Sio kila Mhaya ana dharau

Sio kila Mhaya ana dharau

Angalia huyo mwenzenu alivyosema Millioni 10 ametumia kwa mboga siku mbili
 
Wahaya dharau sana. Mnawaita wa makabila mengine WANYAMAHANGA. Ukishaitwa Mnyamahanga kwenye sherehe zao utaishia kupewa maji baridi au soda baridi.
 
Ktk umri huu nloishi nimekutana na muhaya mmoja asiye na majivuno,jamaa anaitwa rutta yupo mwadui,jamaa muungwana sana,wengine ni balaa,cjui wanapozaliwa huwa wana nuwiziwa maneno ya kiwa na nyodo?,huo ni ushamba,nadhani ni ulimbukeni na mapokeo toka kwa wazazi
Msiendekeze ujinga huu badilikeni,inawezekana
 
Watu walosoma UDSM nadhani wamekuelewa. Every department is headed by Muhaya.

Je hao wahaya wanafanya kazi kwa ufanisi? Kama jibu ni ndiyo basi waacheni! Njoo chuo kikuu Bugando...VC mhaya; dean of school of medicine ni mhaya na heads kibao wa department ni wahaya lakini Bugando mpaka sasa ni chuo kinachofanya vizuri kwa kuwatoa madaktari wazuri! Tafadhali acheni mambo ya ukabila jikite kwenye mambo ya kimaendeleo
 
Hizi ishu zilikuwa zinanikwaza sana ila sahivi shega tu,ishi kwa kufuata misingi yako mengine waachie wana dunia wala wasikufanye ukahisi labda una mapungufu kwani kwa kila kiunbe Mungu kakipa vipawa vyake,soon,kama wanasema hivyo we mshukuru muumba hivyo ni vipawa na hats kwenda shule wahaya wamepewa vipawa na kwa wasio navyo ni full gere
 
Mleta uzi usihofu kila jamii ina chembe chembe za vitabia ambavyo inavyo ila kutokana na sociolization unakuta kuna baadhi hawana hizo chembechembe na inaweza kuwa wewe. Nahilo linadhihirika hata sisi watz tabia zetu za jumla kama Taifa ambapo tuna tabia zetu zingine ambazo zinatutofautisha na wengine pamoja na kwamba wote ni watz
 
Nani kakudanganya? Sie karibia ukoo wetu wote kwa upande wa baba ndiyo wahaya umechanganyika na makabila mengine na ndoa zimedumu hadi leo...kuna kila haina ya races km wahindi,waarabu n.k...hiyo ni sawasawa na kusema wazungu wote ni wabaguzi wa rangi...nakuhusu kujisikia kila kabila linajisikia hasa mtu mwenye vitu vitatu km vile mali,elimu na cheo kutokana na hulka ya mtu...kwa kuwa ni miongoni mwa kabila kubwa Tanzania ndiyo maana linazungumziwa sana...
 
Hizi ishu zilikuwa zinanikwaza sana ila sahivi shega tu,ishi kwa kufuata misingi yako mengine waachie wana dunia wala wasikufanye ukahisi labda una mapungufu kwani kwa kila kiunbe Mungu kakipa vipawa vyake,soon,kama wanasema hivyo we mshukuru muumba hivyo ni vipawa na hats kwenda shule wahaya wamepewa vipawa na kwa wasio navyo ni full gere
Hayo ndio maamuzi sahihi na kinachotakiwa hata kama umemkuta mtu kwa namna moja ama nyingine ni kabila lako mchukulie kama washikaji wengine, yote haya yanatokana na watu wamekutana mjini na wote wamezaliwa mjini ajabu akimwona mtu tu simply becoz ni kabila lake hata kama ana mapungufu anakuwa mshikaji wake na matokeo yake hii ndio inatufanya tunabeba chembechembe flani. The same apply unapoishi kwenye jamii nyingine mfano uswahilini (nimetumia neno hili kwa kuwa imezoeleka hivyo), unatakiwa u-maintain principles zako ukiyumba tu na wewe unakuwa mtu hulali bila kupata dondoo
 
Kwa mtu.mwenye upeo mpana akisoma hii post yako anajua tu.umekuja kutukuzaa hii kauli ya Tibaijuka ila unajifanyaa hujaipenda...kwaiyo wewe na tibaijuka na wahaya wenzenu.wote mpo.sawa
 
Juzi nilivyo kuwa Paris ufaransa sikuona hata mji mmoja ulionivutia ikanilazimu nikodi jet hadi U.S.A nako sikuvutiwa sana na hali ya hewa ya huko coz miji yote ya huko ni michafu! kwenye hzo ziara zote nimeteketeza $ 780k! nipo zangu kwenye ndege narudi zangu Tanzania! mhaya @ work
 
ndio hivyo tena...mtego wa panya.....
images
 
Kwa mtu.mwenye upeo mpana akisoma hii post yako anajua tu.umekuja kutukuzaa hii kauli ya Tibaijuka ila unajifanyaa hujaipenda...kwaiyo wewe na tibaijuka na wahaya wenzenu.wote mpo.sawa

Hayo ni mawazo yako mabaya....unaweza kudhani una upeo mpana lakini ukawa na upeo mfinyu kama tundu la sindano!
 
Ha ha ha kila mhaya anasifa hata aweje ...akiwa mshika dini utafikiri anakaa na Mungu huko mbinguni...acha bana ila mtu kama mi nawapenda huwa nawapamba tu huku natumia vyao ...note... Huwa situmiki

Sasa hayo majungu...siku njoo magomeni nikuoneshe mtu mmoja anaitwa Massawe mchafu huwa anavaa nguo moja na sijui kuoga mara ya mwisho lini...kwa hiyo hapo naweza kuconclude wachaga wote wachafu?.. miss chagga acha wivu wa kikabila...
 
Last edited by a moderator:
Nani kakudanganya? Sie karibia ukoo wetu wote kwa upande wa baba ndiyo wahaya umechanganyika na makabila mengine na ndoa zimedumu hadi leo...kuna kila haina ya races km wahindi,waarabu n.k...hiyo ni sawasawa na kusema wazungu wote ni wabaguzi wa rangi...nakuhusu kujisikia kila kabila linajisikia hasa mtu mwenye vitu vitatu km vile mali,elimu na cheo kutokana na hulka ya mtu...kwa kuwa ni miongoni mwa kabila kubwa Tanzania ndiyo maana linazungumziwa sana...

Umeandika la maana sana
 
Hahaahaaha jamani wahaya huwa tunaonewa wivu na haya makabila mengine
 
Sasa hayo majungu...siku njoo magomeni nikuoneshe mtu mmoja anaitwa Massawe mchafu huwa anavaa nguo moja na sijui kuoga mara ya mwisho lini...kwa hiyo hapo naweza kuconclude wachaga wote wachafu?.. miss chagga acha wivu wa kikabila...

kila mhaya akishika hela akijua kitu zaidi huwa watajiinua sana... masawe mmoja tu umekutana na wachaga wangapi wachafu? mnamajivuno... MILIONI KUMI HELA YA KUNUNUA MBOGA MFYUUUU
 
Back
Top Bottom