mimi sioni hoja za msingi pale..
Eti unaniambia wachaga wa sjui machame wanaua wanaume wao wakati Mimi nimemwoa Mmachame na hajaniua sioni la maana! Ila naishia kusema MTI WENYE MATUNDA MAZURI NDIO UNAORUSHIWA MAWE..

Huyo anakuvutia kasi
 
Back
Top Bottom