Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Hiv lachalz palivyo pachafu vile bado mnajadili tu ..mi nilidhan nilihitimisha tokea asubuh.kumbe bado watu mnachonga....hiv mkija goba au mkaenda mbezi beach .bahar beach zile bar za kule si mtasema ni bill20...

Dah sema nin vijana weng bado wanaijua pesa kwa kusikia...

Mi mwenyew ka pub kangu ngoja niseme ni ka mil60....akat hata mil8 hakajafika..na nimekatia mbao za pelet style ya skuhi kama lachalz na zingnezo..na kana flat mbili.mzik..counter nzur tu.sema hakana wateja nataka kahamisha location
Toa connection tutakuja kukupa kampani maana biashara ndio ilivyo mkuu mwanzo unakuwaga mgumu kidogo sio rahisi kabisaa hata kidogo...
 
La chaz
Ukarabati uliopo ndani ufiki milioni 30.
Tv yale maflati na vifurushi walivo weka milioni 10.
Mziki naweza kukataa maana unakuja na madj labda wa mule ndani unaweza kufika milioni 6.
Bia za na pombe kali milioni 5 unatofauti na kadepo kadogo .
Pombe za million 5 tu pale La Chaaz???
 
Ha ha ha wewe Mzee soma uendelee na mambo mengine! Vijana hutawaweza! Anamaliza m7 kwenye baa ya uswahilini!
Kijana hajasema ametumbua kwa siku moja.Naamini kabisa ukiwa ulichelewa kuingia mjini na umezibahatisha pesa za harakaharaka inawezekana kabisa mkagawana na malaya mpaka zikaisha.
 
Kwa anayehitaji viks sexy lotion kwa 15 tu anicheki
0758527600
IMG_20210304_172811_075.jpg
 
Hiv lachalz palivyo pachafu vile bado mnajadili tu ..mi nilidhan nilihitimisha tokea asubuh.kumbe bado watu mnachonga....hiv mkija goba au mkaenda mbezi beach .bahar beach zile bar za kule si mtasema ni bill20...

Dah sema nin vijana weng bado wanaijua pesa kwa kusikia...

Mi mwenyew ka pub kangu ngoja niseme ni ka mil60....akat hata mil8 hakajafika..na nimekatia mbao za pelet style ya skuhi kama lachalz na zingnezo..na kana flat mbili.mzik..counter nzur tu.sema hakana wateja nataka kahamisha location
tuelekeze tunakuja
 
Hiv lachalz palivyo pachafu vile bado mnajadili tu ..mi nilidhan nilihitimisha tokea asubuh.kumbe bado watu mnachonga....hiv mkija goba au mkaenda mbezi beach .bahar beach zile bar za kule si mtasema ni bill20...

Dah sema nin vijana weng bado wanaijua pesa kwa kusikia...

Mi mwenyew ka pub kangu ngoja niseme ni ka mil60....akat hata mil8 hakajafika..na nimekatia mbao za pelet style ya skuhi kama lachalz na zingnezo..na kana flat mbili.mzik..counter nzur tu.sema hakana wateja nataka kahamisha location
 
Ujue hata mimi nimejiuliza hizi sifa za la chaz wajameni wanavyozimwaga kama ni ya nyota tano, yani mbongo ukimtega kidogo tu unambeba na kumfanya anakua kituko, biashara Bongo ni rahisi hasa sehemu za starehe maana nyumbu wako wengi wanafuata vumbi linalotimukia

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumbu wengi mno ile bar haina hata hadhi ya Nyota 4 Bongo ukituliza kichwa ukawa na hela yako aah unapasua anga
 
Hiv lachalz palivyo pachafu vile bado mnajadili tu ..mi nilidhan nilihitimisha tokea asubuh.kumbe bado watu mnachonga....hiv mkija goba au mkaenda mbezi beach .bahar beach zile bar za kule si mtasema ni bill20...

Dah sema nin vijana weng bado wanaijua pesa kwa kusikia...

Mi mwenyew ka pub kangu ngoja niseme ni ka mil60....akat hata mil8 hakajafika..na nimekatia mbao za pelet style ya skuhi kama lachalz na zingnezo..na kana flat mbili.mzik..counter nzur tu.sema hakana wateja nataka kahamisha location
Taja code. Tupeane support.
 
Hiv lachalz palivyo pachafu vile bado mnajadili tu ..mi nilidhan nilihitimisha tokea asubuh.kumbe bado watu mnachonga....hiv mkija goba au mkaenda mbezi beach .bahar beach zile bar za kule si mtasema ni bill20...

Dah sema nin vijana weng bado wanaijua pesa kwa kusikia...

Mi mwenyew ka pub kangu ngoja niseme ni ka mil60....akat hata mil8 hakajafika..na nimekatia mbao za pelet style ya skuhi kama lachalz na zingnezo..na kana flat mbili.mzik..counter nzur tu.sema hakana wateja nataka kahamisha location
khaaaah, ukute ni sababu ya ubahili wako, wateja wanakimbia sehemu hiyo, ukute haina hadhi ya kuwa pub lol
 
Back
Top Bottom