'Single mothers' wana tabia ya kubadili gia angani

'Single mothers' wana tabia ya kubadili gia angani

single mother wa nini wewe bwana?!! yaani papuchi zilizojaa hapa duniani kote umekosa mpaka uende kwa single mother
Hehee mkuu! Nitake radhi!
Nilishaapa no marriage no child! Nilishaweka agano na Mungu na ndivyo itakavyokuwa!

Yaani hapa no kuolewa sijui na tumbo cjui kuzaa kwanza!

wee sii ulisema ulishaolewa wewe?
 
una dada wa ngapi katika familia yako?

zero dadas my dear. and trust me ningekuwa na dada na ole wake angeanza kugegedwa kabla ya kuolewa i would have made sure ningemuua. na polisi wangenikamati ningwaambia ndio nimemuua becoz she brings shame to the family name.
 
acheni generalization na wajinga wachache! wanawake wote wanaobadili gia angani ni single mothers? malalamiko humu kibao watu wanabadilika japo walikutwa bikra! tabia ya mtu ni ya mtu tu. anyway wewe hubadili gia angani why hujaoa hadi sahivi
 
kila kiumbe kina tabia zake singo mothers my foots hapo single mother anahusikaje!!!!? hebu elezea uhusiano wa single mother na hili bandiko lako tafazali
ningeridhika sana maana hata mie nina mahusiano na sigo mother asije kunibadilishia gia nikaumwa

pima tabia ya mtu kama yeyw bila kuihusisha na hali flani. watu wote wasio na maimamo ni single mothers?
 
Kwa jinsi wanaume wanavyoukandia usingle mother nashangaa kuona mabinti wanaendelea kujizalia tu kila kukicha. Kuna mdada mmoja nilitaka kumuoa miaka kama minne iliyopita akanikatalia kata kata eti hataki kuolewa bora ajizalie maana wanaume hawafai. Baada ya kuzalishwa last year ameanza kunitafuta ati ndo wakati wake muafaka wa kuolewa. Nilipiga chini nikamblock shenzy type ulipokuwa hujazaa unaniona sifai umezalishwa ndo unaniona wa maana. Wadada acheni kudanganyika hakuna mwanaume anapenda kuoa single mother ni bora kuoa mjane siyo single mother.
nimekupa like mkuu umiona
 
single mother wa nini wewe bwana?!! yaani papuchi zilizojaa hapa duniani kote umekosa mpaka uende kwa single mother


wee sii ulisema ulishaolewa wewe?

Unahisi unatakiwa ujue kila kitu changu mkuu?
 
Acha kupoteza muda na hizo used spare bhana mbona wanawake wapo wazuri tu tatizo letu mwanaume tunapenda mtelemko, uwez jua jamaa aliyemzalisha alipatwa na maswaibu gan inawezekana alikuwa Ana mgegeda vizur sema tu mipango haikwenda Sawa
"Sahan mtu aliyowahi kutumia hawez kuipiga teke" so tafuta chako Kaka
 
Bro kwajinsi wadau mlivyopost facts imenisaidia kunijenga kisaikolojia na kuchukua maamuzi magumu ya kuachana na huyu singo maza.
Acha kupoteza muda na hizo used spare bhana mbona wanawake wapo wazuri tu tatizo letu mwanaume tunapenda mtelemko, uwez jua jamaa aliyemzalisha alipatwa na maswaibu gan inawezekana alikuwa Ana mgegeda vizur sema tu mipango haikwenda Sawa
"Sahan mtu aliyowahi kutumia hawez kuipiga teke" so tafuta chako Kaka
 
zero dadas my dear. and trust me ningekuwa na dada na ole wake angeanza kugegedwa kabla ya kuolewa i would have made sure ningemuua. na polisi wangenikamati ningwaambia ndio nimemuua becoz she brings shame to the family name.
Kama hauna dada basi omba mungu asijekupa watoto wa kike. Maana daah! Kwa kiapo hiki temea mate chini.
 
Kama hauna dada basi omba mungu asijekupa watoto wa kike. Maana daah! Kwa kiapo hiki temea mate chini.

tatizo la sie wabongo bwana kosa ni kile kitu kikifanywa na mtoto wa jirani lakini sio wako. call a spade a spade. mie kwanza nina hamu sana ya kupata daughter...infact mke wangu namwambia kabisa hapa unizalie daughters tuu ndume sitaki.
sasa huo mfano wake ...yaani the measure of my success as a parent will be for my daughters to be married while still virgins. yaani hapo ndio nitaona kama kweli mie ninastahili kuitwa baba.

wewe mwanaume mzima na meduvu yako unajiita nawe ni baba wakati mtoto wako wa kike anaolewa tayari kashagegedwa na mijamaa lukuki..loh!! tunatia aibu kabisa. as a man u should be totally ashamed of urself handing over a defiled woman to another man.
 
Back
Top Bottom