Sio kila Mhaya ana dharau

Sio kila Mhaya ana dharau

Kuna kipindi humu ndani walikua wanakomalia Wachaga daily sasa hivi naona ni zamu yenu teh. Wapuu.z hawa sijui wenyewe hawana makabila? Halafu utakuta wengi wao ndio wale wanaoongoza kuua Zeruzeru. Sshiii nakunong'oneza ngoma (Kanda ya ziwa)
 
Tukirejea ktk historia ya nchi hii ni wahaya ndio waliompokea mkoloni Tanganyika na kufuatia na makabila mengine ambayo mwanzoni yalitia ngumu.
Hivyo tunachokiona sasa ni muendelezo wa fikra za Kizungu zilijikusanya ktk watu hawa karibu karne sasa.
Kutamba au kujidai kwa wahaya ni ujasiri walionao katika kila kitu hasa elimu inayowaweka huru kuliko wengine ambao ndio kwanza wameanza kufunguka kifikra juu ya au namna ya kuishi kibepari.
Wahaya walio wengi hata kama hawana pesa kinachowafariji ni elimu waliozonazo,kwa muhaya heshima kubwa ni kuwa na elimu ya kutosha mambo ya pesa baadae.
Hata wapatapo pesa utumia pesa hizo pasipo kubagua kabila lingine ili mradi tu kuna mausiano fulani fulani.
Kwa mhaya kutumia kiasi kikubwa cha pesa kwa starehe ni jambo la kawaida na hata afanyavyo hivyo ujue kuna kitu kinatafutwa interms of IRR.
 
Tukirejea ktk historia ya nchi hii ni wahaya ndio waliompokea mkoloni Tanganyika na kufuatia na makabila mengine ambayo mwanzoni yalitia ngumu.
Hivyo tunachokiona sasa ni muendelezo wa fikra za Kizungu zilijikusanya ktk watu hawa karibu karne sasa.
Kutamba au kujidai kwa wahaya ni ujasiri walionao katika kila kitu hasa elimu inayowaweka huru kuliko wengine ambao ndio kwanza wameanza kufunguka kifikra juu ya au namna ya kuishi kibepari.
Wahaya walio wengi hata kama hawana pesa kinachowafariji ni elimu waliozonazo,kwa muhaya heshima kubwa ni kuwa na elimu ya kutosha mambo ya pesa baadae.
Hata wapatapo pesa utumia pesa hizo pasipo kubagua kabila lingine ili mradi tu kuna mausiano fulani fulani.
Kwa mhaya kutumia kiasi kikubwa cha pesa kwa starehe ni jambo la kawaida na hata afanyavyo hivyo ujue kuna kitu kinatafutwa interms of IRR.

Uchambuzi wako ni mzuri lakini mada hapa ni kuhusu ubaguzi na ukabila
 
Mbona mliwasema sana waaaa acha ..agaaa ....Wahaya ...wana mengi zaidi ya kusemwa....Acha la vibanda hodi nchi nzima kabla na baada ya Uhuru. Ilimu pia iliwahusu sana....Lakini kuukana ukabila wao ....linahusika pia.Utaambiwa mama yangu ni mganda baba ni mchanganyiko wa Mtu wa Musoma na mkerewe nk.....Tanzania bila wahaya inawezekanika kabisa......Wametuchosha na kejeli zao ,majidai na mazaga zaga yao chungu mbovu.
 
Kumpata mhaya asiye na dharau au kujisifu ni mpaka utumie darubini maalum.
Wahaya wanahitaji maombi kubadilishwa tabia.

Kwako kijijini (sio kata wala tarafa mind!)kuna PhDs ngapi? Nijibu kwa ustaarabu then nitakwamnia kitu!
 
Usituite majitu bob..acha usenge wako...!!we kama unahasira nenda kwa tibaijuka umwambie sio unatujumlisha wote..aftal watamzania mmepamic tu..hii nchi wameila watu kibao sema wahaya tumekua mbuzi wa kafara tu.!!hivi nchi hii kun! mtu mwenye ubaguzi kama chenge.??malaya kma jakaya.!!wati kila kitu kibaya ni wahaya tu..hii nchi ni shamba la bibi,watu wanahonga wilaya amsemi lolote kazi kuwasema wahaya..mi hapa nlipo hata hela ya kula mchana sina,ila dili la esrow mmetuunganisha wahaya wote,sio issue..

Naomba uonyeshe ubaguzi wa Chenge tafadhali.
 
Ukweli ni kuwa kila kabila lina mambo ambayo hayawezi kukubalika na kabila zingine ... yaani characters zinazo-represent asili ya watu ... pengine ni perception au ukweli!!
Mfano misemo kama vile:

Watu wa Musoma/Tarime ni wauaji au wakatili
Wachaga ni wezi
Wanawake wa kimachame wanaitwa Wapalestina (Wauaji/wanaua waume zao)
Wakibosho majambazi
Wanyakyusa wa Kyela nao wanafanishwa na Wahaya kwa dharau
Watu wa Pwani wavivu/waswahili
Watu wa Sumbawanga wachawi...

Hizi tabia zinatajwa zikijumlisha tabia za eneo ila ukweli si kuwa wote wana tabia hiyo!!
:A S-frusty2::nod:

Ila Wahaya jamani .. mmmhhh .. mnatuita wengine "Wanyama hanga"
 
Iwe bojo,ngoja niwaulize, kwahiyo mnavyowaongea hivyo mnahisi mna lolote la kusaidia? kama ndiyo basis niwaombe nendeni Kagera ndo mkoa wao mkawahubiri weee alafu mkiweza mkasherehekeeee vinginevyo twendelee tu na stories za kawaida bila kuleta vimbegu vya kikabila kwasabàbu huo uwezo pia tunao sana,si mnaelewa tulivyo wengi?
 
Mbona mliwasema sana waaaa acha ..agaaa ....Wahaya ...wana mengi zaidi ya kusemwa....Acha la vibanda hodi nchi nzima kabla na baada ya Uhuru. Ilimu pia iliwahusu sana....Lakini kuukana ukabila wao ....linahusika pia.Utaambiwa mama yangu ni mganda baba ni mchanganyiko wa Mtu wa Musoma na mkerewe nk.....Tanzania bila wahaya inawezekanika kabisa......Wametuchosha na kejeli zao ,majidai na mazaga zaga yao chungu mbovu.
Nakuhakikishia,haiwezekani kabisa!
 
Je hao wahaya wanafanya kazi kwa ufanisi? Kama jibu ni ndiyo basi waacheni! Njoo chuo kikuu Bugando...VC mhaya; dean of school of medicine ni mhaya na heads kibao wa department ni wahaya lakini Bugando mpaka sasa ni chuo kinachofanya vizuri kwa kuwatoa madaktari wazuri! Tafadhali acheni mambo ya ukabila jikite kwenye mambo ya kimaendeleo

Pale Kariuki mpaka lugha inayotumika ofisini ni kihaya, watu wengi wamekimbia pale kwasababu ya ubaguzi, kweli wahaya wanaubaguzi uliokithiri sijui wangekuwa kabila lillisoma zaidi na kumiliki uchumi kama wachagga sijui wangefanya nini
 
Kwanini mnawasurubu wahaya hii ni dhambi ya Ubaguzi tena usiyo na msingi binadamu wote sawa na kama mapungufu ni ya binadamu wote na sisi sote tumeumbwa na MUNGU kwanini tuanze kusurubiana na kuanza kunyosheana vidole kwa mapungufu yetu. Hapana tuwa wafuasi wa UTU ili tukiwa wote tuwa watu wa kufaana na kuleana kwa mapungufu yetu.

Nimeguswa na unyenyekevu wako japo mhaya!
 
Back
Top Bottom